Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Mnachopaswa kujua na sisi ni binadamu vishawishi vipo, mbona nyie mnachepuka sana tu huku mkisingizia nature,hamuwezi kudumu na mtu 1, na sisi ni watu tuna mioyo kuteleza kupo. Siyo vizuri ndiyo ila kusamehemana kupo
uko wapi we dada..?????
 
Ulivyomuacha kipindi chote hicho ulijua umeoa mgomba sio!!

Hebu tuliza wenge mlee watoto wenu, mambo ya kawaida kabisa hayo.
Wee ni Me au Ke?
 
Mnachopaswa kujua na sisi ni binadamu vishawishi vipo, mbona nyie mnachepuka sana tu huku mkisingizia nature,hamuwezi kudumu na mtu 1, na sisi ni watu tuna mioyo kuteleza kupo. Siyo vizuri ndiyo ila kusamehemana kupo
Ndio mana mnafanya kama malipizo
 
nashauri amuache. na kama mwanamke mzuri nipasie namba niendelee alipoishia jamaa
 
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili, imeandikwa.....🌚
 
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Pole sana mkuu.. Japo umetumia lugha wanayotumiaga wengi kwamba unamwombea ushauri jamaa yako😄 ila wenye D mbili washa elewa.
Ngoja waje wakushauri
 
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Mapenzi ni kitu kidogo sana lakini mnayakuza tu
 
Mchane makavu,...huo upumbavu wa kupekua simu za wapenzi au wake zenu utakuja kuwaua kipuuzi,...
 
Pole sana mkuu.. Japo umetumia lugha wanayotumiaga wengi kwamba unamwombea ushauri jamaa yako😄 ila wenye D mbili washa elewa.
Ngoja waje wakushauri
Una umri wa miaka mingapi Tafadhali?
 
Tatizo dogo sana hilo, atafute naye mchepuko amalize hizo hasira
 
Back
Top Bottom