Sema ngoja nikuache ila nikiona hujaacha tutabia za machogo nitakuwa nakuweka sawaβ¦. Na tabia ya kucheza na wadada kusogoa uache πΉπΉπΉ
View: https://youtu.be/ekr2nIex040?si=B2eLZd9VFYE_O7uB
Happy new year winga teleza huna baya mwanetu π π π
Mkuu wengine hawajui hii lugha tamu π
Kesho, shemeji yako anahisi namdharau simsikilizi anachosema πΉπΉπΉKama CH au
Inabidi tuanzishe darasa humu ili wawe wanaelewa Hawa wanetu kutoka kusini mwa jangwa la SaharaMkuu wengine hawajui hii lugha tamu π
Ila wewe ndio maana nyie wote ni marafiki zanguπππKesho, shemeji yako anahisi namdharau simsikilizi anachosema πΉπΉπΉ
Ngoja nimpe show ya kufungia mwaka na hivi nimemtibua kavimba km mkate wa kiyahudi
Yule ni bintiiIko hivi, cocastic kaoa hivi karibuni na anampenda sana mke wake.
πππHii yaleo itakuwa ni divai iliyotoka Hombolo kwa wenyeji badoTBS haijaidhinishaπΉπΉπΉπΉ
Divai nyingi leo
Acha basi,si mshkaji wako huyo tena kindakindaki?au una udugu wa shamsa Ford na NdaukaπSema ngoja nikuache ila nikiona hujaacha tutabia za machogo nitakuwa nakuweka sawaβ¦. Na tabia ya kucheza na wadada kusogoa uache πΉπΉπΉ
Mwenzio Agrey alicheka na sepenga akamuuza kilichotokea si umekiona??
Happy new year in advance. Man from Mjimwema kigamboni au maweni?
Kote ndio njia zangu hizo mwaka huu ulinifundisha kupika pilau kwenye pressure cooker thanks sana yaani sana πππππHappy new year in advance. Man from Mjimwema kigamboni au maweni?