Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi azimishwe kabisaMandonga Akishinda Ataharibu Brand Yake...Inabidi Apigwe ili Azidi Kubamba [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahJamaa akitaka bland yake izidi kukuwa inabidi apigwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukraine wangempata huyu akawa msemaji wao, nadhani hata putin angeogopa
Yaan watu wengi wanafuata pambano la Mandonga na Kaoneka, utadhani ndo main card. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nawaona hapa Karim na Kaoneka, wamefunika kabisa pambano la Kidunda. sikujua kama wanacheza pambano la utangulizi
Afu eti mazoezi yake anajichimbia msituniKimasihara mandonga amepata umaarufu kuliko yule aliyempiga
ameweza kujibrand
Mandonga amekuwa dili watu wengi wanataka kumsikia hawajali atashinda au atashindwa
Nampongeza kwa hilo
Juma Kilaza alifanyaje mkuuMandonga akipigwa atatengeneza historia kama ya Juma Kilaza[emoji1787][emoji1787]
Mandonga amesema mpinzani wake aje na jeneza.huyu mandonga si ndiye yule bondia aliye tandikwa ngumi moja tuu (tena round ya kwanza) akaenda kuamkia hospitali?? sasa akae akijua kunyanyua vyuma na boxing ni vitu viwili tofauti, hiyo siku ni bora ambulance ikawa karibu karibu ili kuokoa Maisha yake!
Yani hata asiposhinda makampuni yampe japo deal ya ubalozi wa bidhaaMandonga mtu kazi .Shabani Kaoneka hapo ulipo kama umeshawishiwa umepotea njia.Natamani huyu jamaa ashinde.
Apewe aisee jamaa anafurahisha sana .Yani hata asiposhinda makampuni yampe japo deal ya ubalozi wa bidhaa
Mtani hizi game ambazo hatuna pressure nazo tuwe tunaalikana tunaangalia wote tunafurahi maishaKiukweli hawa ndo watasababisha leo nisilale nione nani ataibuka mbabe.
Na mwenzake kaoneka kasema Wakazi wa Mbagala wamempa sindano ya kuja kuushona mdomo wa Mandonga hivyo leo kazi ipo. 😂
Huyu jamaa akipigwa Tena umaarufu wake utaongezeka mara dufu.Anakuambia Kaoneka amedandia mtumbwi wa kibwengo 😂😂😂
Lol.Mtani hizi game ambazo hatuna pressure nazo tuwe tunaalikana tunaangalia wote tunafurahi maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mandonga akasema hamjui kaoneka, baadae akamuambia wee ulisema hutaki tena mapambano, unatulia kulea watoto, sasa umedandia mtumbwi wa kibwengo, hauvushi watu.Kiukweli hawa ndo watasababisha leo nisilale ili nione nani ataibuka mbabe.
Na mwenzake kaoneka kasema Wakazi wa Mbagala wamempa sindano ya kuja kuushona mdomo wa Mandonga hivyo leo kazi ipo. [emoji23]