karibuni vijana wenye mawazo ya teknologia ambayo mnataka yafanyiwe kazi.

karibuni vijana wenye mawazo ya teknologia ambayo mnataka yafanyiwe kazi.

kama kichwa cha uzi kinavyojieleza . nawakaribisha vijana wote wenye mawazo ya teknologia yabayoweza kua biashara au msaada kwa taifa ili yafanyiwe kazi.
nina wazo mengi wazo la kwanza ni kutengeneza program za kuwasaidia madaktari kuweza kufahamu kitu gani ambacho mgonjwa anaumwa yaani tunatengeneza program itakayokua na uwezo wa kucombine symptoms na signs na kutoa suggestion ya kitu ambacho kinaweza kuwa kinamsumbua mgonjwa hii itasaidia hawa watu wa medical kuingia chaka.
Lingine ni tujifunze namna ya utengenez vfx au masuala ya effects za kwenye movies ama music videos then baada ya hapa tutengeneze cartoon zenye quality nzuri kama za mbele lakini za kiswahili mfano zile hadithi za kina bibi na babu tunazihamishia kwenye 3d animation kutumia app kama houdini ama blender nina idea nyingi tuu sema niko sehemu tight kidogo nicheki hata pm kushare idea mbili tatu kubadilishana mawazo
 
nina wazo mengi wazo la kwanza ni kutengeneza program za kuwasaidia madaktari kuweza kufahamu kitu gani ambacho mgonjwa anaumwa yaani tunatengeneza program itakayokua na uwezo wa kucombine symptoms na signs na kutoa suggestion ya kitu ambacho kinaweza kuwa kinamsumbua mgonjwa hii itasaidia hawa watu wa medical kuingia chaka.
Lingine ni tujifunze namna ya utengenez vfx au masuala ya effects za kwenye movies ama music videos then baada ya hapa tutengeneze cartoon zenye quality nzuri kama za mbele lakini za kiswahili mfano zile hadithi za kina bibi na babu tunazihamishia kwenye 3d animation kutumia app kama houdini ama blender nina idea nyingi tuu sema niko sehemu tight kidogo nicheki hata pm kushare idea mbili tatu kubadilishana mawazo
Wazo la 1: Madaktari wa bongo wanajua sana, kwa hiyo program yako utatumia wewe mwenyewe na wajanja wachache.

Wazo la 2: Wazo zuri , kwa kuongezea , kutumia technologia ya 3d kutengeneza video games kuelezea historia mfano vita vya Kagera, Nyerere anachorwa na kuwa animated vizur kwenye 3d. Hii ndio njia nzuri kufundisha historia kwa kutumia video games.
 
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza . nawakaribisha vijana wote wenye mawazo ya teknologia yabayoweza kua biashara au msaada kwa taifa ili yafanyiwe kazi.

Hongera sana kuja na wazo hili. Nilikuwa na wazo kama hili na nilikuwa natafuta wadau ambapo mmoja nilishafanya mazunguzo nae ya awali.

Kwa ufupi wazo langu ni kuanzisha startups au lab ambayo itatuwezesha sisi waanzilishi kufanya ugunduzi wa vifaa na uzalishaji wa bidhaa vinavyohushisha mechatronics.

Club, Group & Team

Intergrated and provides a prime mechatronics design experience to integrate mechanical and electronic environments to drive products and innovation to market faster.

Ni centre ambayo Experts meet and discuss the Electromechanical Design na software. Na kutoa mafunzo kwa watakajiunga ya kutengeza vifaa vya vinavyorahishisha shughuli za uzalishaji jikoni. Mfano mashine ya kufunga ice cream , kusukuma chapati za biashara, kukata maandazi mengi kwa sekunde chache ya biashara. Shughuli hizi kwa sasa zinawachukulia muda mwingi wajasirilia mali na kuumiza migongo. Chapati iliyopaswa kusukumwa kwa sekunde 2, hutumia dkk2, maandazi 20 kwa mfano wanatumia dkk 5 kukata, kwa kutumia vifaa hivyo ubunifu watatumia sekunde 5.

Na kwa kutumia old machine kama motors za washing machine, woodworking, Recycling, kuunda au kumodifying ili kutengeza vifaa kwa kutumia gharama ndogo kitachoweza kurahisisha shughuli za huduma, starehe na uzalishaji.

Mafunzo yatatolewa kwa njia ya Peoject based learning

Plz Check out MAKEit Happen (@Mechatronic_Lab): https://twitter.com/Mechatronic_Lab?t=9Uzfm3YUlZvO77SrYL9dqg&s=08

And like my page. Karibu tuunganishe nguvu. Space ya kufanya haya ipo. Mtaji wa kuanzia ni less than 3m
 
Nataka kuwa guru App developer nafanyaje
Inabidi uwe na soft skills + hard skills

Soft skills ni km problem solving, patience, creativity, attention to detail & communication

Hard skills hapa inabidi uwe na measurable technical skills km programming languages & software skills

Lugha unazopaswa kujifunza:

Front end languages ni HTML/CSS na JavaScript

Back end languages ni JAVA, Python, PHP, Ruby in Rail

Ukisoma hapo unakua full stack developer Ila inabidi pia ujue masuala ya kufanya configuration za server na network

Kua Developer haina maana ujue kila kitu Mimi sio mwandishi mzuri ninaandika kwa ufupi Ila maelezo ni mengi
 
Wazo langu ni kuweza kutengeneza app ambayo itasaidia ku detect bacteria ambao ni waaribifu wa chakula kwenye room.
 
Wazo zuri
Inabidi uwe na soft skills + hard skills

Soft skills ni km problem solving, patience, creativity, attention to detail & communication

Hard skills hapa inabidi uwe na measurable technical skills km programming languages & software skills

Lugha unazopaswa kujifunza:

Front end languages ni HTML/CSS na JavaScript

Back end languages ni JAVA, Python, PHP, Ruby in Rail

Ukisoma hapo unakua full stack developer Ila inabidi pia ujue masuala ya kufanya configuration za server na network

Kua Developer haina maana ujue kila kitu Mimi sio mwandishi mzuri ninaandika kwa ufupi Ila maelezo ni mengi
Nitumie namba yako PM nikucheki WhatsApp tuongee
Wazo langu ni kuweza kutengeneza app ambayo itasaidia ku detect bacteria ambao ni waaribifu wa chakula kwenye room.
 
kitu kama hicho nahitaji kuwekeza kwenye biashara ya teknologia na nahitaji kijana mwenye wazo lakueleweka tufanye kazi mawazo yawekwe hapa hapa jukwaani
Jinsi gani jamii itakabiliana na tuliowapa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi, a. k. a kujizima data
 
Back
Top Bottom