Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya Kidato cha Sita 2020

Hvi siku hzi utaratibu ukoje!??
Hiyo si div 3 ya 14!??
Mbona miaka ya nyuma walipata nafasi vyuoni

Ndugu ili kujiunga na elimu ya juu kwa ngazi ya degree mwanafunzi anahitaji kuwa na at least na point 4 ktk masomo mawili yani
A=Point 5
B=point 4
C= Point 3
D= point 2
E= 1
S=0.5
F=0
A,B na C zikiunganishwa na E zinakupa jumla ya point 4 na zaidi. Kwa mwanafunzi asiye na A,B na C kwenye matokeo yake ya kidato cha sita anahitaji kuwa na atleast D mbili ambazo zina jumla ya point 4 ndo atakuwa na sifa za kujiunga na elimu ya juu kwa ngazi ya degree.
 
Tushauriane hapa dogo advance ana....
Physics D
Chemistry C
Biology C
Haende chuo gani?
 
Nina dogo langu kamaliza form six na alisoma CBG je ni course gani ya sayansi ambayo anaweza kusoma ili akimaliza atoke na ujuzi kichwani mbali na uhakika wa ajira. Ufaulu wake ni div 2 ya 11 yaani D flat.

Naomba kuwasilisha.

Hongera kwa ufaulu. Tafadhali tembelea tovuti www.tcu.go.tz pata copy ya 2020/21 Undergraduate Admission Guidebook itakuongoza vizuri ni programme zipi ambazo unaweza kujiunga na sifa hitajika.
 

Kama ni lazima sana usome afya anza na Diploma ya afya then utafanya degree baadae lkn kwa ushauri mwingine pata copy ya Undergraduate Admission Guide Book 2020/21 hapa www.tcu.go.tz angalia programme zinazodahili wanafunzi wenye ufaulu kwenye hayo masomo uliyopata D mfano Education, BBA etc
 
Wakuu naombeni kujua machache kuhusu hii course ya Chemical and process engineering kwa wenye utaalamu nayo mfano urahisi wake wa ajira na mengneyo na inahusika wapi zaidi

Hawa ni engineers wa viwanja vya kemikali je tunavyo?
 
Biomedical engineering
 
Siku hz watu wanaangialia wap kuna lipa co unataka kuwa nan
 
Kwa matokeo haya huyu mtu anaweza soma microbiology au bachelor of science in molecular biology and biotechnology pale udsm
Chem D
Bio D
Geo C
Bam S
Gs D
kuna jamaa frani alikua nasoma faculty ya microbiology hapo UD.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Alikua anaona wengine wote wamebugi ila yeye tu ndo yupoo on right track
 
Kama anataka kusoma Md CUHAS Mwanza nicheki Pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…