geniussince95
Member
- Jan 24, 2017
- 55
- 57
Jamani mwenye link atuwekee hapa
ππ wameniudhi kinoma..yaani dakika 1 then wakakataKila lenye Kheri Yanga. AZAM pumbavu zenu ndo nini kutuonjesha YouTube halafu mkakata. Kwa nini mnatuonjesha ? Msiwe mnaonyesha kabisa fala nyie.
Fala ni yule ambaye hana kisimbuzi cha azam au anacho na hana kifurushi cha pure alafu analalamika mitandaoni πKila lenye Kheri Yanga. AZAM pumbavu zenu ndo nini kutuonjesha YouTube halafu mkakata. Kwa nini mnatuonjesha ? Msiwe mnaonyesha kabisa fala nyie.
Nasikiliza Radio one hapa.Fala ni yule ambaye hana kisimbuzi cha azam au anacho na hana kifurushi cha pure alafu analalamika mitandaoni π
Yaani hawa wanakiherehere wanatuonjesha halafu wanakata.ππ wameniudhi kinoma..yaani dakika 1 then wakakata
Bila bila ingawa Yanga tunashambuliwa. Ila leo Yanga watashinda.Leten updates bana sio wote tulio kwenye tv au uwanjan wengine tupo safrn tunategemea hapa JF
SahauBila bila ingawa Yanga tunashambuliwa. Ila leo Yanga watashinda.