Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Mwaka 2011 nikiwa diwani wa kawaida tu, tulipokea ugeni kutoka nchini Kenya, madiwani na watumishi wa jiji la NairobiWalikuja kujifunza kuhusu huduma za kukabiliana na majanga Dar es Salaam, tukiwatembeza katika vituo vyetu vya zimamoto na mabomba ya maji ya dharuraWalitusifia sana wakasema Dar es Salaam ipo vizuri kuliko Nairobi.

Mwaka 2013 Jiji la Nairobi walianza kufanya maboresho na mabadiliko kuhusu muundo, mfumo, huduma na vifaa vya kuzima moto na kukabiliana na majanga.Wenzetu waliweka maslahi yao, tofauti zao za kiitikadi, kikabila na vyama vyao pembeni.

Wakati Tanzania tumeweka msimamo wa kutopokea magari yaliyotumika kutoka Ulaya wao waliyapokea kutoka BELGIUM gari 12, TURKEY 10, na SWEDEN gari 10 Wakajenga chuo cha kufundisha kukabiliana na majanga ya asili na moto Wakachimba visima vya maji na kujenga matanki ya maji ya kuzimia moto .

Wakajenga vituo vya zimamoto kila Jimbo (kwa mfano Dar es Salaam tuna majimbo 10, kila Jimbo liwe na kituo cha zimamoto)Wenzetu leo wamejipanga kuliko sisi, tumekwama wala hatujaliMwaka 2018 serikali ya CCM ikazuia yjenzi wa kituo cha kuzimia moto wilaya ya Ubungo, sehemu ya Kwembe - Luguruni tena kwa pesa za wafadhili kutoka Germany, jiji la Hamburg CCM haijali wala haina muda wa kujali Watanzania wanaopoteza mali na mitaji yao.
 
BOA haijaungua.
 
Ningekua mkuu wa nchi ningeifumua zimamoto na uokoaji yote niisuke upya. Na leo ningeondoka na kichwa kikuu na Waziri aondoke na wanaomshahili. Huu uhuni wakutowajibika kiasi hiki haikubaliki.
 
Nilishangaa pale big bon wamejenga frem ingawa niliona maandishi ya kuzuia ujenzi lakini tayari lilishakamilika. Baadae wataunda time.
Hee, umeniwahi, yaani fremu za biashara alafu eti kuna NEMC?
Hii nchi nakwambia atafutwe mtoto wa MAGUFULI AONGOZE tu.

Kituo cha mafuta kinajazwa maduka? hivi moto ukitokea siku za kazi pale si mauaji ya halaiki?
 
Mambo mengi tz yanaendeshwa kisenge senge sana. Juzi niliiskia kwenye ofisini moja ya umma mtu mmoja (mkuu kikazi) anamwambia mtu mwingine (mdogo kikazi) aliekuwa amempelekea formu fulani hivi eti "hapo andaa orodha yoyote ya watu kama 10 ionekane wao ndio walishusha huo mzigo, halafu fulani (jina) asaini.

Yule mdogo nikasikia akamwambia mkubwa "tatizo fulani(jina) yupo mwanza"

Mkubwa "Utasaini jina lake"

Nikabaki nasema kimoyo moyo "kmmke hii nchi ya kisenge sana
 
Mola awape sibra watahiniwa na awape kilichobora zaidi
 
Heheheee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…