Sioni tatizo
Member
- Jul 12, 2023
- 71
- 98
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza . nawakaribisha vijana wote wenye mawazo ya teknologia yabayoweza kua biashara au msaada kwa taifa ili yafanyiwe kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitu kama hicho nahitaji kuwekeza kwenye biashara ya teknologia na nahitaji kijana mwenye wazo lakueleweka tufanye kazi mawazo yawekwe hapa hapa jukwaaniWewe Ni sponsor au vp sijaelewa Nini hasa lengo la uzi wako
Mawazo ya watu hayawezi kuweka hadharani mkuu andaa utaratibu mzurikitu kama hicho nahitaji kuwekeza kwenye biashara ya teknologia na nahitaji kijana mwenye wazo lakueleweka tufanye kazi mawazo yawekwe hapa hapa jukwaani
kitu kama hicho nahitaji kuwekeza kwenye biashara ya teknologia na nahitaji kijana mwenye wazo lakueleweka tufanye kazi mawazo yawekwe hapa hapa jukwaani
shida ya hii ni kufanikiwa mbele ya makampuni yaliyofanikiwa tialiView attachment 2701439View attachment 2701440Nimepata hii email kutoka google, Mimi technology ninayo Hila sina mchongo, Je huko vizur kwenye mkwaja?
Mawazo ya watu hayawezi kuweka hadharani mkuu andaa utaratibu mzuri
Lakini unaonekana mgen
Nafikiri ungeweka na bajeti yako pia mkuu ingesaidia kitu piandio mimi ni mgeni,ok nakaribisha pm
Not more than 50 millionsNafikiri ungeweka na bajeti yako pia mkuu ingesaidia kitu pia
Unaweza weka hapa au pia hata pm ili tuone kama itatosha kuendesha project ya aina gani
Idea zipo nzuri tu ila sijajua bajeti yako.
must be money orientedPawepo na app kwa ajili ya kuchukua mawazo ya watz juu ya kipi Bora kwa ustawi wa nchi.
Mfano solution la tatizo la ajira,nk wapi utapata platform ya kuwakilisha solution
Kwa wazo langu iyo pesa itaishia kumulipa developer na kufanya promo kwenye social media, radio and television.Not more than 50 millions
Kwa wazo langu iyo pesa itaishia kumulipa developer na kufanya promo kwenye social media, radio and television.
Vp office kila jiji
Vp mishahara kwa miezi 24 ya mwanzo wakati tunajenga trust worthy.
Hautaiba mawazo ya watu? Mi ninawazo la mabilioni utaweza? Je upo tayari kuingia mikataba. Kama upo tayari ni pm its multibilion company idea imelala mwaka wa4 nwishowe itahamia kwa vichwa vya wenginekitu kama hicho nahitaji kuwekeza kwenye biashara ya teknologia na nahitaji kijana mwenye wazo lakueleweka tufanye kazi mawazo yawekwe hapa hapa jukwaani