Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Chuki ni hasira iliyokomaa.
Hasira ina Target mtu au kitu Hadi ukiharibu ili kuondoa nguvu hasi iliyoko ndani yako ndipo amani itakuja.

Temana nae.
 
Jamaa yako bado mtoto,amechapiwa mkewe vikao vya familia vya nini?.
Vikao vya familia havijawahi kuwa suluhisho la usaliti kwa mwanaume anayejitambua.
Watoto wadogo unashindwa kumuacha malaya?
Utakufa kwa stress,mkeo ataendelea kuchapwa na masela na watoto watakua na kuwa wanajamii.
Mwambie rafikio aache upumbavu,mwanamke malaya hasamehewi.
 
Jamaa yako bado mtoto,amechapiwa mkewe vikao vya familia vya nini?.
Vikao vya familia havijawahi kuwa suluhisho la usaliti kwa mwanaume anayejitambua.
Watoto wadogo unashindwa kumuacha malaya?
Utakufa kwa stress,mkeo ataendelea kuchapwa na masela na watoto watakua na kuwa wanajamii.
Mwambie rafikio aache upumbavu,mwanamke malaya hasamehewi.
Hakika ndugu yetu tunamuokoa na hili jambo
 
Nin
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND[/U

Ningepiga chini hata bila ndugu kujua
[/QUOTE]
 
Vijana wa Kitanzania waliopo italy wengi wanajishughulisha na viashara ya dawa za kulevya au wizi. Kama unafanya haramu, elewa kila kitu chakoi kinakwenda kiharamu.

kama huyo kijana yupo kwenye biashara haramu, ndiyo hana ujanja wa kumfanya lolote huyo mwanamke. Mwanamke atakuwa ana siri zake zote, mwache akae Tanzania, wewwe fanya boashara haramu umtumie pesa yeye ale na bata na mabwana zake.

Kiijana wewe baki Italy ushangilie, sasa omba na picha kabisa za mkeo kuliwa, si unaona raha? mambo ya kizungu?
 
Never forgive a woman who cheated you, hata biblia imetoa room ya kumpiga chini mwanamke mzinifu.

Ukikubali kumsamehe ukubaliane na utakayokutana nayo huko mbeleni hizo excuse sijui nina watoto wadogo ni ujinga mtupu kwani huyo mwanamke akifa hao watoto wadogo utawapeleka wapi?? Tumia akili.

Wanaume tuwe na akili na tumeambiwa tuishi nao kwa akili.
 
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Pole yao
 
Back
Top Bottom