Nina mwaka wa pili kazini bado unaniita maskini? Sawa, lakini chunguza huyo mwalimu aliefanikiwa kama anashinda shuleni, au kama anatimiza majukumu yake ya msingi.
Nina mwaka wa pili kazini bado unaniita maskini? Sawa, lakini chunguza huyo mwalimu aliefanikiwa kama anashinda shuleni, au kama anatimiza majukumu yake ya msingi.
Na huyo anaepokea laki tano la 47 kama basic ni mtu mzima miaka 47, bahati mbaya hakuna mtumishi wa local government ambaye anaeweza kufanya maendeleo yoyote bila kukopa, kabla ya kukopa uwezo wa kula utakua nao, ukishakopa hata kula hutoweza tena.