Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

ok!!
Hata waafrika bado tunapigana vita na kuuana wenyewe kwa wenyewe.

Rejea mauaji ya kimbari Rwanda, Vita vya kagera, Biafran war Nigeria.

Vita mbalimbali bado zinaendelea Afrika huko Congo waasi wa ADF wanaua raia, Tigray Ethiopia watu wana uana sana, Cabo Delgado Msumbiji, Al Shabaab Somalia, Boko Haram,

Hata Tanzania tu watu wanauwawa na watu wasiojulikana.

Na vita vyote hivi si kwa sababu ya Karma, Bali ujinga wetu tu.

Watu weusi ndio wana ongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe. Kushinda hata wazungu.

Marekani kukumbwa na vimbunga si Karma, Bali ni hali ya hewa na mabadiliko ya tabia ya nchi tu.

Hata hapa Afrika mbona tunapigwa na majanga ya asili mbalimbali.

Rejea tetemeko la ardhi la Kagera, mafuriko ya Libya, tetemeko la ardhi la Morocco. Mafuriko ya Kwa zulu Natal south Africa n.

Hata hapa Tanzania tu, Vijana wanabwia unga. Nenda kwa wadudu Arusha chuga ukajionee, Au nenda Nairobi Kenya mitaa ya Dandora au Kibera Slums ukajionee wala ngada.

Kwa hiyo vijana wa ulaya kubwia unga si Karma ni tabia zao tu kama ilivyo kwa vijana wetu wabwia unga hapa Afrika.

Kwa hiyo matendo yote haya si Karma.

Bali ni matendo ya kibinadamu na mengine ya kijiografia kama majanga ya asili vimbunga, mafuriko n.k
siwezi kueleza mambo mengi,,,ila ipo siku utujua ukweli>time will tell"
 
Mkuu hapa mi niko tofauti kidogo, mimi naona karma ipo ila sio In-term ya Kiroho/Spiritual.


Maana ya "Karma" ni kupata sawa na unachokitoa - You're getting Exactly what you give.

Mfano;

Ukiweka mtaji wa 1M kwenye biashara utapata faida kulingana na mtaji huo huo tofauti na aliyeweka 2M - karma.

Ukifanya kazi kwa bidii, ukatunza pesa, Ukawekeza, ukatake risk, unatusua wakati huohuo yule mvivu, hathubutu, anatumia pesa ovyo anakufa masikini - karma.

Ukiwa na tabia njema, una matendo mema - unaaminika, ukiwa na matendo na matukio ya hovyo unachukiwa -karma.

Ukifuata kanuni za afya unapata afya njema, ukipuuza ushauri wa kiafya, afya yako inadhurika - karma.

NB: Baraka/Karma si zawadi kutoka kwa Mungu/Miungu au kiumbe chochote cha kiroho, bali tunaweza kuitafsiri kama matokeo mazuri yanayojitokeza kutokana na juhudi za kibinadamu.

Karma/baraka ni matokeo ya tabia zetu wenyewe, kazi ngumu na kubadili mazingira, Haiusiani na nguvu za kiroho au mungu.
 
God exist
Karma exist

Religious never exist

What the meaning of GOD is ur higher power e.g, universe

What the meaning of karma - karma is a debt and not favoritism.

Hivyo kila MTU ana fursa za yeye kuandaa kesho bora kwake na Kwa watoto wake Kwa kutenda mambo mema.

Pia unaweza kuharibu kesho yako na ya kizazi chako Kwa kutenda mambo mabaya.

Karma au karmax lazima ihusike katika maisha yako katika Mawazo. Afya hadi uchumi wako.



Kutokuelewa jambo haimaniishi halipo maana what you see is limitation of your view .

Binafsi nimesoma Sana vitabu kuhusu mambo ya kiroho na nimefatilia Sana Mafundisho ya dini mbali mbali

Ila kinachotoa matokea Kwa MTU ni kile anachoipelekea universe (ulimwengu)

Kuanzia mawazo yake
Matendo yake
Hisia zake

If ukiwa negative utapata negative zaidi kwako au Kwa generation yako

So karma IPO na inafanya Kazi vizuri ukiwa nafasi ya kumsaidia MTU do it na ukiwa na nafasi ya kumuinua MTU muinue.

Universe huwa haikosei you will be paid.
 
Uelewa wako wa neno KARMA hauko sawa.
Ili kuelewa karma unapaswa kuelewa mambo matatu ya msingi( kanuni tatu):
1.KANUNI YA CHANZO NA MATOKEO( CAUSE AND EFFECT)
2.KANUNI YA MABADILIKO( LAW OF IMPERMANENCE)
3.KANUNI YA VYANZO TEGEMEZI( DEPENDENT ORIGINATION)
Kwa namna ulivyozungumza ni wazi kuwa bado hujui neno KARMA lina maana gani mana ungetambua hilo usingeweza kuweka neno KARMA na Mungu kwenye andiko moja.
Melezo yako yanakaa kwenye kanuni ya kwanza: CHANZO NA MATOKEO( CAUSE AND EFFECT).

Kwa mujibu wa kanuni ya chanzo na matokea ni kuwa" kila chanzo kina matokea na kila matokea yanachanzo chake"
Matokea hufuata chanzo mithili ya mabehewa ya SGR yanavyofwata kichwa chake.Hivyo basi kazi ya KARMA ni kusimamia uhusiano wa chanzo na matokeo sio kusimamia chanza chenyewe na matokeo yenyewe na popote ambapo chanzo na matokeo hubadilika KARMA nayo hubadilika na ndiyo maana kanuni ya mabadiliko( law of impermanence) ipo.
Kwa mujibu wa kanuni ya mabadiliko( law of impermanence) " KILA KITU KINABADILIKA"na kitu pekee ambacho hakibadiliki ni kitu mfu.
Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni hii hata KARMA nayo hubadilika pindi mtu akifanya jambo ambalo linaruhusu KARMA kubadilika kwa mfano kuomba msamaha,kufanya toba nk.
Hii ni kusema kuwa wananchi,wanyonge na watu wa aina hii wao wamekuwa sehemu ya kubadilisha KARMA kwa kutoa msamaha kwa watesi wao,kuwanenea mema,kuwatakia baraka nk.
Ni marangapi mnapewa misaada na hao mnaowaita wakoloni na mnaipokea kisha kuwashukuru na kuwatamkia maneno mazuri?
Mungu awaongezee,Mungu awazidishie,Mungu awa......... Nk.
Ni mara ngapi mnakaa na watesi wenu na kuwatakia mema......
Kwa kifupi KARMA nayo hufuata kanuni ya mabadiliko na huweza kubadilika ikiwa matakwa ya kubadilisha KARMA yametimizwa iwe kwa mtu kujua au kutojua,iwe kwa kukusudia au bila kukusudia.
"KARMA SIO CHANZO AU MATOKEO ANAYOPATA MTU BAADA YA KUFANYA JAMBO FLANI.
KARMA NI KITU KILICHOPO KATIKATI YA CHANZO NA MATOKEO NA HUBADILIKA IKIWA CHANZO KITABADILIKA AU MATOKEO YATABADILIKA.
KARMA YAKO IPO MIKONONI MWAKO NA SI MIKONONI MWA MUNGU WALA MWA MWANADAMU"
WANAOLIJUA HILI HUTUMIA KANUNI HII KUPATA WATAKACHO NA KUJIEPUSHA WA WASICHOKITAKA.
 
Kwan unadhani UKIUA KWA UPANGA nawe utauwa kwa UPANGA ndo itimie karma
Ama unadhani ukiqa unapenda kutembea na wake za watu basi unadhani Karma ni lazima iwe kma hvyo watu waje watembee na mke wako pia
Big NO MWENYEZIMUNGU atakulipa karma yako kwa mtindo wowote mpk MOYO mwenyewe utang'amu na kujisemea moyoni HAKIKA HAYA NDIO MALIPO YA UBAYA WANGU
karma inalipwa katika MOYO wako kwa misukosuko itakayokutesa mpk uklia na kujutia mwenyewe kuwa haya ni malipo yangu
Kila mja atalipwa kwa namna yoyote hapa DUNIANI kwa yale mabaya aliyoyatenda 7bu malipo no DUNIANI AKHERA HUESABIWA
Hii dhana ya Karma watu wa kiroho mnaifundisha kimakosa - Ukidate na mke wa mtu otherwise ufumaniwe lasi hivyo usipojulikana hakuna malipo yeyote kutoka kwa Force tu.
 
God exist
God doesn't exist.
Karma exist
Karma doesn't exist.
Religious never exist
Religion is a scam.
What the meaning of GOD is ur higher power e.g, universe
GOD is not the higher power.

GOD is just a fictional character in your head.
What the meaning of karma - karma is a debt and not favoritism.
Karma is an illusion.
Hivyo kila MTU ana fursa za yeye kuandaa kesho bora kwake na Kwa watoto wake Kwa kutenda mambo mema.

Pia unaweza kuharibu kesho yako na ya kizazi chako Kwa kutenda mambo mabaya.

Karma au karmax lazima ihusike katika maisha yako katika Mawazo. Afya hadi uchumi wako.



Kutokuelewa jambo haimaniishi halipo maana what you see is limitation of your view .
Huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo God pia huwezi kuthibitisha hiyo karma.

Ni illusion za kichwani mwako tu.
Binafsi nimesoma Sana vitabu kuhusu mambo ya kiroho na nimefatilia Sana Mafundisho ya dini mbali mbali
Kusoma kwako mafundisho mbalimbali ya dini na kiroho sio kigezo cha ukweli wa hayo mafundisho yako uliyosoma.

Kama huna uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu mafundisho hayo uliyosoma ni hadithi tu za kiimani.

No amount of belief or faith can make something a fact without proofs.
Ila kinachotoa matokea Kwa MTU ni kile anachoipelekea universe (ulimwengu)

Kuanzia mawazo yake
Matendo yake
Hisia zake

If ukiwa negative utapata negative zaidi kwako au Kwa generation yako

So karma IPO na inafanya Kazi vizuri ukiwa nafasi ya kumsaidia MTU do it na ukiwa na nafasi ya kumuinua MTU muinue.

Universe huwa haikosei you will be paid.
Kama universe haikosei, waafrika tungeshakuwa paid kwa dhuluma za utumwa na ukoloni tuliofanyiwa na wazungu na waarabu.

Mbona sasa hakuna kilichotokea?

Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri tu.

Hiyo karma iko wapi?
 
Mbona sasa hakuna kilichotokea?

Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri tu.

Hiyo karma iko wapi?
Kilichotokea kipo, wametulaghai na dini wamepata mali na madini.

Wasingekuja kutulaghai wasingepata chochote.

Lakini kwakua sisi tulikua wajinga hivyo matokeo yake tumeishia kupoteza mali hata tamaduni zetu.

Laiti tungekua smart wasingefanikiwa labda wangetumia force [vita].

Karma ni sawa na babu zetu walivyosema "Utavuna ulichopanda" wala Sio illusion fulani au Muujiza.

Man to man, Action to action.
 
Mkuu hapa mi niko tofauti kidogo, mimi naona karma ipo ila sio In-term ya Kiroho/Spiritual.


Maana ya "Karma" ni kupata sawa na unachokitoa - You're getting Exactly what you give.

Mfano;

Ukiweka mtaji wa 1M kwenye biashara utapata faida kulingana na mtaji huo huo tofauti na aliyeweka 2M - karma.
Mbona sasa wengine wanaweka mtaji mkubwa na bado wanapata hasara?
Ukifanya kazi kwa bidii, ukatunza pesa, Ukawekeza, ukatake risk, unatusua wakati huohuo yule mvivu, hathubutu, anatumia pesa ovyo anakufa masikini - karma.
Kuna maelfu ya watu wengi wanafanya kazi kwa bidii sana, Lakini bado hawafanikiwi sawasawa na jitihada wanazofanya.
Ukiwa na tabia njema, una matendo mema - unaaminika, ukiwa na matendo na matukio ya hovyo unachukiwa -karma.
Mbona kuna watu wana tabia njema ila bado wanachukiwa tu na watu wengine kwa sababu ya wivu.
Ukifuata kanuni za afya unapata afya njema, ukipuuza ushauri wa kiafya, afya yako inadhurika - karma.
Kuna watu wanatunza afya zao sana. Lakini wanapata magonjwa ya kuibuka ghafla tu kama kansa.
NB: Baraka/Karma si zawadi kutoka kwa Mungu/Miungu au kiumbe chochote cha kiroho, bali tunaweza kuitafsiri kama matokeo mazuri yanayojitokeza kutokana na juhudi za kibinadamu.
Kuna binadamu wanatia juhudi sana kwenye maisha, lakini bado wana angukia pua.

Nakumbuka kipindi nipo Advance level, kuna jamaa mmoja alikuwa kombi ya PCM alikuwa anafua msuli vibaya mno. Yani alikuwa anapiga kitabu balaa.

Lakini mwisho wa siku Necta alipiga divisheni four.
Karma/baraka ni matokeo ya tabia zetu wenyewe, kazi ngumu na kubadili mazingira, Haiusiani na nguvu za kiroho au mungu.
Kuna watu wana tabia mbaya na wana mafanikio makubwa.

Kuna watu wana tabia njema ila hawana mafanikio na wengine ni maskini choka mbaya.

Kwa hiyo hakuna uhusiano wowote wa tabia njema na mtu kufanikiwa.
 
Kilichotokea kipo, wametulaghai na dini wamepata mali na madini.

Wasingekuja kutulaghai wasingepata chochote.

Lakini kwakua sisi tulikua wajinga hivyo matokeo yake tumeishia kupoteza mali hata tamaduni zetu.

Laiti tungekua smart wasingefanikiwa labda wangetumia force [vita].

Karma ni sawa na babu zetu walivyosema "Utavuna ulichopanda" wala Sio illusion fulani au Muujiza.

Man to man, Action to action.
Kama karma ni sawa na "kuvuna ulicho panda" basi hai apply kwa mambo yote.

Kuna watu wanapata bahati kwenye maisha bila hata ya kujihangaisha na wala hakuna walicho panda.

Yani wao ni kamseleleko tu.

Sasa hapa karma haipo.

Kuna watu wanavuna vitu ambavyo hata hawajapanda.
 
God doesn't exist.

Karma doesn't exist.

Religion is a scam.

GOD is not the higher power.

GOD is just a fictional character in your head.

Karma is an illusion.

Huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo God pia huwezi kuthibitisha hiyo karma.

Ni illusion za kichwani mwako tu.

Kusoma kwako mafundisho mbalimbali ya dini na kiroho sio kigezo cha ukweli wa hayo mafundisho yako uliyosoma.

Kama huna uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu mafundisho hayo uliyosoma ni hadithi tu za kiimani.

No amount of belief or faith can make something a fact without proofs.

Kama universe haikosei, waafrika tungeshakuwa paid kwa dhuluma za utumwa na ukoloni tuliofanyiwa na wazungu na waarabu.

Mbona sasa hakuna kilichotokea?

Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri tu.

Hiyo karma iko wapi?
Mabishano sasa ni vizuri ukaendelea kuamini unachoamini .

Maana katika kuelewa mambo tumetofautiana .
 
Mtoa mada ,nakuunga Mkono Kwa kisa hiki Cha majirani zetu wawili.

Kijana Mmoja kutoka Familia A, Kwa kutotaka kukalipiwa na BABA wa Familia B baadae ya Kijana wa familia A kukata Miti ya Baba wa Familia B.

Kijana alimvizia Baba huyo Kisha akamponda na Jiwe kichwani , Baba alipalalaizi Upande Mmoja, akashindwa kutombaa, akashindwa kufanya shughuli akawa Baba wa nyumban.

Mkewe ndio akawa Mama na Baba, hatimaye mkewe akatombwa nje na kubeba Mimba nyingine.

Hadi Leo hii huyo Baba kapalalaizi.

Nawarudisha nyuma, katika kesi Yao mahakaman, Mahakama ilimuachia huru Kijana, na kulipa faini ya Laki sita tu na Kijana Leo hii ni Askari Polisi .


Wenye akili mtanielewa, na niwaase sana TUTAFUTE PESA, Ili Yale ambayo tunaweza kumalizana hapa Duniani sisi wenyewe ,basi tumalizane, Mbinguni ni hesabu tu.


Fikiria,MTU anakutendea ubaya, unaokupa ulemavu au kukuumiza katika siku zote za Maisha yako, sio tu wewe, balina familia yako nzimaa.

Alafu ulivyo shogaa, unasema Et Namuachiaaa eehhh, ipo siku atalipwa tu 🤣🤣

Acha usengeee Fala wewe, MTU akigusa Maisha yako, Nawewe gusa yake...akichezea familia yako, Nawewe chezea yakee.


Mfano mwingine, Kwanini Israel inawapiga Wapalestina Kila siku?? Kwànn isimuachie Mungu?.


Upo kwenye Mahusiano, Umenunulia Demu Gari, au biashara kubwa umempa, kesho anakuambia haukuwa type yangu??. Kwanini usichukue Gari lako, ukaxhukua na biashara yako, akabaki yeye na Bwanake???.

Kuna Fala utasikia...Nmeamka kumuachiaa yote ipo siku yatamrudiaa.

Weweee kizazi weweeee , unajua ili Karma ufanye kazi ni lazima Usiwe na dhambi hata Moja??.


🤣🤣🤣
 
Mabishano sasa ni vizuri ukaendelea kuamini unachoamini
Mimi siamini kwenye kuamini.

Sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.
Maana katika kuelewa mambo tumetofautiana .
Kama huna uthibitisho wa hicho unachodai kukielewa, kitabaki imani zako tu zisizo na ukweli wowote ule.
 
Mtoa mada ,nakuunga Mkono Kwa kisa hiki Cha majirani zetu wawili.

Kijana Mmoja kutoka Familia A, Kwa kutotaka kukalipiwa na BABA wa Familia B baadae ya Kijana wa familia A kukata Miti ya Baba wa Familia B.

Kijana alimvizia Baba huyo Kisha akamponda na Jiwe kichwani , Baba alipalalaizi Upande Mmoja, akashindwa kutombaa, akashindwa kufanya shughuli akawa Baba wa nyumban.

Mkewe ndio akawa Mama na Baba, hatimaye mkewe akatombwa nje na kubeba Mimba nyingine.

Hadi Leo hii huyo Baba kapalalaizi.

Nawarudisha nyuma, katika kesi Yao mahakaman, Mahakama ilimuachia huru Kijana, na kulipa faini ya Laki sita tu na Kijana Leo hii ni Askari Polisi .


Wenye akili mtanielewa, na niwaase sana TUTAFUTE PESA, Ili Yale ambayo tunaweza kumalizana hapa Duniani sisi wenyewe ,basi tumalizane, Mbinguni ni hesabu tu.


Fikiria,MTU anakutendea ubaya, unaokupa ulemavu au kukuumiza katika siku zote za Maisha yako, sio tu wewe, balina familia yako nzimaa.

Alafu ulivyo shogaa, unasema Et Namuachiaaa eehhh, ipo siku atalipwa tu 🤣🤣

Acha usengeee Fala wewe, MTU akigusa Maisha yako, Nawewe gusa yake...akichezea familia yako, Nawewe chezea yakee.


Mfano mwingine, Kwanini Israel inawapiga Wapalestina Kila siku?? Kwànn isimuachie Mungu?.


Upo kwenye Mahusiano, Umenunulia Demu Gari, au biashara kubwa umempa, kesho anakuambia haukuwa type yangu??. Kwanini usichukue Gari lako, ukaxhukua na biashara yako, akabaki yeye na Bwanake???.

Kuna Fala utasikia...Nmeamka kumuachiaa yote ipo siku yatamrudiaa.

Weweee kizazi weweeee , unajua ili Karma ufanye kazi ni lazima Usiwe na dhambi hata Moja??.


🤣🤣🤣
Tatizo waafrika ni wabishi sana.

Wao kila kitu tunamwachia Mungu. Huku wanazidi kuteseka na kufa.
 
Karma is bitch



Newton's third law of motion states that: for every action, there is an equal and opposite reaction. This means that when one object exerts a force on another object, the second object exerts an equal and opposite force on the first object.
 
Ukitaka kujua kuhusu karma in deep usiegemee katika mafundisho ya dini yoyote .

Maana dini zote zinasema hivi
Hakuna dhambi isyosameheka haijalishi umefanya nini .

Ukiwa religious person hauwezi kuwa kuwa karma believer

Karma ni universe law ambayo ni causes and effects kwamba ukitoa negative unapata negative na ukitoa positive unapata positive .
Mbona kuna watu wanatoa negative na wanapata positive.

Mwizi anaiba anapata, halafu kuna mtu ambaye anatoa kuwapa maskini ila yeye hapati chochote in return, mpaka akahangaike tena kutafuta alichotoa kuwapa maskini ili kirudi ku replace kile alichotoa.
So katika dini tunamsoma Mungu Kama mwenye Kusamehe haijalishi umefanya nini ukimuomba msamaha anakusamehe .

Inamaana katika karma na dini haya mambo yanapishana katika maelezo.
 
Karma is bitch



Newton's third law of motion states that: for every action, there is an equal and opposite reaction. This means that when one object exerts a force on another object, the second object exerts an equal and opposite force on the first object.
Yes , Karma is a bitch... And she is probably a Scorpio.
 
Karma is bitch



Newton's third law of motion states that: for every action, there is an equal and opposite reaction. This means that when one object exerts a force on another object, the second object exerts an equal and opposite force on the first object.
Kidogo nimekuelewa labda aje tena DR Mambo Jambo naona wapendwa katika bwana wapigwa za uso..
 
Back
Top Bottom