Kariakoo haina umuhimu kwa uchumi wa nchi kama tunavyo aminishana Bongo lala

Kariakoo haina umuhimu kwa uchumi wa nchi kama tunavyo aminishana Bongo lala

Viwanda vinakufa kwa sababu ya kodi na wanasiasa kua wafanya biashara juzi kiwanda kinauzwa watu wajenge nyumba urafiki achana na viwanda vingine vingi vimejifia mashirika mengi pia yamejifia machache yanajikongoja km Tazara na Mengine mengi.Serikali imekaa kutafuta kodi tu hawawazi kujenge uchumi kwa mwananchi kwa kuongeza thamani ya bidhaa zetu kwa kujenga viwanda.Vijana wengi wanaisgia kua machinga hata kusimamia tu kilimo basi vijana wajiajiri huko wameshindwa ila watu wakilima na kuvuna unakuta vizuizi lipa tozo mara hiki.Tanzania hatuna viongozi .
Saaa ndio shisa iko jaoo, tunaua viwanda vyetu tunaanza tujuza vya wenzetu. Nchi asilimia 99 imejaa products za nje. then tunajisifu?
 
Wewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?

Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani

Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
una apply politicak Science haoa mkuu
 
Wewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?

Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani

Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
Huyu hajielewi
 
Wewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?

Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani

Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
Huyu jamaa naona hazimo Yani anajua kariakoo ni msingi wa biashara east Africa yeye anaongea porojo
 
Dunia nzima nchi zinapigana kuwa nchi za viwanda, na wanajua nguvu ta nchi yoyoe iko kwenye viwanda na si kuwa Dumping site.

Su bure meli za mizigo zinageuza tupu kurudi ziliko toka then tunashangilia, yaanu tunashangilia meli kubwa za mizigo kutua nanga kuleta products na kuondoka tupu?

Magari ya mizigo huwa yanarudi tupu Dar es salaam mengine yanaamua kubebana kwa sababu sisi ni Dumping site ya products za nje ya nchi.

Sijui SGR itabeba mizigo gani kupeleka Dar es salaam Bandarini
Sgr nayo ifungwe. Inabeba watu tu. Au sio
 
Sasa Mkuu viwanda vyenyewe viko wapi?
Kwa sasa ambapo hatuna viwanda,bado kwa hizo hizo bidhaa za Kariakoo serikali inakusanya kodi! Ndiyo maana TRA inashinda inafukuzana na wafanyabiashara hao!
 
Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.

Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.

Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.

Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?

Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.

Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?

Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?

Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.

Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Kwanini hukumuambia Chalamila atulie!
 
Ujinga umetuzidi kama mtoa hoja alivyoeleza. Kariakoo ni muhimu kwa TRA kudai kodi sio kwamba ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Ni soko muhimu kwa uuzaji wa bidhaa za nje kwa hivyo ni mhali muhimu kwa taifa kutoza kodi na kodi kubwa kwa zile bidhaa zinaleta ushindani usio sawa kwa zile bidhaa tunazalisha nchini.
Unahangaika!
 
Haiondoi neno Dampo, Kariakoo ni Dampo la products za kigeni, shida wana siasa wanawadanganya sana, mitaji haibadili ukweli, maada ngumu huwezi elewa
Wewe uelewa wako ni mdogo sana

Marekani, Ulaya, mataifa ya ASEAN na Latin America wanatumia zaidi bidhaa za kutoka China kuliko Tanzania

Kwa hiyo wao ni madampo makubwa sio?
 
Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.

Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.

Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.

Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?

Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.

Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?

Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?

Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.

Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Sahihi ...💯💯💯
 
Wewe uelewa wako ni mdogo sana

Marekani, Ulaya, mataifa ya ASEAN na Latin America wanatumia zaidi bidhaa za kutoka China kuliko Tanzania

Kwa hiyo wao ni madampo makubwa sio?
Hata China ukienda utakuta bidhaa za Japani, India Ulaya, Marekani na Korea kusini, Maada ngumu hii huwezi elewa.
Kariakoo pale ni asilimia 100, Kariakoo ni Dampo make pake ni asilimia 100
 
Sahihi kabisa, Kariakoo imechangia pakubwa kudumaza sekta ya viwanda Tanzania.
Ni kechocheo cha kuendelea kuifanya nchi yetu wachuuzi wa bidhaa za China.
 
Sahihi kabisa, Kariakoo imechangia pakubwa kudumaza sekta ya viwanda Tanzania.
Ni kechocheo cha kuendelea kuifanya nchi yetu wachuuzi wa bidhaa za China.
Mkuu wajinga hawataelewa hili kamwe na hawawezi kukuelewa ndio Tatizo la hii nchi. Kariakoo pale hakuna ajira zinazo zalishwa pale, Ajira zinazalishwa China kule tunako chukua mzigo.

Huwezu kuwa na kitovu cha Biashara na hapo asilimia 100 ya products zinatoka nje.
 
Back
Top Bottom