REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 2,293
- 8,231
True!Nchimbi hajui kuongea ni Domo zege huo u campaign manager alikuwa anafanyaje?
Kwa mara ya kwanza anagombea ubunge Songea Mjini akichukua nafasi ya Mzee Gama,sio tuu alikuwa hawezi kuongea Bali alikuwa anatetemeka hajui kujenga hoja na back those days alikuwa anasaidiwa na mkwe wake yaani Mzee Makamba.
Nafahamu vizuri huyo mtu ni looser tuu.
Miaka yote kakaa Brazil wenzie wanatengeneza connection za Diplomasi ya uchumi yeye yupo yupo tuu kama furushi,kiufupi huyo anatembelea Nyota ya ukoo hana lolote.
Siasa ni hatare sanaHivi huyo si alikuwa timu ile .....
Karibu nyumbani Mhe. Balozi
Mzee Ally Hassan Mwinyi tunamtoa kwny hiyo orodha kwa kuwa kishachoka ki umri ila ni zaid ya hatare yule Mzee na style yake ile ile kama fala fulani hivi asiejua kitu ila yake na Ukoo wake yamemnyookea zama zote hadi zile zama ngumu za 2015-2021Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni
1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Kwani waligombana ?Kwani waliyamaliza na rimoti ya Msoga?
Baba yake Mzazi alikuwa RPC wa mikoa kadhaa na Mwana kijitonyama wa Enzi za KambarageJasusi m-bobezi anarudi ,huyu kakulia mikononi mwa lowasa na kikwete na mkapa kiasa na kikazi ngoja tuone
Nilikuwa nashangaa ccm inamtegemea WASIRA kweli kurekebisha mwelekeo wa upepo (msoga hongereni)
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hili litapeli si lilishaachishwagwa ubalozi huko Brazili kitambo huko tangu 2021? Unamkaribisha nyumbani kwako au? Nani hajui? Wacha ushenzi.Naona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi.
Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko yanakuja chamani CCM.
Nimtakie kila la kheri Komredi Emmanuel Nchimbi. Mwanasiasa wa kimkakati.
Hujamsikia IGP? Mimi ni nani nitilie mashaka uongo wa kutisha wa IGP?Kuna mapinduzi yanapangwa?!
Lakini KARMA huwa haina Tiba !!Kaja kuokoa lichama lao lilopoteza mvuto🤣may b atachukua nafasi ya mjema.
Hata Mimi huwa najiuliza sana hili swali !Hivi huyu bwana Huwa mnampa airtime kubwa hivi unguli wake Huwa ni upi hasa?
Hapo sasaHivi huyu bwana Huwa mnampa airtime kubwa hivi unguli wake Huwa ni upi hasa?
Basi ndio maana tunakwama Daily kama hawa wapumbavu ndio wana mikakati wa nchi hii.Mikakati ya kishenzi shenzi.Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni
1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Chadema kwakwel mambo yao kwasasa hayana mantik hata....Wamebaki na agenda zao kama magasho hiv wanavizia mabasha.Wananikera kurukia rukia hoja. HAWANA agenda mama wao kama chama..Nilishaachana na kabisa hawa watuKwani waligombana ?
Kwani pamoja na kupelekwa Mahakamani unadhan JK na Kubenea ni maadui ?
Harrison Mwakyembe aliangusha Baraza la Mawaziri la Jk 2007, unadhan urafiki wao ulikoma ? the same to Mzee Samwel Sitta?
Siasa za JK unaweza ukachukua PhD ukizifanyia research
hata Chadema na Jk hawajakutana kwa msajili wa Vyama vya Siasa!
2005 walitumika Chadema kumtisha Mkapa asimkate JK, 2007 wakatumika tena kusafisha wanamtandao Serikalini, 2015-2021 wakatumika tena
Data zako ziko nyuma sana. Hivi sasa alikuwa Balozi wetu MisriHili litapeli si lilishaachishwagwa ubalozi huko Brazili kitambo huko tangu 2021? Unamkaribisha nyumbani kwako au? Nani hajui? Wacha ushenzi.
Huyo Kinana hapo katengenezwa na huyo huyo Nyerere. Kwa CCM ya sasa ukimuondoa Kikwete hakuna anayezijua na kuzimudu Geopilitics kama huyo Kinana.Basi ndio maana tunakwama Daily kama hawa wapumbavu ndio wana mikakati wa nchi hii.Mikakati ya kishenzi shenzi.
Nyerere and the team (yake) ndio walikua wana mikakati.Tena katika global perspective..Mtu anaratibu mikakati ya kupandikza marais nchi za Afrika masharik, maziwa makuu mpaka baadhi ya nchi za SADC kwa maslahi mapana ya TZ kiusalama na uchumi.
Wewe unatutajia Malaya wako watatu hao waliozeeka kiakil mpaka fikra eti ndio wana mikakati .Mikakati ya kuuza nchi?
Wangese wote hao uliowataja
Alimpisha former AG Aderlus Kilangi yeye akaenda MisriKumbe Brazil alihamishwa?
Mzee Mwinyi anajua kula na vipofu. Anajua ajiposition wapi?Mzee Ally Hassan Mwinyi tunamtoa kwny hiyo orodha kwa kuwa kishachoka ki umri ila ni zaid ya hatare yule Mzee na style yake ile ile kama fala fulani hivi asiejua kitu ila yake na Ukoo wake yamemnyookea zama zote hadi zile zama ngumu za 2015-2021
Wakristo mbona hatuna uvumilivu?Ukipitia hii orodha ya mabalozi utagundua pattern fulani uwakilishi za Kiislamu na nyinginezo