Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Hivi kuna bank inayolaza pesa mingi weekend?
 
Wape kazi hao machinga wataondoka hapo Kariakoo.
Inaonekana umeshiba Kande za shemeji yako.
Unadharau kazi za wanaume wenzio wanahangaika kulea familia zao.
Jiheshimu aisee))
 
Kwakifupi hilo eneo ni mbele ya soko kuu la kkoo ambalo liko kwenye maboresho na matengenezo, inawezekana wameona walichome na hilo ili kusafisha mandhari ya mbele ya soko lao.Wamelichoma hili bila shaka yoyote wenye mamlaka zao
Hilo eneo la mnadani kuna umbali na soko la Kariakoo. Rusijazane ujinga, wengine tumekulia mitaa hiyo, tunaifahamu toka haijaanza kujengwa Maghorofa.
 
Kama twiga anagairisha safari Kila siku. Tunaondoka baada ya masaa mawili. Samahani kwa usumbufu. Hiyo fire [emoji602] twiga c itakuja baadaye sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…