Plumbing nadhani iko sehemu 2, before plaster/Tiles na after tiles yaani ile fixtures za mwsho, nadhani ile ya kutandaza mambomba already done!!Plumbing baada ya tiles?😁😁😁😂😂😂
Karibu mkuuNzuri nahitaji kujenga karo la kuoshea vyombo
Khe! Huyu fundi tiles ni wa kuchapwa viboko