Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi
Mimi ni mwalimu wa somo linaloitwa karma humu jukwaani.
Karma ni kuhukumiwa kwa mawazo yako, maneno yako na matendo yako, wazungu wanasema, what goes around, comes around.
Nashauri kama huijui karma, anza bandiko hili kwa kujifunza kuhusu karma "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Jana kumefanyika utenguzi na utumbuzi wa mawaziri 3. Hivyo kutumbuliwa kwao ni matokeo ya mawazo yao, maneno yao na matendo yao, kutumbuliwa huko ni haki yao na stahiki yao.
Niliwahi kushauri
www.jamiiforums.com
Ila hata kama kuteuliwa ni just kwa pleasure ya the appointing authority, na unateuliwa by favours tuu na sio kwa kustahili na stahiki, pia kwenye kutenguliwa, unaweza kutenguliwa uki fall out of favours za the appointing authority, na ukatenguliwa bila kosa lolote, na mteuzi akawa hajafanya kosa lolote kwasababu uteuzi na utenguzi is at the pleasure tuu za mamlaka ya uteuzi.
Lakini kwenye kutumbuliwa lazima mtu ufanye kosa la kustahili kutumbuliwa, ukitumbuliwa kwa uonevu, then karma itaingilia kati kukufidia na kukulipia!.
Mfano kutumbuliwa kwa Nape, inawezekana kabisa ni accumulation ya karma za mabao ya mkono yote aliyoyasimamia, hivyo ametumbuliwa kwa haki. Lakini kama ametumbuliwa kwa kosa la kuusema ule ukweli wa kinachofanyika kwenye uchaguzi, then Nape ameponzwa na mdomo wake, ila hicho alichokisema kama ni kitu cha kweli na huwa kinafanyika, then Nape ametumbuliwa kwa kuonewa hivyo anatakiwa ku rejoices na karma itamfidia na kumlipia! .
Kwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Kwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Niliwahi kuandika humu Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?
Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
Paskali.
Mimi ni mwalimu wa somo linaloitwa karma humu jukwaani.
Karma ni kuhukumiwa kwa mawazo yako, maneno yako na matendo yako, wazungu wanasema, what goes around, comes around.
Nashauri kama huijui karma, anza bandiko hili kwa kujifunza kuhusu karma "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Jana kumefanyika utenguzi na utumbuzi wa mawaziri 3. Hivyo kutumbuliwa kwao ni matokeo ya mawazo yao, maneno yao na matendo yao, kutumbuliwa huko ni haki yao na stahiki yao.
Niliwahi kushauri
Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
Wanabodi, Kwa maslahi ya Taifa, should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Tangu kutumbuliwa kwa...
Ila hata kama kuteuliwa ni just kwa pleasure ya the appointing authority, na unateuliwa by favours tuu na sio kwa kustahili na stahiki, pia kwenye kutenguliwa, unaweza kutenguliwa uki fall out of favours za the appointing authority, na ukatenguliwa bila kosa lolote, na mteuzi akawa hajafanya kosa lolote kwasababu uteuzi na utenguzi is at the pleasure tuu za mamlaka ya uteuzi.
Lakini kwenye kutumbuliwa lazima mtu ufanye kosa la kustahili kutumbuliwa, ukitumbuliwa kwa uonevu, then karma itaingilia kati kukufidia na kukulipia!.
Mfano kutumbuliwa kwa Nape, inawezekana kabisa ni accumulation ya karma za mabao ya mkono yote aliyoyasimamia, hivyo ametumbuliwa kwa haki. Lakini kama ametumbuliwa kwa kosa la kuusema ule ukweli wa kinachofanyika kwenye uchaguzi, then Nape ameponzwa na mdomo wake, ila hicho alichokisema kama ni kitu cha kweli na huwa kinafanyika, then Nape ametumbuliwa kwa kuonewa hivyo anatakiwa ku rejoices na karma itamfidia na kumlipia! .
Kwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Kwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Niliwahi kuandika humu Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?
Watanzania tufike mahali tu demand the right to information wakati wa utumbuzi, mfano mpaka leo, sijawahigi kujua, kwanini Balozi Liberata Mulamula alitumbuliwa, sasa January Makamba nae ametumbuliwa, natamani kujua sababu. Sihitaji kujua sababu ya Nape kutumbuliwa itakuwa ni mdomo umemponza kwa ile kauli ya Waswahili ya "mzaha mzaha, hutumbua usaha", lakini kwa Byabato ana kosa gani?.Wanabodi,.
Kwa vile Rais Samia ameisha onyesha njia kwa kutuhisania, tuwe watu wa shukrani kwanza kwa kumshukuru kwa hiyo hisani tuu kwanza, kisa sasa tumuombe atupe na haki ya kupata taarifa, asiishie kwenye kutupatia taarifa za uteuzi tuu, tupatiwe na taarifa za sababu za utenguzi kwasababu maofisa hao ni watumishi wa umma, wanaolipwa na fedha za umma, hivyo umma una haki zote za kujua kuhusu utendaji wa wateule hao, na sababu za kutenguliwa kwao na kutumbuliwa.
Kama ilivyo sifa njema kuteuliwa, mtumishi wa umma akiboronga, the public ielezwe kama nilivyo shauri hapa - Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
Nimalizie kwa kumpongeza tena Rais Samia kwa kutuhisania openness and transparency kwenye teuzi zake, openness hii na transparency hii tuifanye na haki na sio hisani.
Wasalaam
Paskali
Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
Paskali.