Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga umetuzidi kama mtoa hoja alivyoeleza. Kariakoo ni muhimu kwa TRA kudai kodi sio kwamba ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Ni soko muhimu kwa uuzaji wa bidhaa za nje kwa hivyo ni mhali muhimu kwa taifa kutoza kodi na kodi kubwa kwa zile bidhaa zinaleta ushindani usio sawa kwa zile bidhaa tunazalisha nchini.Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.
Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?
Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.
Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?
Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?
Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.
Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Nchi yako haina viwanda vya kutosha. Madini, Utalii, Kilimo bidhaa za utendaji zinatoka hapo Kariakoo. Sasa jiongeze boss.Ujinga umetuzidi kama mtoa hoja alivyoeleza. Kariakoo ni muhimu kwa TRA kudai kodi sio kwamba ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Ni soko muhimu kwa uuzaji wa bidhaa za nje kwa hivyo ni mhali muhimu kwa taifa kutoza kodi na kodi kubwa kwa zile bidhaa zinaleta ushindani usio sawa kwa zile bidhaa tunazalisha nchini.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Dunia nzima nchi zinapigana kuwa nchi za viwanda, na wanajua nguvu ta nchi yoyoe iko kwenye viwanda na si kuwa Dumping site.
Su bure meli za mizigo zinageuza tupu kurudi ziliko toka then tunashangilia, yaanu tunashangilia meli kubwa za mizigo kutua nanga kuleta products na kuondoka tupu?
Magari ya mizigo huwa yanarudi tupu Dar es salaam mengine yanaamua kubebana kwa sababu sisi ni Dumping site ya products za nje ya nchi.
Sijui SGR itabeba mizigo gani kupeleka Dar es salaam Bandarini
Sawa Mkuu, lakini tatizo ni Serikali yetu sikiveu ndiyo imetujengea uchumi wa design hiyo. Hayo unayoyasema ya uchumi wa viwanda siyo uchumi wetu labda in our dreams.
Kariakoo kuna uhusiano gani na masuala ya kusoma, you guys inabidi mounzike kila kitu kuingiza wasomi.Uko sahihi. Pia biashara za Kariakoo hazina msaada wowote kwa vijana kuongeza maarifa yoyote kwenye fani walizosomea. Uchuuzi hauna future kabisa. Vijana wa IT, Mining, Kilimo, na fani zingine wamekuwa wachuuzi wa bidhaa zinazotengenezwa na vijana wenzao wa China.
Huwezi kuelewaKariakoo kuna uhusiano gani na masuala ya kusoma, you guys inabidi mounzike kila kitu kuingiza wasomi.
Wewe ndiyo pimbi kabisa.umeandika uharo Gani Sasa!Una una uelewa mdogo Sana!, kma umeshindwa kuelewa alichomaanisha mleta mada..... Kariakoo haiwezi kuwa kitovu Cha uchumi wa Nchi labda bidhaa ziwe zinadhalishwa hapa ndani!.
Haiondoi neno Dampo, Kariakoo ni Dampo la products za kigeni, shida wana siasa wanawadanganya sana, mitaji haibadili ukweli, maada ngumu huwezi elewaWewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?
Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani
Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka