Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Kasalitiwa baada mke wake kusafiri

Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Kuna Uzi wangu wa kitomsamehe mwenza,nikiweka picha zitazosaidia kitomsamehe kila ukizikimbuka,na nikasema pia Kuna kipindi ilitoka nje yeye mkeo ndiye aliyeirudisha ndani harakaharaka
 
yeye nae apekuliwe simu yake
Pia ,hakuwa mnyama kwamba unuswe mkojo apandwe
 
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Idiot!!!!!
 
Upendo upo Kwa Mama yako aliyekuzaa Tu. Huu upendo Kwa wanawake zetu ni upendo wa Mali Tu.Sidhani wanawake wa Sasa wanapenda wanaume ambao Ni apeche alolo
Unajua kosa la jamaa ni kumsamehe pale mwanzoni alipoona meseji akiwasiliama na mwanaume mwingine pale ndio palikuwa pa kufanya maamuzi.

Kamsamehe mke wake akarudia tena ndio maana ukweli ni kwamba hautakiwi kabisa kumsamehe mwanamke msaliti lazima akusaliti tena
na tena
 
Unajua kosa la jamaa ni kumsamehe pale mwanzoni alipoona meseji akiwasiliama na mwanaume mwingine pale ndio palikuwa pa kufanya maamuzi.

Kamsamehe mke wake akarudia tena ndio maana ukweli ni kwamba hautakiwi kabisa kumsamehe mwanamke msaliti lazima akusaliti tena
na tena
Usaliti mbaya sana kaka
 
Ndo umemsahuri hivyo?
Yeye kaja hapa home kwangu kaniambia ndugu yangu Sina maamuzi mengine zaidi ya kumuacha shemeji yako aendelee Na Maisha yake.

Sasa Kuna nini hapo Na yeye ndio mwenye maamuzi ya mwisho mkuu.
 
Yeye kaja hapa home kwangu kaniambia ndugu yangu Sina maamuzi mengine zaidi ya kumuacha shemeji yako aendelee Na Maisha yake.

Sasa Kuna nini hapo Na yeye ndio mwenye maamuzi ya mwisho mkuu.


Mwambie asikilize intuition yake zaidi na sio msukumo wa nje

Sauti yake ya ndani ikimwambia apige chini mwambie apige chini kweli
 
Pole sana kwake "moyo sukuma damu si kingine" Ditto
Habari wakuu.

Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.

Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.

Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.

Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.

Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"

Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.

Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.

Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
 
Back
Top Bottom