Lerionka ole saidimu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 296
- 278
Zitakiwepo nyingi tu
Mechi inatension sana lolote laweza kutokea,hii mechi simba tunapigwa
hii mechi simba tunapigwa
Leo vyura Hawana namna yoyote ya kuponaLeo chura atakosa maji ya kujidai nayo!
vyura wanapigwa tumekuja kuona ni goal ngap tu ila kipigo hakihepukikihii mechi simba tunapigwa
Mishahara hawajalipwaWachezaji wa simba wanaonekana kuwa na furaha huku wenzetu wakionekana kuwa na huzuni sana