Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Kubwa JingaDon't come here to vomit your nonsense.
Kama huelewi kilicho andikwa, pita na mia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubwa JingaDon't come here to vomit your nonsense.
Kama huelewi kilicho andikwa, pita na mia.
OhoooooooSawa tajiri
Karma ni nini leta maelezo yako kushambulia mtoa mada nikufilisika kwa hoja.Mimi nikisema hawa watu wanamatatizo ya akili mnadhani masihara...
Ona sasa huyu anaandika kuhusu KARMA na hajui hata KARMA ni nini
Infropreneur Umedata..
Don't come here to advertise your ignorance.Mimi nikisema hawa watu wanamatatizo ya akili mnadhani masihara...
Karma is an illusion.Ona sasa huyu anaandika kuhusu KARMA na hajui hata KARMA ni nini
Infropreneur Umedata..
Zumbukuku.Kubwa Jinga
Kwanza huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.Haya mambo ya kusema eti tunamwachia Mungu ni upumbavu wa hali ya juu.
Mungu hajishughulishi wala hajihusishi na kulipa visasi. Mungu hawezi kamwe kumuuwa mtu eti kwa sababu mtu huyo aliuwa au kudhulumu watu wengine, hakuna jambo kama hilo.
Mtu anaweza kujiuwa mwenyewe. Anaweza kuuawa na watu wengine. Anaweza kufa kifo cha asili.
Uovu unafanywa na binadamu. Kwa sababu hiyo wao ndiyo wana jukumu la kuuondoa.
Mungu hafanyi uovu na hachangamani nao.
Watu hawateseki eti kwa sababu Mungu analipiza kisasi kutokana na matendo yao, hapana.
Watu wanateseka na shida mbalimbali kwa sababu wanakataa Mungu: Kwa sababu wanakataa ukweli; kwa sababu wanakataa kufanya jitihada zinazofaa kuondoa uharibifu uliotokea kutokana na makosa.
DumbnutZumbukuku.
Nincompoop.
Don't vomit your nonsense here.
Dhana ya karma ni moja wapo ya imani za kiroho zinazotofautiana kati ya tamaduni na dini, na mitazamo kuhusu uwepo wake au kutoonekana kwake ni jambo linalovutia mijadala. Hapa nitachambua mada yako kwa mtazamo wa usawa, ikijumuisha changamoto unazozungumzia pamoja na mapendekezo ya hatua.Karma Doesn't exist.
Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.
Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.
Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.
Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?
Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.
Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.
Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.
Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.
The rich goes richer, the poor goes poorer.
Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.
Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.
Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.
Karma is an illusion.
Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.
Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.
Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.
Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.
Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.
I'm out.
Mkuu ukisikia mtu anakwambia anamwachia Mungu ogopa Sana...Kama unaweza mwombe radhi mapema maana anaenda kukutengenezea majanga Yeye mwenyewe.Haya mambo ya kusema eti tunamwachia Mungu ni upumbavu wa hali ya juu.
Mungu hajishughulishi wala hajihusishi na kulipa visasi. Mungu hawezi kamwe kumuuwa mtu eti kwa sababu mtu huyo aliuwa au kudhulumu watu wengine, hakuna jambo kama hilo.
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.Dumbnut
Brainwashed
Illusion
Mbona mababu zetu waliteswa sana kipindi cha ukoloni na walimwachia huyo Mungu lakini hajafanya chochote?Mkuu ukisikia mtu anakwambia anamwachia Mungu ogopa Sana...Kama unaweza mwombe radhi mapema maana anaenda kukutengenezea majanga Yeye mwenyewe.
karma ipo,wakati wazungu wakiwatesa waafrika,,,ikabuka vita za 1 na 2 za dunia baina yao,,,na ,nagasaki na hiroshima ikachapwa,kama unakumbuka magaidi wa kiislam waloua waafrika,leo hii wanachezea kichapo kutoka israil,wakati wamarekani wakitulazimsha tufirane,leo hii trump anasema wazi,,akiingia madarakani anapiga marufuku usenge<<<wazungu walipolipoa virusi vya KORONA walisema maiti zitaokotwa barabarani AFRIKA, kuja kustuka wao ndo wakawa wanakufa balaa,ikawalazimu kuanzisha chanjo,,,,ata HIV ivoivo,,,,wakati wamarekani na ulaya wakisponsa watu wauane afrka,,leo hii marekani inaongoza kwa raia wake kuuana wenyewe kwa wenyewe,,wakati wazungu wakikataa kutoa ela za tabia nchi,,kila siku tuanasikia wamarekani wakikumbwa na vimbunga vya mara kwa mara !!!,,,wakati wakisema waafrika hatuna akili sasa tunashuhudia vijana wa ulaya wakiwa hawana akili kwa ajili ya kubwia unga!!!,,,,walipotulazimisha haki sawa kati ya mwanamke na mwanaume,,wao sasa wameanza kuweka usawa kati yao na maroboti,,,,wakti wakisema afrika hamna ajira,,,wao ajira zinaongezeaka kwa maroboti wakati raia wakiwa benchi!Karma Doesn't exist.
Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.
Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.
Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.
Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?
Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.
Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.
Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.
Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.
The rich goes richer, the poor goes poorer.
Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.
Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.
Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.
Karma is an illusion.
Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.
Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.
Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.
Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.
Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.
I'm out.
Nakubaliana na wewe mleta mada, Karma haipo.Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote
Hata waafrika bado tunapigana vita na kuuana wenyewe kwa wenyewe.karma ipo,wakati wazungu wakiwatesa waafrika,,,ikabuka vita za 1 na 2 za dunia baina yao,,,na ,nagasaki na hiroshima ikachapwa,kama unakumbuka magaidi wa kiislam waloua waafrika,leo hii wanachezea kichapo kutoka israil,
Watu weusi ndio wana ongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe. Kushinda hata wazungu.wakati wamarekani wakitulazimsha tufirane,leo hii trump anasema wazi,,akiingia madarakani anapiga marufuku usenge<<<wazungu walipolipoa virusi vya KORONA walisema maiti zitaokotwa barabarani AFRIKA, kuja kustuka wao ndo wakawa wanakufa balaa,ikawalazimu kuanzisha chanjo,,,,ata HIV ivoivo,,,,wakati wamarekani na ulaya wakisponsa watu wauane afrka,,leo hii marekani inaongoza kwa raia wake kuuana wenyewe kwa wenyewe,,
Marekani kukumbwa na vimbunga si Karma, Bali ni hali ya hewa na mabadiliko ya tabia ya nchi tu.wakati wazungu wakikataa kutoa ela za tabia nchi,,kila siku tuanasikia wamarekani wakikumbwa na vimbunga vya mara kwa mara !!!,
Hata hapa Tanzania tu, Vijana wanabwia unga. Nenda kwa wadudu Arusha chuga ukajionee, Au nenda Nairobi Kenya mitaa ya Dandora au Kibera Slums ukajionee wala ngada.,,wakati wakisema waafrika hatuna akili sasa tunashuhudia vijana wa ulaya wakiwa hawana akili kwa ajili ya kubwia unga!!!,
Kwa hiyo matendo yote haya si Karma.,,,walipotulazimisha haki sawa kati ya mwanamke na mwanaume,,wao sasa wameanza kuweka usawa kati yao na maroboti,,,,wakti wakisema afrika hamna ajira,,,wao ajira zinaongezeaka kwa maroboti wakati raia wakiwa benchi!
Yeah sure.Nakubaliana na wewe mleta mada, Karma haipo.
Lkn labda tuiweke hivi "endapo mtenda maovu ana hofu na atayaweka akilini maovu aliyoyatenda, ndipo huanza kuathiri saikolojia yake na hatimaye kuathiri afya na kupelekea kifo. Hiki ndicho watu huita Karma.
But for heartless and remorseless people karma is unrealistic and nonexistent thing.
Hili jibu lipo sawa kabisaKuna jambo lipo hivi....tujaribu kuwaza hao wanaotenda ubaya dhulma Kuna eneo la pili husaidia watu na huo upande wanaonekana ni malaika so sisi waliotudhulum tukiwaombea mabaya Kuna upande wanaombew mema...then hata sisi ambao tunatendew ubaya Kuna angle pia tunafanya mazito ya kuumizan