Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Sisi matajiri hatuwezi kuja k/koo kununua bidhaa huwa tunaagiza direct from kiwandani hata vyakula tunanunua kwa jumla we ushawahi kuona tajiri gani amekuja k/koo kununua Tv?we endelea kuumiza masikini wenzako na hao ma Fullback wenu.
 
MAWINGA wa karume,..wanaboa Sana..Kuna siku ilibidi niache kabisa kununua nilichofata baada ya kuona shobo nyingi..ikabid nijifanye bubu tu..nawaeleza kwa kutumia ishara..mwisho wa siku nkaondoka nkaelekea mtaa mwingine kabisa
Kuliko niende Karume na yale makelele bora niingie Tandale na Manzese tu
 
Kweli kabisa, kuna siku nimeenda kariakoo kununua vifaa vya finishing kwenye furniture garama niliyotumia siku hio kwa vifaa hivyo ilikua imezidi 50000 siku niliponunua pale tegeta, kariakoo sipotezi muda tena kwenda huko.
 
Wala sio uongo, niliuliza nyundo ya kg 10 dukani kariakoo nikaambiwa bei ni 100k, nikapita mtaani jamaa ameweka chini hiyo hiyo nyundo na makolokolo mengine, nikauziwa kwa tsh 35k
Kmamamake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnataka graduates majobless tule wapi ninyi watu ?
Kutuajiri hamtaki , tukiwa mawinga na madalali mnatuita vibaka na matapeli , tukiwa marioo kwa mishangazi yenu mnatuwinda kitaa , tukiwa panya road na kupiga roba na nondo mitaani mnaita wasiojulikana squad kuja kutupeleka mkuranga kutumaliza , tukiamua kukaa majumbani mnatuita wazembe na hatutaki kazi ,tukiamua kutembeza bahasha kusaka kazi mnatuambia hatuna experience na tujiajiiri tu na hapo mitaji hatuna mitaji .

Hebu mtuache bana
 
Wasiojulikana mnaanza kujitokeza.
Erick Kabendera alielekezwa - Kibo complex ilitajwa.
Ally Kibao Kibo, complex ilitajwa

Wewe pia unawaelekeza members wa JF waende Kibo complex. Hamuwapati watu kizembe humu.
🤔😳
 
Mawinga na madalali wapo hadi huko kwenye dini na imani zenu aisee , wachungaji , mashehe na waganga wa kienyeji wanawakamua sadaka na kafara ili msamehewe dhambi ,mwende mbinguni na kupata mafanikio .
Sembuse mitaani humu na kwenye masoko ?
 
Bro kila mtu ana namna yake ya kutoka so mi binafs ctegemei kuitwa muuza duka milele. Na hata huko madukan huwez kunikuta. Ila nachojaribu kukuambia hicho kitu kipo popote, mi nimekikuta kkoo miaka 25 nyuma na mi kwasasa cfanyi biashara mteja wa mwisho niko kwenye uzalishaji na agent's. Kikubwa life kila mtu ana mkondo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…