Mausingizii
Member
- Jul 14, 2022
- 90
- 74
Tatizo ni kuwa fani ya habari bado haijafanywa kuwa profession kama fani nyingine.
Ukiachana na sheria zilizowekwa ambazo zinahusisha elimu ,serikali imeweka wakati, kuwa mpk kufikia mwaka 2022 angalau waandish wawe na diploma ,lkn bado suala la utrkelezaji limekuwa zito.
Tabia ya vyombo binafsi kuajiri watu wasio na elimu ,kwa kuzingatia vipaji mfn , Clouds na wasafi , unaiua fani ya habari na kuifanya kuonekana km ni ya makanjanja, online blogs na you- tube zimekuwa km kapu la taka.
Ni wazi kuwa mtu anayetegeme kipaji tu pasipo elimu ,hata reason capasity yake inakuwa chini.
Ukiachana na sheria zilizowekwa ambazo zinahusisha elimu ,serikali imeweka wakati, kuwa mpk kufikia mwaka 2022 angalau waandish wawe na diploma ,lkn bado suala la utrkelezaji limekuwa zito.
Tabia ya vyombo binafsi kuajiri watu wasio na elimu ,kwa kuzingatia vipaji mfn , Clouds na wasafi , unaiua fani ya habari na kuifanya kuonekana km ni ya makanjanja, online blogs na you- tube zimekuwa km kapu la taka.
Ni wazi kuwa mtu anayetegeme kipaji tu pasipo elimu ,hata reason capasity yake inakuwa chini.