Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"
Mwanamke akikugeuka anakuwa amakuharibia Line yoote ya maisha...lakini kwa historia hii huanda tu hizo messeji zilikuwa ni Teasing tu za kutiana nyege maana mke hawezi kukaa miaka hiyo bila vistori vya hapa na pale vya kuchemsha ubongo. Hata sisi wanaume huwa tuna fanya na hata kama hatujachepuka.
 
Wanaume huwa hatujui kuwasanehe wanawake wasaliti ndio maana jamaa anataka tu kuforce hisia ila akili inakataa

Peace of mind ni bora kuliko kuishi na msaliti. Huyo mwanamke hawezi kuwa na upendo naye kama zamani. Shida yote ya nini ampige chini

Mwambie akiamua kumsamehe basi asije tena kulalamika akisalitiwa. Kikawaida mwanamke msaliti huwa haachi tabia yake

Atumie akili na sio hisia kwenye maamuzi magumu kama hayo
 
Kama kweli mwanamke amekiri na kuomba msamaha amsamehe tu,maisha yaendelee. Akirudia tena sasa hapo hapana.
 
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Binafsi mwanamke akishachepuka na nikathibitisha ndo anasepa hivyo!, tena nikimuona barabarani nampiga mawe!
 
Uwanaume ni k
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
uvum
Njia bora au nzuri ya kumshauri MTU Kama huyo mwambie afanye philosophy (Falsafa)

Mfano
Endapo nikiendelea na huyu mwanamke , ataathiri Afya yangu ya akili na akili yangu ikiathirika nitapoteza ufanisi kazini na ufanisi kazini ukipotea naweza kuatarisha usalama wa kazi yangu, mahausiano and everything.

Endapo nikimsamehe -watoto wataendelea kupata malezi ya baba na mama , familia itaimarika na Mimi sitokuwa na hatia yoyote guilty.

Na endapo nisipo msamehe -itabidi tuachane , watoto hawatolelewa baba na mama n.k


So hapo mwambie aaangalie faida za yeye kusamehe na mwambie aangalie na faida za yeye kuachana then aangalie na hasara pia na huku aangalie na future ya watoto wake.


Ni vizuri ukamchambulia mambo Kama hayo ili yeye mwenyewe afanye maamuzi na sio we we kumfanyia maamuzi.


Yaani unamuondolea mabano katika mambo yanayomsibu then yeye anafanya maamuzi .

"Watu hubadilika na watu hawatabiriki do what can make you happy "
Uwanaume nikuvumilia Makubwa kama hayo na kusimamia na familia na Mkewake.Faida hatopata sasa ni baadae Sana.Kujiskia hali mbaya ni Ya mpito tuu na ndo tabia ya Ubongo.

Huu ndo Muda wa kumpenda mkeo Kwa dhati na kumsamehe.
 
Njia bora au nzuri ya kumshauri MTU Kama huyo mwambie afanye philosophy (Falsafa)

Mfano
Endapo nikiendelea na huyu mwanamke , ataathiri Afya yangu ya akili na akili yangu ikiathirika nitapoteza ufanisi kazini na ufanisi kazini ukipotea naweza kuatarisha usalama wa kazi yangu, mahausiano and everything.

Endapo nikimsamehe -watoto wataendelea kupata malezi ya baba na mama , familia itaimarika na Mimi sitokuwa na hatia yoyote guilty.

Na endapo nisipo msamehe -itabidi tuachane , watoto hawatolelewa baba na mama n.k


So hapo mwambie aaangalie faida za yeye kusamehe na mwambie aangalie na faida za yeye kuachana then aangalie na hasara pia na huku aangalie na future ya watoto wake.


Ni vizuri ukamchambulia mambo Kama hayo ili yeye mwenyewe afanye maamuzi na sio we we kumfanyia maamuzi.


Yaani unamuondolea mabano katika mambo yanayomsibu then yeye anafanya maamuzi .

"Watu hubadilika na watu hawatabiriki do what can make you happy "
Shukrani mkuu nitaongea nae.

Binafsi naona yeye ndio muhimu sana Kwa maelezo yako ya Kwanza sababu yeye ndio mtafuta hela Kwajili ya watoto wake.
 
Wanaume huwa hatujui kuwasanehe wanawake wasaliti ndio maana jamaa anataka tu kuforce hisia ila akili inakataa

Peace of mind ni bora kuliko kuishi na msaliti. Huyo mwanamke hawezi kuwa na upendo naye kama zamani. Shida yote ya nini ampige chini

Mwambie akiamua kumsamehe basi asije tena kulalamika akisalitiwa. Kikawaida mwanamke msaliti huwa haachi tabia yake

Atumie akili na sio hisia kwenye maamuzi magumu kama hayo
Upendo upo Kwa Mama yako aliyekuzaa Tu. Huu upendo Kwa wanawake zetu ni upendo wa Mali Tu.Sidhani wanawake wa Sasa wanapenda wanaume ambao Ni apeche alolo
 
Uwanaume ni k

uvum

Uwanaume nikuvumilia Makubwa kama hayo na kusimamia na familia na Mkewake.Faida hatopata sasa ni baadae Sana.Kujiskia hali mbaya ni Ya mpito tuu na ndo tabia ya Ubongo.

Huu ndo Muda wa kumpenda mkeo Kwa dhati na kumsamehe.
Jamaa aendelee kuumia kwahiyo
 
Kataa ndo
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
:ALERTA::ALERTA::ALERTA: afukuze tu huyo msaliti
 
20241024_133549.jpg


Tukiwaambia msioe HAMUELEWI.
Acha liwakute.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Wa kaskazini ndo wana sera za kuitisha vikao vya pande mbili kukaa kusuluhusha
 
Mpe pole Sana mchizi wako mwambie hakuna upendo hapo cha msingi afikirie ni namna gani atawatunza watoto wake.Na Kwa Sasa atafute hela Kwajili ya watoto wake tu na sio mke tena kwa upande wake.Ni ngumu kumuacha mwanamke unayempenda lakini wakati mwingine inabidi iwe hivyo tu.
Maumivu ya kusalitiwa yanauma sana.

Natafuta Ajira
Xi Jinping
 
Back
Top Bottom