Karibu tena JF member "National Anthem", natumai wewe na familia yako mtapona haraka katika hili

Karibu tena JF member "National Anthem", natumai wewe na familia yako mtapona haraka katika hili

Tangu lini tukaanza kupangiana kitu cha kuandika hapa JF mkuu - hasa kama siyo kitu kinachovunja sheria? Mbona wewe hukupita zako ukaacha kuizingatia comment yangu hii?

Ni nini kinachokufanya wewe uwe na haki ya kuamria watu kitu cha kuandika hapa JF au nyuzi za kuzingatia?

Kama mnataka watu wa comment mambo mnayoyapenda pekee basi mtoe maelekezo/disclaimer kuhusu mawazo mnayotaka kuyasikia...vinginevyo muwe wavumilivu au msiweke nyuzi zenu hapa public WHERE WE DARE TO TALK OPENLY!
Kama wewe tu unavyotaka kumpangia mtoa mada asimpe pole mfiwa hapa public.
Nyuzi kama unaona inakukereketa unaachana nayo tu kuliko kulialia kwamba watu wasiandike nyuzi.
 
Naona Mwandishi ana kula za uso baada ya kuleta uchawi
 
Mnapata faida gani kuanika maisha yenu mitandaoni humu? Is this real necessary? Do you think people genuinely care?

1. Kaoa (Uzi)
2. Kapata watoto mapacha (Uzi)
3. Mapacha wamefariki (Uzi)
4. Karudi tena mitandaoni (Uzi)
5. Mke kapata mimba tena (Uzi)
6. Mke kajifungua mapacha tena (Uzi)

Seeking attention/sympathy? From who? At what cost? Kama kuna mabinti ambao pengine alishawaahidi kuwaoa humu akaishia kuwachezea na kuwatosa unafikiri walifurahi waliposikia kuwa kapata watoto mapacha? Unafikiri machozi yao waliyolia waliposikia kaoa yalikwenda bure?

Mambo mengine mnafanya ni utoto tu wallahi!

Anyway pole sana kwa mfiwa japo nilitegemea pengine achukue angalau kama mwezi hivi ili kuliflect na kumuomba Mungu; na kupata msaada wa kichungaji/kisaikolojia kabla ya kukimbilia kurudi tena kutamba mitandaoni humu hata wiki moja haijaisha. Labda masikini bado yuko kwenye denial!

Mungu Ambariki na kuwapoza wafiwa wote na hasa mkewe ambaye naamini kama mama bado atakuwa na wakati mgumu sana japo tayari mumewe kesharudi mitandaoni humu kusaka sympathy na attention!

Note: Haya ni mawazo yangu tu huru na hayana nia ya kumkwaza mtu wala kudogosha tukio la kusikitisha lililotokea. Let the innocent little ones peacefully rest in Jesus' endless blessings.

emoji419.png
emoji419.png
emoji419.png
Tuwe na faragha kidogo wapendwa - humu mitandaoni na kwingineko. Inasaidia sana hasa katika jamii zetu hizi za Kiafrika!
emoji419.png
emoji419.png
emoji419.png
Mkuu kuna baad
Mnapata faida gani kuanika maisha yenu mitandaoni humu? Is this real necessary? Do you think people genuinely care?

1. Kaoa (Uzi)
2. Kapata watoto mapacha (Uzi)
3. Mapacha wamefariki (Uzi)
4. Karudi tena mitandaoni (Uzi)
5. Mke kapata mimba tena (Uzi)
6. Mke kajifungua mapacha tena (Uzi)

Seeking attention/sympathy? From who? At what cost? Kama kuna mabinti ambao pengine alishawaahidi kuwaoa humu akaishia kuwachezea na kuwatosa unafikiri walifurahi waliposikia kuwa kapata watoto mapacha? Unafikiri machozi yao waliyolia waliposikia kaoa yalikwenda bure?

Mambo mengine mnafanya ni utoto tu wallahi!

Anyway pole sana kwa mfiwa japo nilitegemea pengine achukue angalau kama mwezi hivi ili kuliflect na kumuomba Mungu; na kupata msaada wa kichungaji/kisaikolojia kabla ya kukimbilia kurudi tena kutamba mitandaoni humu hata wiki moja haijaisha. Labda masikini bado yuko kwenye denial!

Mungu Ambariki na kuwapoza wafiwa wote na hasa mkewe ambaye naamini kama mama bado atakuwa na wakati mgumu sana japo tayari mumewe kesharudi mitandaoni humu kusaka sympathy na attention!

Note: Haya ni mawazo yangu tu huru na hayana nia ya kumkwaza mtu wala kudogosha tukio la kusikitisha lililotokea. Let the innocent little ones peacefully rest in Jesus' endless blessings.

[emoji419][emoji419][emoji419]Tuwe na faragha kidogo wapendwa - humu mitandaoni na kwingineko. Inasaidia sana hasa katika jamii zetu hizi za Kiafrika![emoji419][emoji419][emoji419]
Mkuu kuna baadhi ya watu ndivyo walivyo, hawawezi kibadilika, wangetamani hata wakienda msalani waposti kwa mitandao..
 
Nimeisoma comment yako, umesema ilichukua miaka wewe kumuomboleza kijana wako but looks like unamshangaa National anatamba huku na kule. Ndio nikakwambia watu wanatofautiana kuomboleza. Unaweza kuta kaja Jf kutoa mawazo sio kwamba kamaliza kuomboleza.
Hako kadada ni kanafiki kakubwa, makasiriko Kama amekosa uji wa msibani 😂😆
 
Mbarikiwa wa chuki na mapovu ya kimataifa
Kwenda kenge waheed

Hako kadada ni kanafiki kakubwa, makasiriko Kama amekosa uji wa msibani 😂😆
Madam Kuna watu wanna chuki na mapovu Kama wamekosa uji wa msibani. Kuanzia rubii na huyo Thomas Edson aliye badilisha I'd ili aje kututukana😂😂

Kiasi Cha kuja kuropokea watu mapovu yasiyo na msingi😂😆. Kenge waheed
Punguza chiki, hatujakuita huku komwe kubwaa


😃😃 ujumbe mmoja tu mwanaume unaimba taarabu
Lakini muhusika na wenye hekima wameelewa wewe mpambe nuksi endelea kutunga shairi
 
😃😃 ujumbe mmoja tu mwanaume unaimba taarabu
Lakini muhusika na wenye hekima wameelewa wewe mpambe nuksi endelea kutunga shairi
Ain't giving a shit about you
Na next time ni marufuku
Usitufate huku
Coz una nuka chuki,
Kama mizoga ya kuku
 
Mnapata faida gani kuanika maisha yenu mitandaoni humu? Is this real necessary? Do you think people genuinely care?

1. Kaoa (Uzi)
2. Kapata watoto mapacha (Uzi)
3. Mapacha wamefariki (Uzi)
4. Karudi tena mitandaoni (Uzi)
5. Mke kapata mimba tena (Uzi)
6. Mke kajifungua mapacha tena (Uzi)

Seeking attention/sympathy? From who? At what cost? Kama kuna mabinti ambao pengine alishawaahidi kuwaoa humu akaishia kuwachezea na kuwatosa unafikiri walifurahi waliposikia kuwa kapata watoto mapacha? Unafikiri machozi yao waliyolia waliposikia kaoa yalikwenda bure?

Mambo mengine mnafanya ni utoto tu wallahi!

Anyway pole sana kwa mfiwa japo nilitegemea pengine achukue angalau kama mwezi hivi ili kuliflect na kumuomba Mungu; na kupata msaada wa kichungaji/kisaikolojia kabla ya kukimbilia kurudi tena kutamba mitandaoni humu hata wiki moja haijaisha. Labda masikini bado yuko kwenye denial!

Mungu Ambariki na kuwapoza wafiwa wote na hasa mkewe ambaye naamini kama mama bado atakuwa na wakati mgumu sana japo tayari mumewe kesharudi mitandaoni humu kusaka sympathy na attention!

Note: Haya ni mawazo yangu tu huru na hayana nia ya kumkwaza mtu wala kudogosha tukio la kusikitisha lililotokea. Let the innocent little ones peacefully rest in Jesus' endless blessings.

[emoji419][emoji419][emoji419]Tuwe na faragha kidogo wapendwa - humu mitandaoni na kwingineko. Inasaidia sana hasa katika jamii zetu hizi za Kiafrika![emoji419][emoji419][emoji419]
Umeongea jambo la maana sana, kwanini vitu vingine visiwe private[emoji848][emoji1745]
 
Back
Top Bottom