Karibu asilimia 70% ya maswali ya baadhi ya waandishi wa habari Bongo ni ya ovyo; nina wasiwasi na ubora wa vyuo vya habari

Karibu asilimia 70% ya maswali ya baadhi ya waandishi wa habari Bongo ni ya ovyo; nina wasiwasi na ubora wa vyuo vya habari

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Nimefuatilia mahojiano (interview) nyingi za waandishi wa habari Tanzania!

Wengi wao wanamaswali ya hovyo na kipuuzi kuliko mahitaji ya jamii inachohitaji kujulishwa!

Maswali yao mengi yapo kwenye mlengo wa taharuki kwamba Flani kasema vile na vile almradi tu jambo lionekane la kuishangaza jamii.

Mfano: Kesi ya Feisali na TFF wanahabari wanaonekana kuuliza upuuzi upuuzi mwingi mara ooh tumesikia mama akilalama kuwa mwanae alilishwa ugali na sukari. Je, Feitoo alipokuwa yanga alikula ugali na sukari ya mtibwa? au alilambishwa mayonaiza?

Hivi kwrli Maswali ya sampuli kama hiyo yanamsaada gani katika jamii kama siyo ubovu wa wanahabari wetu?

Huenda wanaohojiwa wanakerwa lakini wanayavumilia tu! Hayana tija kabisa!

Natamani kuona wanahabari wenye uwezo wa kuhoji kila swali lenye tija angalau 80% ya ujumbe
 
Nimefuatilia mahojiano (interview) nyingi za waandishi wa habari Tanzania!

Wengi wao wanamaswali ya hovyo na kipuuzi kuliko mahitaji ya jamii inachohitaji kujulishwa!

Maswali yao mengi yapo kwenye mlengo wa taharuki kwamba Flani kasema vile na vile almradi tu jambo lionekane la kuishangaza jamii.

Mfano: Kesi ya Feisali na TFF wanahabari wanaonekana kuuliza upuuzi upuuzi mwingi mara ooh tumesikia mama akilalama kuwa mwanae alilishwa ugali na sukari. Je, Feitoo alipokuwa yanga alikula ugali na sukari ya mtibwa? au alilambishwa mayonaiza?

Hivi kwrli Maswali ya sampuli kama hiyo yanamsaada gani katika jamii kama siyo ubovu wa wanahabari wetu?

Huenda wanaohojiwa wanakerwa lakini wanayavumilia tu! Hayana tija kabisa!

Natamani kuona wanahabari wenye uwezo wa kuhoji kila swali lenye tija angalau 80% ya ujumbe
Tuweke mbali journalism, ni taaluma gani nyingine ambayo tuna watu competent?
 
Kuna kitu inaitwa upeo,
Ukishakuwa na upeo mdogo Kwa kweli inasikitisha Sana.
Wenzako hapo wanaona wameuliza maswali ya Maana.

Kibongobongo ni ngumu kutofautisha Uandishi na Umbea
Elimu ndogo tena ya kuunga unga, utegemee kuwa na maarifa makubwa?!!Kenya tu wanatuzidi mbali sana,ndio maana hata kwenye tuzo za kimataifa wanatuacha mbali sana!!kwa Tz kwa sasa kumpata mtangazaji kama Generali ulimwengu,na mzee wa kitimoto(Paskali mayala) ni ngumu!!ndio maana kwa sasa hakuna tv yoyote yenye kipindi chenye maswali magumu!!kile cha dk 45 cha ITV,hakuna kitu,kuna hard talk cha BBC cha steve sucker,na kile cha voice of America(VOA) cha kipindi kile cha mzee shaka asali(keep africa hope alive)jamaa wanakuuliza mambo ya kijijini kwako wanayajua kuliko hata wewe unayeishi hapo!!
 
Kuna kitu inaitwa upeo,
Ukishakuwa na upeo mdogo Kwa kweli inasikitisha Sana.
Wenzako hapo wanaona wameuliza maswali ya Maana.

Kibongobongo ni ngumu kutofautisha Uandishi na Umbea
Hakika
 
Elimu ndogo tena ya kuunga unga, utegemee kuwa na maarifa makubwa?!!Kenya tu wanatuzidi mbali sana,ndio maana hata kwenye tuzo za kimataifa wanatuacha mbali sana!!kwa Tz kwa sasa kumpata mtangazaji kama Generali ulimwengu,na mzee wa kitimoto(Paskali mayala) ni ngumu!!ndio maana kwa sasa hakuna tv yoyote yenye kipindi chenye maswali magumu!!kile cha dk 45 cha ITV,hakuna kitu,kuna hard talk cha BBC cha steve sucker,na kile cha voice of America(VOA) cha kipindi kile cha mzee shaka asali(keep africa hope alive)jamaa wanakuuliza mambo ya kijijini kwako wanayajua kuliko hata wewe unayeishi hapo!!

Uandishi wa habari ni kama uanasheria, unahitaji MTU Msomi( ambaye sio Mvivu WA kusoma soma na kufuatilia Historia) sasa hawa Ndugu zetu kusoma hawataki, hawajui Kwa kina Historia ya nchi na dunia, sio mahiri kwenye Lugha iwe Kiswahili au kingereza, hapo unategemea nini?
 
Nimefuatilia mahojiano (interview) nyingi za waandishi wa habari Tanzania!

Wengi wao wanamaswali ya hovyo na kipuuzi kuliko mahitaji ya jamii inachohitaji kujulishwa!

Maswali yao mengi yapo kwenye mlengo wa taharuki kwamba Flani kasema vile na vile almradi tu jambo lionekane la kuishangaza jamii.

Mfano: Kesi ya Feisali na TFF wanahabari wanaonekana kuuliza upuuzi upuuzi mwingi mara ooh tumesikia mama akilalama kuwa mwanae alilishwa ugali na sukari. Je, Feitoo alipokuwa yanga alikula ugali na sukari ya mtibwa? au alilambishwa mayonaiza?

Hivi kwrli Maswali ya sampuli kama hiyo yanamsaada gani katika jamii kama siyo ubovu wa wanahabari wetu?

Huenda wanaohojiwa wanakerwa lakini wanayavumilia tu! Hayana tija kabisa!

Natamani kuona wanahabari wenye uwezo wa kuhoji kila swali lenye tija angalau 80% ya ujumbe
Sio kwamba wanaendana na Mahitaji ya Jamii yetu?
Nafikiri hayo ndio aina ya mambo Watanzania wengi wanapenda kusikia.
 
Kuna kitu inaitwa upeo,
Ukishakuwa na upeo mdogo Kwa kweli inasikitisha Sana.
Wenzako hapo wanaona wameuliza maswali ya Maana.

Kibongobongo ni ngumu kutofautisha Uandishi na Umbea

Niliwahi kusema waandishi wa habari wa Kenya, Rwanda, Uganda wanauliza maswali yenye mantiki sana kuliko waandishi wetu Tanzania wako level ya waandishi na wana habari wa Burundi, Congo maana kosa waulize vitu vyenye logic wao huuliza umbea umbea tu,
 
Nimefuatilia mahojiano (interview) nyingi za waandishi wa habari Tanzania!

Wengi wao wanamaswali ya hovyo na kipuuzi kuliko mahitaji ya jamii inachohitaji kujulishwa!

Maswali yao mengi yapo kwenye mlengo wa taharuki kwamba Flani kasema vile na vile almradi tu jambo lionekane la kuishangaza jamii.

Mfano: Kesi ya Feisali na TFF wanahabari wanaonekana kuuliza upuuzi upuuzi mwingi mara ooh tumesikia mama akilalama kuwa mwanae alilishwa ugali na sukari. Je, Feitoo alipokuwa yanga alikula ugali na sukari ya mtibwa? au alilambishwa mayonaiza?

Hivi kwrli Maswali ya sampuli kama hiyo yanamsaada gani katika jamii kama siyo ubovu wa wanahabari wetu?

Huenda wanaohojiwa wanakerwa lakini wanayavumilia tu! Hayana tija kabisa!

Natamani kuona wanahabari wenye uwezo wa kuhoji kila swali lenye tija angalau 80% ya ujumbe
Hii tasnia imevamiwa na makanjanja wasio na weledi...
Pascal Mayalla
 
Kuna kitu inaitwa upeo,
Ukishakuwa na upeo mdogo Kwa kweli inasikitisha Sana.
Wenzako hapo wanaona wameuliza maswali ya Maana.

Kibongobongo ni ngumu kutofautisha Uandishi na Umbea
Exactly na hao walengwa wanapenda kujibu ujinga Ili watrend wachache sana wanajielewa na kujibu vzr

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom