Kosa lao huwezi kuliona kwa mwandiko kama huu au we dokta?Kosa lao ni lipi nawakati nawao wanatafuta maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa lao huwezi kuliona kwa mwandiko kama huu au we dokta?Kosa lao ni lipi nawakati nawao wanatafuta maisha
Nmenunua kasuru kwa 150kEbu nikione! Viatu karume standard bei ni 12,000 kikizidi sana 18,000.
Jina au liko Moja tu,maana siku Chache zijazo naenda kununua kits za mazoeziWew ukifika Mugabe kuna duka la jumla na rejareja , wengi wamenishukuru kuwaunga pale sema usitoe connection kwa Mawinga😅😅
Karume kuna nguo na viatu wanaita mbegu,hizo mbegu uwa ni kwa watu specialKarume pamekua pa ovyo kinoma, unaweza kuzunguka soko zima na usipate chochote cha maana.
Sisi matajiri hatuwezi kuja k/koo kununua bidhaa huwa tunaagiza direct from kiwandani hata vyakula tunanunua kwa jumla we ushawahi kuona tajiri gani amekuja k/koo kununua Tv?we endelea kuumiza masikini wenzako na hao ma Fullback wenu.Kiatu kimoja unabargain hakuna tajir anafanya huo ujinga ukimuambia buku atakuambia nakupa 800 nipe vinne au ukienda duka lolote kubwa bei iko pale sio kubargain. Kama ni biashara ya kati mnabargain. Tajir gan ana muda wa kukaa chini nusu saa anaomba kupunguziwa huyo sio tajir jombaa. Ingekuwa biashara za uzalishaji au za kati sawa sio biashara ya mlaji wa mwisho unakuta mtu anakaa dakika 20 apunguziwe buku huku ananunua kiatu kimoja huyo sio tajir mzee. Tajiri ni muda hawanaga muda.
Kuliko niende Karume na yale makelele bora niingie Tandale na Manzese tuMAWINGA wa karume,..wanaboa Sana..Kuna siku ilibidi niache kabisa kununua nilichofata baada ya kuona shobo nyingi..ikabid nijifanye bubu tu..nawaeleza kwa kutumia ishara..mwisho wa siku nkaondoka nkaelekea mtaa mwingine kabisa
Kweli kabisa, kuna siku nimeenda kariakoo kununua vifaa vya finishing kwenye furniture garama niliyotumia siku hio kwa vifaa hivyo ilikua imezidi 50000 siku niliponunua pale tegeta, kariakoo sipotezi muda tena kwenda huko.Usijisumbue kwenda Kariakoo kununua mzigo ukidhani Kuna bei nafuu
Kariakoo wamejaa wajanja na madalali tu
Unaweza ingia kwenye duka ukamkuta mwenye duka ukamuuliza bei akakuelekeza uongee na vijana wake wakuumize
Nyie watu situka Kariakoo hakufai kabisa, mawinga wameharibu uaminifu.
Matajiri wanauchukulia wateja kama wajinga, wanajua kuwa mtaenda tu.
Sasa naomba niwape machimbo mapya Kwa Dar
1. Kwa wale wa electronics nenda Tegeta pale Kibo complex utapata bei ambayo Kariakoo haipo
Pia nenda Mbagala rangi Tatu utapata electronics zote, kuanzia Tv, simu, cable
2. Nguo nenda Mwenge au Makumbusho
3. Mitumba
Usijaribu kwenda Karume au Ilala tena
Kwa mitumba ya bei nafuu, mabalo za rejareja nenda Tandika, Temeke, Tandale na Mwenge
Kanda ya ziwa, machimbo yapo Katoro
Kwa machimbo mengine, tujaribu ku share.
Ila chonde chonde Kariakoo utaishia kupandiliwa na kupigwa bei ya maana.
Kariakoo nilikuwepo Jana, nikahairisha kuchukua mzigo kisa mawinga
Kmamamake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wala sio uongo, niliuliza nyundo ya kg 10 dukani kariakoo nikaambiwa bei ni 100k, nikapita mtaani jamaa ameweka chini hiyo hiyo nyundo na makolokolo mengine, nikauziwa kwa tsh 35k
🤔😳Wasiojulikana mnaanza kujitokeza.
Erick Kabendera alielekezwa - Kibo complex ilitajwa.
Ally Kibao Kibo, complex ilitajwa
Wewe pia unawaelekeza members wa JF waende Kibo complex. Hamuwapati watu kizembe humu.
Kuwasumbua lazima tuwasumbue ,na mkileta ujuaji tutaanza kuwapiga ngeta na ngwaraWasinisumbue sasa nikiwa natafuta bidhaa Kariakoo, wakae mbali na mimi.
Huyu jamaa sijui ana akili za wapi! Hajui kwamba aki bargain akipata discount inaongeza profit yake.Nani kakwambia wewe, mbona una akili za ajabu, hakuna watu wana bargain kama matajiri, good deals unapata kwa kubargain, business is all about bargaining.
Bro kila mtu ana namna yake ya kutoka so mi binafs ctegemei kuitwa muuza duka milele. Na hata huko madukan huwez kunikuta. Ila nachojaribu kukuambia hicho kitu kipo popote, mi nimekikuta kkoo miaka 25 nyuma na mi kwasasa cfanyi biashara mteja wa mwisho niko kwenye uzalishaji na agent's. Kikubwa life kila mtu ana mkondo wakeHao wateja wa nje mtawakimbiza kwa bei kubwa za mawinga.
Wataenda nchi jirani au maeneo mengine Kama huko Mbagala, Tandika na Mikoani.
Dunia utandawazi watapata taarifa za masoko ya bei nafuu. Msije kuwalilia serikali wameharibu soko lenu kumbe tatizo wenyewe.
Kwani hapo ubungo mawinga hawana uwezo wa kufika?Mpango mzima ni Maduka ya HOMECITY.
Na bado ile China ndogo pale Ubungo terminal ikikamilika wafanyabiashara makanjanja mtanyooka tu days are numbered.
Sasa kwanini hukereki na mawinga wa stendi ?Winga wamevamia uzi
Ila hawa jamaa wanakera yaani hata usipozungumza nao ukifika dukani wanataka wao ndio waonekane wamekuleta
Na kauli mbiu yetu ni ile ile... mteja atapokelewa kwa Jinsi atakavyokujaKuwasumbua lazima tuwasumbue ,na mkileta ujuaji tutaanza kuwapiga ngeta na ngwara
Acheni ujinga aisee !
Mnataka tufe njaa au ?
Mpaka kieleweke .
Mawinga na madalali hoyeeee !
Hawana kazi wape kazi wewe ili waache uwingaKosa lao huwezi kuliona kwa mwandiko kama huu au we dokta?
Umekosea ku quoteWewe ni winga nakuambia acha njaa tafuta kazi ya kufanya hiyo sio kazi ni utapeli