Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wanakaa kibaha, kiluvya hawajawahi fika katikati ya jiji wakija mjini wanaishia mbezi mwisho. Wakijitahidi sana ni kimara na ubungo fullstop. Zaidi ya hapo hata nauli ya kurudi hawana
Kwan mjini ni wap?Kuna watu wanakaa kibaha, kiluvya hawajawahi fika katikati ya jiji wakija mjini wanaishia mbezi mwisho. Wakijitahidi sana ni kimara na ubungo fullstop. Zaidi ya hapo hata nauli ya kurudi hawana
wamekua kuku wa kizungu, mahtaji yote bandani.Yaweza kua nikweli, lakin hamna faida ya kujivuna kwakukaa sehem mmoja. Nashauri tutembee kwan kuna faida sana.
Kuhusu Mbagala, nakataa aisee! Maana wakati naishi maeneo hayo, kulikuwa na daladala aina ya Toyota DCM. Zilikuwa zinatoka Mbagala Rangi 3 kwenda Posta/Kivukoni!!na huku mbagala tuna maisha yetu, huduma zote tunazipata huku kuanzia miguu ya kuku, utumbo, sukari ya sh mia n.k
Nyumba za NHC ni babu zao, Nyerere aliwaporaWote wanakaa nyumba za NHC siku wakitimuliwa sijui itakuwaje
KariakooKwan mjini ni wap?
Wote wapuuzi.😂😂😂😂asante kunitngulia nimekosa hata cha kuandikaWote mmekoment ubatili mtupu
Kila Mtu ashinde mechi zakena huku mbagala tuna maisha yetu, huduma zote tunazipata huku kuanzia miguu ya kuku, utumbo, sukari ya sh mia n.k
Dsm inanuka sana, hasa FerryIla shombo la ferry wanalichuja vip mkuu au hawatoki nje kupata hewa safi?
Umesahau sukari inapimwa kuanzia KIJIKO CHA CHAIna huku mbagala tuna maisha yetu, huduma zote tunazipata huku kuanzia miguu ya kuku, utumbo, sukari ya sh mia n.k
Mm sikuwai kujua mbagala,chamazi,mbande,msongola,kitonga,mvuti, chanika, dar es salaam ni kubwa sanaaa...Hili si la Uongo, nimekutana na Kijana Mzaliwa wa kariakoo mwenye Familia yake, hakuna sehemu nyingine anayoijua zaidi ya Kariakoo, Ilala, Magomeni na Posta yenyewe..Kwa sasa ndiyo ameanza angalau kutoka anaeza kwenda Maeneo mengine nje ya Mji...
Unamiliki dhahabuMimi nimezaliwa mwakitolyo. Unapajua ww?
CHAIBaadhi ya maeneo ya Kariakoo, Upanga na Posta hawa watu ni wana nchi yao ndani ya nchi
Mtu anazaliwa Posta hajawahi kufika hata Magomeni
Hudumza zote wanapata huko huko
Posta mpaka kuna vyuo vikuu vya nje vyenye matawi
Starehe zao ni huko huko
Hosptali zao ni classic zipo
Maduka yao Posta mengi ni OG
Masoko na supermaket
Mtu akitoka sana jua anaenda ofisi za uhamiaji ama airport