Nchi ngumu sana hii [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watanzania hawaeleweki
Yaani kuwaelewa watanzania ni kazi sana [emoji1787][emoji1787]
Alipokuwa akisema watazitapika,Walisema Magufuli anatumia lugha chafu..
Mama wa watu amesema wezi wamwogope Mungu watz bado wanalalama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nipo na [emoji897] zangu naenjoy
Kukasirika bila kuchukua hatua ni kazi bure, wezi watishwe kwa hatua kali zinazochukuliwa dhidi yao, hayo mambo ya kujibu mbele ya Mungu wala hakuna wa kuyaogopa kama wangeyaogopa kila siku wanahubiriwa makanisani na misikitini wangesha acha.Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?
Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Ramadan kareem!
Mno😂Nchi ngumu sana hii [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena weweNdiyo kamuachia Mungu hivyo yani.
Makomwe hawajitambui.Tena wewe
Si mlisema Magufuli anaongea kikatili,
Mama wa watu anamwachia Mungu ila bado mnataka mumuandame
Tuko bize na ushoga kwa sasa.Sasa inasaidia nini?
Hii nchi hii, Ptuuu
Asifoke-foke kama yule kambale bali asimame kama kiongozi atoe maelekezo kama sheria inavyohitaji na sio kumsukumia Mungu mzigo huo.Tena wewe
Si mlisema Magufuli anaongea kikatili,
Mama wa watu anamwachia Mungu ila bado mnataka mumuandame
Hakimu wa haki ni MunguAsifoke-foke kama yule kambale bali asimame kama kiongozi atoe maelekezo kama sheria inavyohitaji na sio kumsukumia Mungu mzigo huo.
Ndiyo aelewe wanapomwambia anaupiga mwingiAkiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?
Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Ramadan kareem!
Ndiyo maana hata apewe nani mamlaka ataiba tu cos unakuwa huna wasiwasi wowoteNchi ya walalamikaji. Mpaka mwenye mamlaka analalamika baada ya kuchukua hatua.
Kivipi tena? Kwani hashirikiani nao? si aliwaruhusu wale wanavyotaka kwa urefu wa kamba zao?Lazima ikuume, labda uwe na roho ngumu au mshirikiane kwa pamoja
Kwa kweli mama kaliweka katika upande wa dhamira invyoweza kumsuta mtu.Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?
Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Ramadan kareem!
Mkuu tusubilie hukumu,huku Tozo ziendelea,Shule hazina madawati, Wafanyakazi wa Umma wanazidi kuwa fukara, tunaendelea kukopa na riba juu,Shule hazina vifaa vya maabara,Barabara bado ni tatizo, huduma za afya bado ni changamoto.......hata Mungu mwenyewe atatushangaa na kutuona yale maarifa aliyotupa kuyatumia hatuyatumii........Hakimu wa haki ni Mungu
Sisi kama walokole tunasimama na kauli ya Mama.
Mungu atahukumu na watakufa wataziacha mali.
Wapi huko hawana madawati?Mkuu tusubilie hukumu,huku Tozo ziendelea,Shule hazina madawati, Wafanyakazi wa Umma wanazidi kuwa fukara, tunaendelea kukopa na riba juu,Shule hazina vifaa vya maabara,Barabara bado ni tatizo, huduma za afya bado ni changamoto.......hata Mungu mwenyewe atatushangaa na kutuona yale maarifa aliyotupa kuyatumia hatuyatumii........