Mbaya zaidi wakianza kukuzonga wanakutoa kwenye reli hata kile kitu ulitaka ununue unaweza usinunue ukanunua kingine.Mimi napiga vita uwinga kabisa kwa sababu ni utapeli mtupu, uwinga hauna tija yoyote kwa wafanyabiashara au wateja.
Ubungo hadi hawa agiza china itawahamishia goliUBUNGO ndiyo dawa ya wahuni wote wa kkoo..
System hiyo ni ya nchi zilizoendelea,kwa TZ ni mlimani city tu,bei unaikuta kwa kitu unachotaka kununuaKuna duka niliingia hapo mkwajuni yaani jamaa hana tamaa yeye kaamua kuuza kama super market anabandika na price tag kabisa hataki kukaushana mate na wiziwizi usio na kichwa wala miguu.Hii itapendeza hapo kariakoo watu wafanye biashara kama jamii zilizostaarabika bandikeni price tag mtu ajikadirie mwenyewe hakuna mbambamba na foleni bila sababu.
Yaani wewe jamaa unatetea upuuzi bila Aibu Tena kwa kujiamini kweli....Ukitaka kwenda mbali lazima uwe fala kwenye mambo flan flan. Ni kama vile unavyotaka kuuza eneo unakuwa kwa muda mbele ya madalali mambo yako yaende. Usipojifunza kunyenyekea bro sahau kufika mbali nakuhakikishia utabakia tu kumiliki nyumba mbili tatu ukienda mbali utajenga hoteli au kumiliki apartment utajidanganya we ni tajiri. Mzee jifunze walipokosea waliokutangulia utafika mbali. Mi winga ndio wananipangia cha kuweka order kiwandani na mzigo ukifika fasta unaisha nataka nini sasa.
Kuitwa boss tajiri mwenye duka cjui mkuu hizo mambo ni upuuzi umetupumbaza wengi.
We jichanganye nao nakuhakikishia utakula mema ya nchi. Mfano mdogo.
Kuna winga mimi tulifikia mahali nikawafungulia maduka tunagawana kwenye faida baada ya mtaji wangu kurudi.
Mzee the sky is your limit ni wewe tu.
Subiri ukutane na majitu kama huyu jamaa wa kujiita Kitali yanakwambia eti yamekuza biashara zao kupitia mawinga, yaani biashara zao zimekuwa kupitia vibaraka wao wanaowatapeli na kuwaibia wateja...Mimi napiga vita uwinga kabisa kwa sababu ni utapeli mtupu, uwinga hauna tija yoyote kwa wafanyabiashara au wateja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utapokelewa jinsi utakavyokuja. Alisikika winga mmoja mchikichini.
Maduka ya vipodozi tu ndo naona hayajavamiwa na mawinga.Chimbo la vipodozi ni wapi kwa sasa??
Sasa kama ni hivi basi haukuwa na aja ya kutoa maneno yaliyojaa fedhuri na dharau kwa mleta mada....Kwa kukusaidia ni kuwa ukiwa na hela akapita muuza ndizi na ukanunua bila kibargain haimaanishi una hela ni kuwa unataka nae apate chochote kitu kuisaidia familia yake. Na wewe unabarikiwa. Maisha unabana ukiwa hapo chini unavyotafuta mtaji ila ukishaanza uwekezaji wajali wengine nakuhakikishia hela zitakuwa zinakufuata. Maisha yangu nimefanyiwa hivyo nilivyokuwa naanza life na mimi nafanya hivyo na kiukweli naziona baraka. Kwa umri wangu wa miaka 45 ninaweza kufunga box nk lakin huwa hizo kazi unampa mtu nae apate riziki ndio maisha yalivyo we baki na mawazo yako uniite mjinga kwangu sio kitu maana kila mtu ana namna amechagua namna ya kuishi humu dunian
Ukitaka kuishi vizuri kariakoo tafuta winga ambaye yuko royal kwako,winga atakuumiza iwapo hamjuani wala hamjawahi kufaana kwa chochote,winga uliyewaji kumfaa jambo lake hanaga kinyongo,mimi mizigo yangu nachukua kwa mawinga wanaonipa hadi bei za kiwandani china pamoja na go dwlown zao nina access ya kuingia,ishu ni aina ya koneksheni uliyonayo.Usijisumbue kwenda Kariakoo kununua mzigo ukidhani Kuna bei nafuu
Kariakoo wamejaa wajanja na madalali tu
Unaweza ingia kwenye duka ukamkuta mwenye duka ukamuuliza bei akakuelekeza uongee na vijana wake wakuumize
Nyie watu situka Kariakoo hakufai kabisa, mawinga wameharibu uaminifu.
Matajiri wanauchukulia wateja kama wajinga, wanajua kuwa mtaenda tu.
Sasa naomba niwape machimbo mapya Kwa Dar
1. Kwa wale wa electronics nenda Tegeta pale Kibo complex utapata bei ambayo Kariakoo haipo
Pia nenda Mbagala rangi Tatu utapata electronics zote, kuanzia Tv, simu, cable
2. Nguo nenda Mwenge au Makumbusho
3. Mitumba
Usijaribu kwenda Karume au Ilala tena
Kwa mitumba ya bei nafuu, mabalo za rejareja nenda Tandika, Temeke, Tandale na Mwenge
Kanda ya ziwa, machimbo yapo Katoro
Kwa machimbo mengine, tujaribu ku share.
Ila chonde chonde Kariakoo utaishia kupandiliwa na kupigwa bei ya maana.
Kariakoo nilikuwepo Jana, nikahairisha kuchukua mzigo kisa mawinga
Kwamba unatuliza kosa lao ni lipi? Mawinga bana..Kosa lao ni lipi nawakati nawao wanatafuta maisha
Ona Sasa ndio maisha gani haya??? Kwamba hela tuitafute kwa shida na hata jinsi ya kuitumia tuanze kutafuta connection hili itumike kwa namna sahihi?? Like serious?Ukitaka kuishi vizuri kariakoo tafuta winga ambaye yuko royal kwako,winga atakuumiza iwapo hamjuani wala hamjawahi kufaana kwa chochote,winga uliyewaji kumfaa jambo lake hanaga kinyongo,mimi mizigo yangu nachukua kwa mawinga wanaonipa hadi bei za kiwandani china pamoja na go dwlown zao nina access ya kuingia,ishu ni aina ya koneksheni uliyonayo.
Kabisa jamii ya hovyo sana.Ona Sasa ndio maisha gani haya??? Kwamba hela tuitafute kwa shida na hata jinsi ya kuitumia tuanze kutafuta connection hili itumike kwa namna sahihi?? Like serious?
Nikisema hii jamii yetu ya kibongo ni jamii ya ovyo sana muwe mnaelewa, hebu ona vitu ambavyo tumevi normalize.. yaani vitu vya oovyoo
Mifano yako ni ya kiduwanzi sana na Haina mshabiano wowote wa kimantiki na hao vibaka wenu wa kiriakoo.. japo wewe unajiona umeandika bonge la pointWinga huwezi kumkwepa
Winga wapo dunia nzima
Hata Tajiri namba moja duniani Jeff Bezos ni winga.
Hata kampuni ya Nike yenyewe ni winga wa vifaa vya michezo. Ila haina kiwanda hata kimoja.
Kampuni ya Gucci ni winga
Royal--loyalUkitaka kuishi vizuri kariakoo tafuta winga ambaye yuko royal kwako,winga atakuumiza iwapo hamjuani wala hamjawahi kufaana kwa chochote,winga uliyewaji kumfaa jambo lake hanaga kinyongo,mimi mizigo yangu nachukua kwa mawinga wanaonipa hadi bei za kiwandani china pamoja na go dwlown zao nina access ya kuingia,ishu ni aina ya koneksheni uliyonayo.
Wana msemo wao utasikia kitu genuineKariakoo unaweza nunua kitu kwa bei ya laki moja ukashangaa mtaani kitu hicho kinauzwa elfu arobaini.
Kkoo pamekuwa pa hovyo sana.
Watu hununua au kuuza kitu kwako kwa sifa kuu tatuOna Sasa ndio maisha gani haya??? Kwamba hela tuitafute kwa shida na hata jinsi ya kuitumia tuanze kutafuta connection hili itumike kwa namna sahihi?? Like serious?
Nikisema hii jamii yetu ya kibongo ni jamii ya ovyo sana muwe mnaelewa, hebu ona vitu ambavyo tumevi normalize.. yaani vitu vya oovyoo