Nimefuatilia mahojiano (interview) nyingi za waandishi wa habari Tanzania!
Wengi wao wanamaswali ya hovyo na kipuuzi kuliko mahitaji ya jamii inachohitaji kujulishwa!
Maswali yao mengi yapo kwenye mlengo wa taharuki kwamba Flani kasema vile na vile almradi tu jambo lionekane la kuishangaza jamii.
Mfano: Kesi ya Feisali na TFF wanahabari wanaonekana kuuliza upuuzi upuuzi mwingi mara ooh tumesikia mama akilalama kuwa mwanae alilishwa ugali na sukari. Je, Feitoo alipokuwa yanga alikula ugali na sukari ya mtibwa? au alilambishwa mayonaiza?
Hivi kwrli Maswali ya sampuli kama hiyo yanamsaada gani katika jamii kama siyo ubovu wa wanahabari wetu?
Huenda wanaohojiwa wanakerwa lakini wanayavumilia tu! Hayana tija kabisa!
Natamani kuona wanahabari wenye uwezo wa kuhoji kila swali lenye tija angalau 80% ya ujumbe
Wengi wao wanamaswali ya hovyo na kipuuzi kuliko mahitaji ya jamii inachohitaji kujulishwa!
Maswali yao mengi yapo kwenye mlengo wa taharuki kwamba Flani kasema vile na vile almradi tu jambo lionekane la kuishangaza jamii.
Mfano: Kesi ya Feisali na TFF wanahabari wanaonekana kuuliza upuuzi upuuzi mwingi mara ooh tumesikia mama akilalama kuwa mwanae alilishwa ugali na sukari. Je, Feitoo alipokuwa yanga alikula ugali na sukari ya mtibwa? au alilambishwa mayonaiza?
Hivi kwrli Maswali ya sampuli kama hiyo yanamsaada gani katika jamii kama siyo ubovu wa wanahabari wetu?
Huenda wanaohojiwa wanakerwa lakini wanayavumilia tu! Hayana tija kabisa!
Natamani kuona wanahabari wenye uwezo wa kuhoji kila swali lenye tija angalau 80% ya ujumbe