We know why things happen same you can refer my documentary see you🤐Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
View attachment 2768304
Kitengo cha zima moto hakina uwezo,nyenzo za kufanya kazi hizoHivi nchi hii moto unaanza kuwaka saa moja asubuhi hadi hii saa tano hakuna dalili za kuuzima.
Kuna siku Ikulu itateketea hivi hivi.
Wanakwenda na mioto ya mazingaombweKupeleka dar wakuu wa mikoa wanao toka mbeya ni majanga sana
Hivi zile fremu za biashara pale fireMoto unawaka kilomita moja tu toka yalipo magari ya zinamoto. Na bado unaeendelea kuwaka.
Je ukiwaka Ikulu ya Dodoma.
Ni ujinga mtupu. Tena ningekuwa na mamlaka ningewafukuza kama mbwa kwa kichapo wajinga sana hao wanaopanga ovyo vitu na wanakwepa kodi sana.Kama una maisha mazuri na mitaji ya kukodi frame mshukuru mungu na sio kuwaombea wenzako wafukuzwe.
TUNATEGEMEANA.
Watu wasiokua na ramani wanafurahi sana majanga yakiwapata wenye ramani ili wawe sawa..Kuna watu wa ajabu sana nchi hii.
Watu wakiumia wao wanafurahia, ukisikia Wachawi ndio hao.
Daah mbona una hasira sana wakati TRA wanapita hadi malengo yao wewe Mchimba chumvi huku unawakashifu walipa Kodi...Ni ujinga mtupu. Tena ningekuwa na mamlaka ningewafukuza kama mbwa kwa kichapo wajinga sana hao wanaopanga ovyo vitu na wanakwepa kodi sana.
Umesoma wapi kwamba soko linaungua? Wewe unajua kariakoo ni soko tuu??Watu washapiga pesa na kuiba ,wanaunguza soko kupoteza ushahidi ,,mjin Shule ...
AiseNi ujinga mtupu. Tena ningekuwa na mamlaka ningewafukuza kama mbwa kwa kichapo wajinga sana hao wanaopanga ovyo vitu na wanakwepa kodi sana.
Yaani hao machinga wajinga wajinga wanaziba mpaka njia unawaita walipa kodi??? Yaani hao wanatakiwa wafukuzwe wote. Yaani haiwezekani hata kupita tu kariakoo eti bega kwa bega. Hivi nani ananunua hizo bidhaa. Siku ikitokea majanga mtasema. Wakifa hata watu mia tano au elfu kisa msongamani ndiyo mtakuja kusema eti serikali haijasaidia. Hao wajinga wote waondoshwe ili kariakoo ibaki peupeDaah mbona una hasira sana wakati TRA wanapita hadi malengo yao wewe Mchimba chumvi huku unawakashifu walipa Kodi...
[emoji1]Umesoma wapi kwamba soko linaungua? Wewe unajua kariakoo ni soko tuu??
Ikulu pia iliwai unguwa na kuna vyumba viliteketea kabisa[emoji1787]Vilikuwa na Nyaraka lakini! Nini Nyaraka[emoji23]
DuhYaani hao machinga wajinga wajinga wanaziba mpaka njia unawaita walipa kodi??? Yaani hao wanatakiwa wafukuzwe wote. Yaani haiwezekani hata kupita tu kariakoo eti bega kwa bega. Hivi nani ananunua hizo bidhaa. Siku ikitokea majanga mtasema. Wakifa hata watu mia tano au elfu kisa msongamani ndiyo mtakuja kusema eti serikali haijasaidia. Hao wajinga wote waondoshwe ili kariakoo ibaki peupe
Usimhukumu mwenzako hujui anapitia changamoto gani maishaniNi ujinga mtupu. Tena ningekuwa na mamlaka ningewafukuza kama mbwa kwa kichapo wajinga sana hao wanaopanga ovyo vitu na wanakwepa kodi sana.
Kwa taarifa niliyoiona inasema mpaka jengo ambalo ipo bank pia limeguswa.nauliza tu mkuu Niko Masaki church hapa.kama unawaka hapo niambie
Mie nimetania tu ila nimeumia sana maana kuna duka langu la movie sehemu hiyo nalo lime unguaWhy broo?? Kuna faida unapata mwenzako akiumia?
Nina fremu yangu nauza movie hapo ime ungua mie natania tu nina bima na itanilipaIngekua ni duka lako linaungua ungetania pia bila shaka🙄