Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

ok,,umedhihirisha KARMA ipo bila wewe kujua, mauaji ya kimbari RWANDA ni jibu tosha kwamba karma ipo,kwani kutokana na kubaguana kati ya watutsi na wahutu{watutsi walijiona wao ni bora kuliko wahutu} ndo KARMA ikaingilia kati,,,huko NIGERIA yale mambo ya BIAFRA yalikuwa mauaji ya visasi kutokana na mambo ya ardhi,hapo CONGO,kutokana na serikali ya CONGO kubagua wa2 wenye asili ya RWANDA,M23 ikaibuka{KARMA} hata hapa kwe2 kutokana na wapinani kuteswan a kupotea kwa kutekwa{kwa mujibu ya vyombo vya habari},,,tunaona leo hii wanachama wa CCM wakiuawawa,,,leo hii tarehe 3/12/2024 nimesikia kwa masikio yangu kaka wa bosi mkubwa wa CCM mkoa wa kilimanjaro kauwawa kikatili bro!!!!!,,,,,KARMA-THE LAW OF NATURE ipo!!!!
 
Chawa na wafuasi wa Magufuli wanaikubali sana imani ya kuwepo kwa Karma.. Magu alifanya dhuluma na ushenzi wa kinyama baaae karma ikafanya kazi yake... Fyuu kafyekwa kwa fedheha kama hakuwepo mpaka msiba ukawa wa siri kama kafa punda
 
Dini ni sheria za ulimwengu, wewe unaongea hivyo kwasababu umezaliwa umeukuta huo utaratibu upo hivyo kwahiyo nawewe umejifunza kwa jamii iwe unakubaliana na mimi au unakataa ila kiukweli watu wote huwa tunazaliwa tukiwa empty kichwani then tunaanza kujifunza miongozo mbalimbali ya dunia kwa njia ya kuskia, kuona au kusoma katika vitabu mbalimbali na mambo haya yote huwa yanahifadhiwa kichwani mwa mtu.

Kwahiyo hoja yako yakusema kwamba mtu yeyote mwenye akili timamu haitaji dini ili ajue jema na baya ni kweli kwa maana mambo yote ya kwenye dini tayari yapo katika jamii tulizozaliwa kwahiyo tulishajifunza hayo indirectly.

Watu huishi kwa kufuata utaratibu wa ulimwengu na utaratibu wa ulimwengu ulitengenezwa na dini kwa maana dini ndio sheria za ulimwengu.

Sijali kama unaamini Mungu au huamini au unaamini Dini au huamini ila utaratibu wa maisha ya kila mwanadamu hapa duniani ni matokeo ya dini, directly au indirectly.
 
Wahadzabe na Watindiga kule maporini mbona hawana dini na wanaishi vizuri tu, kwa kufuata taratibu zao.

Sasa utasemaje kwamba dini ndio sheria za ulimwengu, ilhali kuna watu hawana hata hizo dini na wanaishi kulingana na sheria zao za jamii yao?
 
Wahadzabe na Watindiga kule maporini mbona hawana dini na wanaishi vizuri tu, kwa kufuata taratibu zao.

Sasa utasemaje kwamba dini ndio sheria za ulimwengu, ilhali kuna watu hawana hata hizo dini na wanaishi kulingana na sheria zao za jamii yao?
Nakuhakikishia jamii yoyote ambayo haijawahi kuchangamana na watu wengine na wala haijawahi kuskia taarifa tofauti kutoka maeneo mengine ya dunia mtindo wao wa maisha hauwezi kuwa sawa na watu ambao wako na muunganiko wa moja kwa moja na dunia.

Sijui chochote kuhusu hayo makabila uliyoyataja ila kama hayana muunganiko na dunia kwa maana ya kwamba hakuna taarifa mpya zinazowafikia kutoka katika maeneo mbalimbali ya dunia basi mfumo wa maisha yao hauna tofauti na wanyama wengine wa porini.
 
Sawa lakini, kumbuka hii dunia, kunasiri nyingi sana katika maisha yetu sisi binadamu, hatuwezi kufahamu zote, nakupa mfano mdogo tu, uchawi, unafaida na hasara, uko kwajiri, ya kusapoti watu, ambayo wanadhul
Neno "uchawi" maana yake ni nini?
 
Mimi ninachosema hapa ni kwamba,

Hakuna kitu chochote kile kinachotoa majibu ya mambo yetu hapa duniani.

Majibu ya mambo yetu ni sisi wenyewe.

Hata hiyo karma ni dhana ya kutungwa tu na sisi wenyewe.

Ila in reality hai apply na haipo.
Lakini uchawi upo na watu wanalogwa na wanadhulika, mambo mengine huwa, nakukubali sana mkuu lakini uchawi, huwa unakataa haupo, haaa" hapo nakupinga?
 
Mimi ninachosema hapa ni kwamba,

Hakuna kitu chochote kile kinachotoa majibu ya mambo yetu hapa duniani.

Majibu ya mambo yetu ni sisi wenyewe.

Hata hiyo karma ni dhana ya kutungwa tu na sisi wenyewe.

Ila in reality hai apply na haipo.
Lakini uchawi upo na watu wanalogwa na wanadhulika, mambo mengine huwa, nakukubali sana mkuu lakini uchawi, huwa unakataa haupo, haaa" hapo nakupinga?
 
Haki ya mtu huwa haipotei, asipoipata hapa duniani utaenda kuilipa mbinguni na mbaya zaidi huko hutokua na cha kumlipa ,zaidi na zaidi uchukuliwe swahabu zako au dhambi zake upewe wewe
 
Unajuaje ni uchawi na si maarifa ambayo wewe huyaelewi?
Mtu kufanya maarifa hasionekane ni uchawi, uchawi kufanya jambo utokujulikana, kwa ukawaida yani gizani tofauti na sayansi? Vitendo unaviona tena kwa watu, wengi na LIVE??
 
Mtu kufanya maarifa hasionekane ni uchawi, uchawi kufanya jambo utokujulikana, kwa ukawaida yani gizani tofauti na sayansi? Vitendo unaviona tena kwa watu, wengi na LIVE??
Wachawi ni binadamu kama sisi.
Na wanaweza kufanya vitu ambavyo hata wewe wakikufundisha, utaweza kufanya kitu hichohicho kama wao unachodai ni uchawi.

Sasa kama mchawi anaweza kukufundisha wewe uchawi, Huoni kwamba hicho unacho kiita "uchawi" ni maarifa tu ambayo wewe huyaelewi kwa vile bado hujafundishwa na ndio umeamua kuyaita uchawi?

Ila kwao sio uchawi. Ni utaalamu tu ambao wewe bado huujui.

Utathibitisha vipi ni uchawi na si maarifa mengine ambayo wewe huyaelewi na bado hujafundishwa?
 
Hiyo ni nguvu ya kufanya kwa siri bila uthibitisho, au kutambulika, jina litabaki "UCHAWI" maarifa hayajulikani na mfanyanyaji, lakini mfanyaji unamuona anafanya? mfano: sisi tulipokua skuli kunajamaa alikuja alitambulika wa mazingaobwe anauwezo wa kukata kichwa na kukirudishia tena na kawa mzima, alikuja kutoa burudani, ila kwa viingilio pesa, mwafunzi, yani alifanya maajabu mengi karatasi alivigeuza kuwa pesa, cc kujua haya maarifa ndo u
 
Huo uzao uko mkoa gani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…