Karma: Joe Biden hajawahi kufurahi namna hii tokea Kamala achukue nafasi yake, Ahutubia ikulu kwa sura yenye tabasamu licha ya Trump Kushinda

Karma: Joe Biden hajawahi kufurahi namna hii tokea Kamala achukue nafasi yake, Ahutubia ikulu kwa sura yenye tabasamu licha ya Trump Kushinda

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1731171224226.png


Siwezi kushangaa kabisa kama Biden na familia yake walimpigia kura Trump

Team Obama ndio walimlazimisha Biden ajiondoe na pia team Obama hawakutaka Harris agombee Urais walikuwa na mtu wao mwanaume, Biden baada ya kujitangaza kujiengua fasta akafanya endorsement kwa Harris ili awavuruge team Obama na pia wakose wote.

Lakin pia Isingekuwa tatizo kwa biden kuachia madaraka kwa matatizo yake ya afya lakini alitegemea mchakato mzima umpe heshima yake, kilichotokea Biden alianza kupuuzwa, Obama alikuwa na ushawishi mkubwa kumzidi


 
Siwezi kushangaa kabisa kama Biden na familia yake walimpigia kura Trump

Biden alienguliwa kikatili sana bila heshima, Nyuma ya pazia ni Obama alisuka kila kitu.

Kamala alichukua nafasi ya kukiwakilisha chama cha Democrats kienyeji sana, alipitishwa kwenye kikao cha mtandaoni (zoom) wakati Biden na wagombea urais wengine huwa wanaipata nafasi hio kwa kuchuana na wanachama wenzao kisha kura hupigiwa mshindi hukiwakilisha chama

View attachment 3147464
Robot hilo.
 
Anafurahi uchhaguzi umeisha salama. Ingekuwa africa virungu, maji washa, lisasi za kuwasha macho, lakini hawa jamaa hakuna upuuzi huo. Hakuna kukata majina wapinzani wala kuwazuia mikutano. Huko ni fair play tu.....ccm oyeee na people's power oyeeee.
Mbona Trump alifyatuliwa rusasi mara mbili.
 
Team Obama ndio walimlazimisha Biden ajiondoe,na pia team Obama hawakutaka Harris agombee Urais walikuwa na mtu wao mwanaume,Biden baada ya kujitangaza kujiengua fasta akafanya endorsement kwa Harris ili awavuruge team Obama na pia wakose wote. Hii ni kwa mujibu wa afisa wa zamani wa White House chini ya Biden.
 
Team Obama ndio walimlazimisha Biden ajiondoe,na pia team Obama hawakutaka Harris agombee Urais walikuwa na mtu wao mwanaume,Biden baada ya kujitangaza kujiengua fasta akafanya endorsement kwa Harris ili awavuruge team Obama na pia wakose wote. Hii ni kwa mujibu wa afisa wa zamani wa White House chini ya Biden.
Tanganyika tuna intelijensia kali mno. Kali sana.
 
Sasa hivi Democratic hapakaliki wanatupiana lawama za kushindwa,wengi wanamlaumu Biden kwanini hakutangaza mapema kuwa hatagombea ili kutoa nafasi kwa watu wengi kushiri primary ya mchujo,wengine wakisema sera za wakina Obama kuhusu genders,ushoga na ukisasa huku wakiacha mambo ya msingi kama vile kuongelea hali ya uchumi na kulinda traditional values ndio zimewaponza
 
Siwezi kushangaa kabisa kama Biden na familia yake walimpigia kura Trump

Biden alienguliwa kikatili sana bila heshima, Nyuma ya pazia ni Obama alisuka kila kitu.

Kamala alichukua nafasi ya kukiwakilisha chama cha Democrats kienyeji sana, alipitishwa kwenye kikao cha mtandaoni (zoom) wakati Biden na wagombea urais wengine huwa wanaipata nafasi hio kwa kuchuana na wanachama wenzao kisha kura hupigiwa mshindi hukiwakilisha chama

View attachment 3147464
Nyuma ya pazia ni CIA
 
Siwezi kushangaa kabisa kama Biden na familia yake walimpigia kura Trump

Biden alienguliwa kikatili sana bila heshima, Nyuma ya pazia ni Obama alisuka kila kitu.

Kamala alichukua nafasi ya kukiwakilisha chama cha Democrats kienyeji sana, alipitishwa kwenye kikao cha mtandaoni (zoom) wakati Biden na wagombea urais wengine huwa wanaipata nafasi hio kwa kuchuana na wanachama wenzao kisha kura hupigiwa mshindi hukiwakilisha chama

View attachment 3147464
Alimchagua Kamala mwenyewe lakini Kushindwa Kwa Kamala kumemfurahisha eti wakose wote,hovyo kabisa.

Anatakiwa kujua kwamba Kamala Bado umri unamruhusu na hata yeye alikuwa Rais Kwa mgongo wa Obama Sasa inakuaje anakuwa na nongwa? Kwa kupoteza kumbukumbu kwake angewezaje Kuongoza?
 
Siwezi kushangaa kabisa kama Biden na familia yake walimpigia kura Trump

Biden alienguliwa kikatili sana bila heshima, Nyuma ya pazia ni Obama alisuka kila kitu.

Kamala alichukua nafasi ya kukiwakilisha chama cha Democrats kienyeji sana, alipitishwa kwenye kikao cha mtandaoni (zoom) wakati Biden na wagombea urais wengine huwa wanaipata nafasi hio kwa kuchuana na wanachama wenzao kisha kura hupigiwa mshindi hukiwakilisha chama

View attachment 3147464
huwezi kujifungia ikulu kisha ukategemea kushinda uchaguzi na ndio maana kamama kakashinda New York na kule kwingineko kwa watoaji mimba na ndoa za jinsia moja pekee 🐒
 
Back
Top Bottom