Kariakoo haina umuhimu kwa uchumi wa nchi kama tunavyo aminishana Bongo lala

Kariakoo haina umuhimu kwa uchumi wa nchi kama tunavyo aminishana Bongo lala

Wewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?

Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani

Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
Nimemsikia mwenyekiti wa wafanyabiashara wa kariakoo anasema kwa mwezi Kodi inayopatikana Kariakoo ni bilion 14 , mbona kidogo sana?!
 
Kariakoo ni mkoa wa kikodi , watu kutoka nchi jirani wamejaa kariakoo kununua vitu.. wa comoro wamejaa kariakoo wakifunga mizigo..
Hili haliondoi ukweli kwamba ni eneo linalochangia pakubwa Tanzania kutofikia uchumi wa viwanda.
 
Karikoo ni TRADING ECONOMY ni uchumi unaojitegemea na hakuna nchi isiyofanya TRADING meli haziji TZ tu daily Meli zipo baharini kupeleka bidhaa kila sehemu ya Dunia.
Mzigo kiasi gani unatoka Kariakoo kwenda China?
 
Ndio vinatakiwa vipromotiwe, mapinduzi ya viwanda hayaji kwa kuoenda vya nje, Hii nchi inaend akuwa Dampo la kudumu la bidhaaa za nje
Imeshakuwa dampo la bidhaa za nje siku nying sana, hadi sukari na mafuta ya kula vinaagizwa kutoka nje!
 
Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.

Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.

Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.

Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?

Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.

Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?

Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?

Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.

Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Sawa, lakini tujiulize kama visipokuwepo hizo bidhaa za China n.k. wafanyabiashara watauza nini? Nchi hii hata sabuni ya mche ya kufulia zinaagizwa nje. Kuna mahali tumekwama.
 
Una uwezo mdogo wa kujenga hoja.

Ukisema kariakoo haina umuhimu kwa uchumi, uchumi ni nini na unajengwa na vitu gani. Kwa akili yako uchumi ni viwanda tu nani alikukaririsha uchumi ni viwanda tu.

Ilala ndio sehemu inachangia aslilimia kubwa ya makusanyo ya kodi nchi nzima hii TZ na mapato hayo ndio yanaenda kuunda pato la Taifa la ujumla. Unasemaje halina umuhimu hizi akili.

Viwanda hio ni sector nyengine kabisa initiate kujengwa kwa viwanda kama factor moja ya kiuchumi ila usi initiate factor kwa ku-undermine factor nyengine. Karikoo ni TRADING ECONOMY ni uchumi unaojitegemea na hakuna nchi isiyofanya TRADING meli haziji TZ tu daily Meli zipo baharini kupeleka bidhaa kila sehemu ya Dunia.

Kama unawaza Uchumi ni kiwanda una safari ndefu kujifunza uchumi.
Akikupinga hapa wala usimjibu, mpuuze.
 
Viwanda havijenngwi na Chama vinajengwa kwa Sera nzuri ambazo Bongo hazipo, tumekalia siasa za Uchawa tu na kudanganyana
Serikali gani iko madarakani?

Serikali ipi ilianzisha , ilirithi na kuendeleza na hadi kuua mamia ya viwanda ?

Tanganyika packers inaendeleaje?

National Milling cooperation inaendeleaje?

TANALEC inaendeleaje?

UFI inaendeleaje ?
 
Dunia nzima nchi zinapigana kuwa nchi za viwanda, na wanajua nguvu ta nchi yoyoe iko kwenye viwanda na si kuwa Dumping site.

Su bure meli za mizigo zinageuza tupu kurudi ziliko toka then tunashangilia, yaanu tunashangilia meli kubwa za mizigo kutua nanga kuleta products na kuondoka tupu?

Magari ya mizigo huwa yanarudi tupu Dar es salaam mengine yanaamua kubebana kwa sababu sisi ni Dumping site ya products za nje ya nchi.

Sijui SGR itabeba mizigo gani kupeleka Dar es salaam Bandarini
Itabeba products za kutoka mikoa ya kanda ya ziwa, Burundi na Rwanda. Afrika inalo tatizo la wanasiasa kudanganywa na wazungu na wao kugeuka tegemezi bila hata ya kupanua fikra zao juu ya nini wanachoweza kuuza huko nje.

Wazungu wanatumia sana hii mbinu ya kuwapumbaza viongozi wetu lakini tuna kila sababu ya kutazama SGR zaidi ya moja kwa uchumi mpana wa afrika na kwa kuanzia kwa faida ya hizi nchi za afrika mashariki na kati.
 
Mwa ujuavyo nchi yako uchumi wake unatokana na kuinport au kuexport? Katika mzan wa %

Ukipata jibu
Hutoibeza kariakoo ndo kitovu cha uchumi wa nchi kibiashara
 
Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.

Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.

Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.

Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?

Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.

Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?

Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?

Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.

Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.

Unachokieleza ni sahihi kabisa. Lakini kwa upande mwingine ni kuwa kwa kuwa tumekosa uzalishaji kutokana na sera mbovu za uchumi za Serikali, japo kiuhalisia uchuuzi una nafasi ndogo katika kujenga uchumi wa nchi, lakini angalao huo uagizaji nje hizo bidhaa duni za China, na ndiyo unaowahakikishia wananchi upatikanaji wa bidhaa. Wananchi hawana namna kwa sababu upeo wa viongozi wa nchi katika masuala ya uchumi ni hafifu sana.

Msululu wa kodi kwa viwanda, sera hovyo za uchumi uchumi, na sheria zinazobadilika kila mara kwenye uwekezaji, zinazuia kabisa ukuzaji wa viwanda.
 
Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.

Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.

Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.

Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?

Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.

Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?

Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?

Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.

Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Acha kudanganya , uchumi wa nchi hii unategemea kila mwananchi mwenye uhai , so kusema soko kama ilo halina umuhimu japo wanaondesha pale wapo na uhai na wana connection mbalimbali ya wafanyabiashara ndani ya nchi na kutoka nchi zinazotuzunguka ni uhuni wa kujifariji tu

Mfanyabiashara mmoja anaweza kuwa na connection ya wafanya biashasha wenzake 200 na kuzidi ndani na nje ya ichi usione watu wanafika pale kufunga mzigo ,unalija hilo , kama hujui tafiti ,msiipoteze serikali kwa mabandiko yenu uchwara , diplomacia inahitajika katika kutatua mgogoro huu sio ubabe au siasa

Nyie mnafikiri wapikao pale funga mizigo wanakuja tu , acheni ujua
 
Back
Top Bottom