Karma is Real!, Kutumbuliwa ni Karma za Matendo Yako!. Ukitumbuliwa Kwa kosa la Kuusema Ukweli, ni Uonevu!, Rejoice!, Karma Itakufidia na Kukulipia!

Kama haukujua kwanini aliteuliwa kamwe huwezi kujua kwanini katenguliwa.

Anayekupa majukumu ndiye anayekupima na kujua utendaji wako, unaweza kusena Nape mdomo umemponza kumbe mkeka ulishaprintiwa Toka mwezi WA SITA ukaachwa upoe.
 
Hivi hii karma haifanyi kazi kwa watekaji, waiba kura na waliomshambulia Tundu Lissu, waliombambikia kesi ya uhaini Mbowe?

Kama haifanyi kazi kwa hao wanaodhululumu uhai wa wengine hii karma itakuwa ni uchawi wa kisukuma
 
Correct I if am wrong! Utaratibu wa uteuzi na utenguzi at a pleasure of the appointing authority sio kabisa at this age of democracy. Ni mwendo wa kupiga mark time tu katika utekelezaji wa maendeleo na sera tengefu. I can't perform with confidence, ni bora hata mchezaji wa kabumbu anajua at least frist half kuwekwa bench ni hadi injury Ila sasa ukipangwa na hutarajii hata first half kumaliza na wala hujui then you can't perform
 
Yahya sinwar hataki kuachia uongozi wa Hamas licha ya kujificha chini ya ardhi akitembea kama mfu.

Adiosamigo
Huyo mwamba myahudi hatamweza kamfunga jela zaidi ya miaka 20 kule jangwani negev Israel mpaka leo anamtesa. Unaambiwa sinwar anaongea kiebrania kama anavoongea kiarabu (akili mingi) intelligence yote ya IDF anayo kiganjani wamweza huyo?
 
Wengi hawajakuelewa.

Ni kweli ameonewa kutumbuliwa kwasababu alichosema ni kweli.
Mkuu jmushi1 , kiukweli ma deep thinkers humu jf, ni wa kuhesabika, thanks, you are one of them!.

Ni watu wachache sana wanajiuliza why yule Blaza wangu had to go!, no one knows for sure, but it's karma, due to accumulation of bad karma kwa matendo yake.

Miongoni mwa bad karma ni utumbuzi wa majipu usio wa haki!, hili nililizungungumza humu Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. kisha nikauliza Could There Be A Double Standards Kwa Viongozi Wadanganyifu?!. Wengine Fired, na Wengine Spared?!. na kumalizia na hii Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?!

Mwisho wa siku...
P
 
Huyo mwamba myahudi hatamweza kamfunga jela zaidi ya miaka 20 kule jangwani negev Israel mpaka leo anamtesa. Unaambiwa sinwar anaongea kiebrania kama anavoongea kiarabu (akili mingi) intelligence yote ya IDF anayo kiganjani wamweza huyo?
Licha ya yote anaishi sasa hivi kama panya.
 
Nyie mnazunguka sana, lakini ukweli ni kuwa CCM haitufahi, wana bahatisha kwa kila jambo over 60 yrs. Hatuna viongozi kutokana na mfumo mbovu wa elimu, mfano Rais unaejitambua huwezi kuweka mambo ya wizara ya habari na wizara ya technology pamoja, kama huwezi kutofautisha hivyo vitu viwili tayari ni failure kwa mteuzi na kama nchi hatujui tunataka nini.

Duniani, nchi zilizoendelea karibu 30% ya GDP inatokana na kukua kwa shughuli za kitechnologia , mfano research, smart cities, innovation, satellite, digitalisation, information security, chipsets, frequency auction , aviation ,finitech etc exports ya technology ndio umeweka nchi kama USA, Europe , China na Japan on top of their economy, ni kitovu cha kitega uchumi duniani, wizara kama hii unampatia Nape Nnauye asiekuwa na uelewa wowote ule wa masuala ya technology kichwani ni dhihaka kubwa sana kwa watanzania.

Kwa kutambua ujinga huo nape alikuwa ana focus zaidi kwenye mambo ya habari tu , media, social media na kucheza na wasanii kwisha kazi, na kufunga magazeti, kazi za kijinga jinga .

Mnaweza kutuambia ndani ya miaka miwili, Tanzania technology imekuwa kiasi gan? Tumefanya innovation na kuuza technology ipi ndani na nje ya Tanzania?au sisi imetunufaisha vipi?, Zero.

Kwahiyo anae teua na kutengua wote ni zero brain ndio maana ccm haitakiwi kuwepo duniani, tunaongozwa na chama chenye uwezo mdogo sana, hivyo kupoteza muda na kuishia kufanya vitu vidogo kila miaka na wao kuita maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…