Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Mwache. Ndivyo wanavyodanganyana huko mikoani.Uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache. Ndivyo wanavyodanganyana huko mikoani.Uongo
Kweli kabisa, kuna watu wanaishi huku mpiji magoe, town yao ni mbezi mwishoKuna watu wanakaa kibaha, kiluvya hawajawahi fika katikati ya jiji wakija mjini wanaishia mbezi mwisho. Wakijitahidi sana ni kimara na ubungo fullstop. Zaidi ya hapo hata nauli ya kurudi hawana
Kuna mdada anaishi Chanika akaniambia hajawahi kufika mlimani Citymimi nilishangaa mtu anaishi tegeta toka mtoto anasema hajawahi kufika chanika.
kabisa hapajui.
Dar es Salaam imetanuka sana sasa. Tofauti na miaka ya 1990s au 2000s. Ni kawaida kukuta mtu anaishi Chanika na hapajui Mlimani City. Sehemu za pembeni ya Dar zimezalisha maeneo mengi ya makazi. Mfano, Chanika imezalisha maeneo mengi kama vile Homboza, Zingiziwa, n.k, Mbezi Kuna msimu, makabe, Mpiji magohe, malamba mawili n.k halikdhalika Mbagala na maeneo yake. Na Maendeleo yapo, huduma nyingi zipo huko. Na zaidi maeneo ya mkoa wa Pwani jirani na Dar yefungua makazi mapya kama vile Kibaha, Kisarawe, Mkuranga (Kisemvule, Vikindu) n.kKuna mdada anaishi Chanika akaniambia hajawahi kufika mlimani City
😀😀😀🤣😂 Wazanzibari nao watatulaumu kwa kutokupajua Mchamba wima au JambianiNyie mbona hampajui Mpigamiti, Liwale?
Na wote tunavuta pumzi mojana huku mbagala tuna maisha yetu, huduma zote tunazipata huku kuanzia miguu ya kuku, utumbo, sukari ya sh mia n.k
muulize Engineer Hersy.Kuna dogo mmoja nilikutana nae katika mishe mishe anaishi mtaa wa zanaki hapo posta. Mikocheni hapajui wala ubungo au kawe hata hapo magomeni tu yeye hajawahi kufika.
Ni Posta kasoma shule za mjini, akitaka kusafiri anakula Pipa Airport basi