ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Hao chinga wanasababisha ukwepaji wa kodi. Waende mchinga complex. Yaani kuna siku nimepita yaani siyo ile kariakoo ya zamani kwa sasa imejaa wakwepa kodiUsimhukumu mwenzako hujui anapitia changamoto gani maishani
Haujui kitu wew mie mwenyew nimeunguziwa fremu hapoMkuu ungekua na wazazi au ndugu wapo humo ndani still unge comment hii comment.....
MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAAA
Daah mbona una hasira sana wakati TRA wanapita hadi malengo yao wewe Mchimba chumvi huku unawakashifu walipa Kodi...
Apo Bank of Africa hela zetu zipo salama kweli ?Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
View attachment 2768304
Mbona kama umeandka utotoKwanini uwake jumapili sasa
Mmewapigia FireMoto unawaka lisaa na hakuna dalili ya kuuzima.kweli nchi hii
Uchawi sio lazima upae kwenye ungo, hapa wewe umetimiza PHD ya UchawiSafi sana yaani saana
Hivi kuna bank inayolaza pesa mingi weekend?Naona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo
Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
Wape kazi hao machinga wataondoka hapo Kariakoo.Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
Hilo eneo la mnadani kuna umbali na soko la Kariakoo. Rusijazane ujinga, wengine tumekulia mitaa hiyo, tunaifahamu toka haijaanza kujengwa Maghorofa.Kwakifupi hilo eneo ni mbele ya soko kuu la kkoo ambalo liko kwenye maboresho na matengenezo, inawezekana wameona walichome na hilo ili kusafisha mandhari ya mbele ya soko lao.Wamelichoma hili bila shaka yoyote wenye mamlaka zao
Kama twiga anagairisha safari Kila siku. Tunaondoka baada ya masaa mawili. Samahani kwa usumbufu. Hiyo fire [emoji602] twiga c itakuja baadaye sanaMimi huwa najiuliza! Ni matukio machache ambayo jeshi la Zima moto huwa linafakiwa kuzima moto.Na changamoto ninayoiona ni kutegemea magari ya Maji ambayo kama moto umetokea katika maeneo ambayo hayawezi kupita huwa hayana msaada wo wote!
Hivi Serikali haiwezi kununua ndege za Helkopita za Kuzima moto kama wenzetu huko duniani ambazo zinaweza kufika kwenye tukio haraka kuliko kutegemea haya magari ya Maji ambayo pengine yakikutana na foleni yanaweza kushindwa kufikia kwenye tukio kwa wakati?
Na idara ya zimamoto na uokozi ipo hatua chache kutoka tukio lilipotokeaMoto unawaka lisaa na hakuna dalili ya kuuzima.kweli nchi hii
ukute sasahivi hamnahata kibanda huku k kooHilo eneo la mnadani kuna umbali na soko la Kariakoo. Rusijazane ujinga, wengine tumekulia mitaa hiyo, tunaifahamu toka haijaanza kujengwa Maghorofa.