Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Kabisa jamii ya hovyo sana.

Yani mtu anatoa ushauri wa kipumbavu na anaona sawa tu.

Sasa kwa hali ya kawaida inawezekana vipi kila mtu awe na winga wake ambaye yupo royal.

Ni kitu kisichowezekana ni pia ni usumbufu kwa mteja.

Muhimu watu wakatae kwenda Kkoo.
Yaani jamaa anavyoelezea Yuko very proud as if ni jambo la kijivunia sana na wakati ni ujinga tu Tena ujinga unaotia uzuni.

Yaani kwamba Sasa hivi tuanze kuumizwa kichwa jinsi ya kupata hela na pia vile vile tuumize kichwa kuwatafuta hao mawinga watakaotuuzia vitu kwa bei sahihi, kwa sababu tu hakuna usimamizi kwenye suala Zima la bei elekezi??

Kwa akili hizi wakenya wakitutukana huwa nawaona wako sahihi wakati mwingine...

Sasa hivi Mimi baada ya Karume sehemu nyingine ambayo sitoenda kununua bidhaa yoyote ni huko kariakoo, acha tu nianze kuagiza AliExpress.
 
Watu wenyewe ndiyo wanawaendekeza hao mawinga
Unaenda dukani,duka unaliona
Hakuna haja wala kupoteza muda kumsikiliza winga

Ova
Mawinga wanafosi sana kingi.

Ukifika tu dukani hata kama ulienda mwenyewe winga lazima akudandie na wenye maduka yao wanakuacha na winga uangaike nae akupige.

Yeye katulia pembeni tuli.
 
Yaani jamaa anavyoelezea Yuko very proud as if ni jambo la kijivunia sana na wakati ni ujinga tu Tena ujinga unaotia uzuni.

Yaani kwamba Sasa hivi tuanze kuumizwa kichwa jinsi ya kupata hela na pia vile vile tuumize kichwa kuwatafuta hao mawinga watakaotuuzia vitu kwa bei sahihi, kwa sababu tu hakuna usimamizi kwenye suala Zima la bei elekezi??

Kwa akili hizi wakenya wakitutukana huwa nawaona wako sahihi wakati mwingine...

Sasa hivi Mimi baada ya Karume sehemu nyingine ambayo sitoenda kununua bidhaa yoyote ni huko kariakoo, acha tu nianze kuagiza AliExpress.
Mimi kariakoo niliacha kwenda baada ya kuona mahitaji yangu mengi nayapata maduka ya mtaani kwangu kwa gharama nafuu kuliko kkoo nikastuka nikaacha kabisa kwenda.

Labda nitafute kitu nikikose kabisa maduka ya mtaani ndo ntaenda huko kwa mawinga(wezi)wanaopandisha bei kuliko kawaida.
 
Wabongo wengi kwenye biashara uwa tunaangalia tunachopata wakati huo tu hata kama uko mbeleni kutakua na risk,hatujui biashara aisee,leo uniuzie famba unadhani kesho nitakuja!
Wabongo wengi kwenye biashara zao huwa wanapata wateja wapya Kila siku, na siku hao wateja wapya wakianza kuhadimika anafunga biashara na kurudisha fremu kisha anaanz kusingizia Kuna watu wamemuonea wivu na hivyo wameroga...

Mbongo anafanya baishara kwa kuangalia hela anayoingiza leo tu, Wala Hana muda wa kutengeneza customer base ya kudumu
 
Mimi kariakoo niliacha kwenda baada ya kuona mahitaji yangu mengi nayapata maduka ya mtaani kwangu kwa gharama nafuu kuliko kkoo nikastuka nikaacha kabisa kwenda.

Labda nitafute kitu nikikose kabisa maduka ya mtaani ndo ntaenda huko kwa mawinga(wezi)wanaopandisha bei kuliko kawaida.
Umechukua uamauzi sahihi kabisa mkuu.

Mimi mwenyewe Kuna siku nimenunua jeans zangu mbili nzuri kabisa kwa @16,00/= kwa jamaa alikuwa anatembeza mitaani, wiki Moja baadae nikaenda Kariakoo jeans za aina ile ile nikaambiwa bei ya reja reja ni 22,000/= tangia hapo sijanunua Tena nguo Kariakoo.

Acha tubaki kununua vitu mitaani, hao vibaka wa Kariakoo acha wawe wanaangaliana tu na wamiliki wa maduka kwanzia hasubui mpaka jua linazama.
 
Sasa kama ni hivi basi haukuwa na aja ya kutoa maneno yaliyojaa fedhuri na dharau kwa mleta mada....

Kama wewe unaona ni sawa tu kununua kitu ambacho Kiko overpriced kwa lengo la kutaka na wengine wapate kwa sababu kipato chako kinaruhusu, basi wasikilize na waheshimu wale ambao Bado Wana bargain mpaka kwenye lowest price line, maana hapa duniani binadamu hatufanani kama tu ilivyo kwa vidole.

Kuhusu uwinga Bado nakwambia uwepo wao ni sumu na pigo kubwa sana kwa wateja, na ndio chanzo Cha kupunguza kwa customer base ya Eneo husika, mfano kama Mimi leo hii siwezi kabisa kwenda Karume kutokana huu ushenzi, yaani unaingia tu pale mlangoni unapokelewa na mawinga kama watano na Kila mtu anakuongelesha, haya unafika golini suruali moja ya mtumba wanakutajia bei eti 35,000/= kweliii??? Hapo unategemea Kuna mtu anarudi Tena Hilo Eneo.?

Hao mawinga wenu wanawaharibia biashara sana wewe endelea kuwatetea tu hapa
Biashara mimi nimeingia kkoo nimeikuta hivyo japo nipnipo nimetoka nimeiacha hivyo. Unataka kupata hela usiwabanie watu biashara haiwez kufa kwaajili ya winga mzee. Biashara inakufa kwa kukosa mahtaji ya watu. Biashara ni game ya kuwin mindset za watu. Unaleta kisichopatika popote hawana jins zaid ya kukufuata na unacheza na wakati ili wasizoee aina moja ya kazi. So unatengeneza kitu kwenye akili yao kinachoamin uwezo wako basi. Miaka 5 unabadilika. Ukiona unazeeka unatengeneza management fungua branch unapeleka akili mpya front we unakaa pembeni kudhamin pambano.
 
mawinga ni inzi katika biashara tupinge uwepo wa inzi katika biashara😁😁😁😁. Inzi wanaleta kipindupindu Na wachina wakija hapo ubungo ni bora kuwaunga wachina sio hawa NGOZI NYEUSI NYWELE NGUMU.Mijitu mweusi haitakuja kustaarabika kamwe na ndo jamii ya binadamu ambayo itaendelea kutawaliwa milele.
Aisee hapo kwa bold umeongea kwa uchungu sana japo ndio uhalisia wenyewe
 
Biashara mimi nimeingia kkoo nimeikuta hivyo japo nipnipo nimetoka nimeiacha hivyo. Unataka kupata hela usiwabanie watu biashara haiwez kufa kwaajili ya winga mzee. Biashara inakufa kwa kukosa mahtaji ya watu. Biashara ni game ya kuwin mindset za watu. Unaleta kisichopatika popote hawana jins zaid ya kukufuata na unacheza na wakati ili wasizoee aina moja ya kazi. So unatengeneza kitu kwenye akili yao kinachoamin uwezo wako basi. Miaka 5 unabadilika. Ukiona unazeeka unatengeneza management fungua branch unapeleka akili mpya front we unakaa pembeni kudhamin pambano.
Sawa nimekuelewa winga mstaafu...
 
Mawinga wanafosi sana kingi.

Ukifika tu dukani hata kama ulienda mwenyewe winga lazima akudandie na wenye maduka yao wanakuacha na winga uangaike nae akupige.

Yeye katulia pembeni tuli.
Biashara kama hizo ni za kishz
Tu,ngoja dawa yao inachemka
Ngoja ubungo pamefunguliwe
Kuna kitu wataona tofauti huko
Walaji wote watakimbilia huko ubungo

Ova
 
Wabongo wengi kwenye biashara zao huwa wanapata wateja wapya Kila siku, na siku hao wateja wapya wakianza kuhadimika anafunga biashara na kurudisha fremu kisha anaanz kusingizia Kuna watu wamemuonea wivu na hivyo wameroga...

Mbongo anafanya baishara kwa kuangalia hela anayoingiza leo tu, Wala Hana muda wa kutengeneza customer base ya kudumu
Shida inaanzia hapo mkuu
 
Back
Top Bottom