Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika ndugu yetu tunamuokoa na hili jamboJamaa yako bado mtoto,amechapiwa mkewe vikao vya familia vya nini?.
Vikao vya familia havijawahi kuwa suluhisho la usaliti kwa mwanaume anayejitambua.
Watoto wadogo unashindwa kumuacha malaya?
Utakufa kwa stress,mkeo ataendelea kuchapwa na masela na watoto watakua na kuwa wanajamii.
Mwambie rafikio aache upumbavu,mwanamke malaya hasamehewi.
Kama ataridhika na maamuzi yake sawaWakuu jamaa anasema kesho anampa TALAKA mke wake asee haya mambo sio ya kuchezea kabisa
Natafuta Ajira Xi Jinping FaizaFixy Half american KENZY DR HAYA LAND
Habari wakuu.
Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.
Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.
Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.
Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.
Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"
Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.
Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.
Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND[/U
Ningepiga chini hata bila ndugu kujua
[/QUOTE]
Mimi sijaolewa sasa, so kwasasa no labda hadi nikiwa huko ndani ndiyo ntajua🤔Wewe ushawahi kuteleza dada angu
Uzi ufungwe kwa comment hiiMwanamke mke wa mtu hasamehewi ni maumivu ya milele
Xi Jinping mwenyekiti mpe jibu huyu
Jamaa amempa talaka mke wake tayari.Umeelezea vyema sana sisi michepuko kwetu ni malaya tu kama malaya wengine
Ndio maana hata huwa hatuna habari nao akiliwa na wanaume wengine
Tunachepuka with no emotions tofauti na wao
Hizi ni habari njemaJamaa amempa talaka mke wake tayari.
Rasmi kamtaliki mke wake na Sasa yupo huru katika mambo yake FaizaFoxy Half american DR HAYA LAND Xi Jinping min -me Natafuta Ajira KENZY
Usiniombee mabaya mkuuMpaka hapo tayali umeshapanga kuchepuka
Binti ameshapata ampendaye tayariMwisho aje kumuua au kua na michepuko ili kulipiza, kana hawezi kuhimili bora amuache binti wa watu nae atapata anaempenda
Pole yaoHabari wakuu.
Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.
Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.
Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.
Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.
Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"
Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.
Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.
Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND