Karibu tena JF member "National Anthem", natumai wewe na familia yako mtapona haraka katika hili

Karibu tena JF member "National Anthem", natumai wewe na familia yako mtapona haraka katika hili

Sa

Sa hapa unamlaumu mfiwa au mleta uzi?
Je unafikiri mleta uzi ametumwa au kaleta uzi kwa mapenzi yake mwenyewe?

Ukifiwa huwezi kufungua jf au insta au hata wasap ambazo zote ni mitandao ya kijamii?

Kuingia jf kutakuondolea kumcha Mungu?

Nisamehe tu ni maswali nimejiuliza tu.
Asante Sana Kaka, maana dah Kuna watu ujuaji ni mwingi na kujifanya wachambuzi
 
Mtu akishafariki unatakiwa ushukuru na uendelee na maisha ya kawaida kutokukubaliana na hali ni dalili za kukufuru
Kwahiyo acha jamaa aendelee na maisha yake
Asante Sana Kaka, maana dah Kuna watu wanna ujuaji wa kimataifa. Mixer kujiona wachambuzi
 
Asante Sana Kaka, maana dah Kuna watu wanna ujuaji wa kimataifa. Mixer kujiona wachambuzi
Imenishangaza sana, mtu akifiwa hakuna kosa watu wake wa karibu kumfariji kwa kumpa pole, hakuna usiri katika kufiwa hiyo siyo Siri ni hali ya kibinadam ambayo watu wanatakiwa kushirikiana

Na siyo sababu ya mtu kutokuendelea na maisha yake, kwetu sisi waislam mtu aliefariki alfajir mchana anazikwq na jion watu wanaendelea na maisha ya kawaida kinachobaki ni dua tu, haimaanishi hatumpendi marehem ila tunajua hata tukilia miaka 10 Hakuna tutakacho badilisha kitakacho mfaa ni dua tu kwahiyo maisha mengine yanaendelea Mara moja

Jamaa aachwe aendelee na maisha yake anayo haki ya kuwa huru.
 
Sawa mkuu.

Nyie ni timu kubwa sana.

Na familia kiujumla.

Mungu Awabariki...

Na poleni sana kwa msiba huo mzito [emoji120][emoji2536]
KAtika jumuia flani..
Tuliwahi kuwa na mtu akipinga sana
Kutembelewa watu wenyeshida na
Kupelekewa chochote alisema ni upotevu wa muda na pesa.

Lskini ilifika zamu yake alipatwa na tatizo flani...
Tulijipanga kwenda kumtembelea na tulinunua vitu vya thamani na kabahasha kadogo chenye pesa kidogo.

Tulimtembelea J2 jioni na kufanya sala na maneno machache ya faraja.

Huyo jamaa alilia sana na kutushukuru sana na alisema hivi;

Wanaume wenzangu naomba radhi...sijawahi kujua umuhimu wa watu kupoteza muda wao kumjali mwingine...nimejisikia kufarijika mnoo na kuanzia sasa nitakuwa mstari wa mbele kuwafariji wengine.

Kwako bwana Thomas Edson
Ukiwa umeshiba hutamewlewa mwenye njaa.
Ukiwa umepewa vingi huwezi kumwelewa muhitaji.

Ukiwa na amani huwezi kumwelewa mwenye huzuni.

Marafiki hupatikana popote hivyo alivyofanya Intelligent businessman
Sioni ubaya ndg
 
Uko sahihi [emoji122][emoji122][emoji122]

Endeleeni kuanika maisha yenu mitandaoni humu.

For the respect of the little angels, I am out of this useless discussion!
We didn't even give a shit about you, suddenly you started acting as if you are our teacher.
👉 Learn to mind your own business
👉You are just a hater, hiding in the line of perfecting people 🤔🤔
 
Nilikuwa sikujibu wewe!

Unfortunately huwa sijibishani na mtu ambaye siongei naye...

Umeleta liuzi hapa...

Mawazo mbadala yatakuwepo tu utake usitake!

Kwa hivyo usikomae sana na kutaka ku-control mawazo ya watu hapa.

After all, you must be grieving.

Please respect yourself and let the little angels rest in peace!
Sishindani na pulizio la mchongo
 
KAtika jumuia flani..
Tuliwahi kuwa na mtu akipinga sana
Kutembelewa watu wenyeshida na
Kupelekewa chochote alisema ni upotevu wa muda na pesa.

Lskini ilifika zamu yake alipatwa na tatizo flani...
Tulijipanga kwenda kumtembelea na tulinunua vitu vya thamani na kabahasha kadogo chenye pesa kidogo.

Tulimtembelea J2 jioni na kufanya sala na maneno machache ya faraja.

Huyo jamaa alilia sana na kutushukuru sana na alisema hivi;

Wanaume wenzangu naomba radhi...sijawahi kujua umuhimu wa watu kupoteza muda wao kumjali mwingine...nimejisikia kufarijika mnoo na kuanzia sasa nitakuwa mstari wa mbele kuwafariji wengine.

Kwako bwana Thomas Edson
Ukiwa umeshiba hutamewlewa mwenye njaa.
Ukiwa umepewa vingi huwezi kumwelewa muhitaji.

Ukiwa na amani huwezi kumwelewa mwenye huzuni.

Marafiki hupatikana popote hivyo alivyofanya Intelligent businessman
Sioni ubaya ndg
Asante Sana Kaka, hope kila mmoja atajifunza kupitia andiko hili🙏🙏
 
Sijasoma gazeti uliloandika.

Nimeshatimiza haki yangu ya kutoa maoni yangu. Endeleeni tu kuanika maisha yenu mitandaoni humu. Ni maisha yenu!

For the respect of the little angels, I am out of this useless discussion!
Japo uliandika gazeti 2 pia lkn tulisoma.
Sio mbaya ukijifunza hata usiyotaka kuyasikia utakuwa binadamu bora sana.

Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom