Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mwanamke akikugeuka anakuwa amakuharibia Line yoote ya maisha...lakini kwa historia hii huanda tu hizo messeji zilikuwa ni Teasing tu za kutiana nyege maana mke hawezi kukaa miaka hiyo bila vistori vya hapa na pale vya kuchemsha ubongo. Hata sisi wanaume huwa tuna fanya na hata kama hatujachepuka.Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"
Hacheat?Salama kivipi mkuu
Binafsi mwanamke akishachepuka na nikathibitisha ndo anasepa hivyo!, tena nikimuona barabarani nampiga mawe!Habari wakuu.
Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.
Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.
Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.
Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.
Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"
Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.
Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.
Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Nakataa!, nyinyi wadada mnataka kutupanda kichwani!Kama kweli mwanamke amekiri na kuomba msamaha amsamehe tu,maisha yaendelee. Akirudia tena sasa hapo hapana.
uvumHabari wakuu.
Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.
Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.
Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.
Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.
Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"
Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.
Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.
Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Uwanaume nikuvumilia Makubwa kama hayo na kusimamia na familia na Mkewake.Faida hatopata sasa ni baadae Sana.Kujiskia hali mbaya ni Ya mpito tuu na ndo tabia ya Ubongo.Njia bora au nzuri ya kumshauri MTU Kama huyo mwambie afanye philosophy (Falsafa)
Mfano
Endapo nikiendelea na huyu mwanamke , ataathiri Afya yangu ya akili na akili yangu ikiathirika nitapoteza ufanisi kazini na ufanisi kazini ukipotea naweza kuatarisha usalama wa kazi yangu, mahausiano and everything.
Endapo nikimsamehe -watoto wataendelea kupata malezi ya baba na mama , familia itaimarika na Mimi sitokuwa na hatia yoyote guilty.
Na endapo nisipo msamehe -itabidi tuachane , watoto hawatolelewa baba na mama n.k
So hapo mwambie aaangalie faida za yeye kusamehe na mwambie aangalie na faida za yeye kuachana then aangalie na hasara pia na huku aangalie na future ya watoto wake.
Ni vizuri ukamchambulia mambo Kama hayo ili yeye mwenyewe afanye maamuzi na sio we we kumfanyia maamuzi.
Yaani unamuondolea mabano katika mambo yanayomsibu then yeye anafanya maamuzi .
"Watu hubadilika na watu hawatabiriki do what can make you happy "
Shukrani mkuu nitaongea nae.Njia bora au nzuri ya kumshauri MTU Kama huyo mwambie afanye philosophy (Falsafa)
Mfano
Endapo nikiendelea na huyu mwanamke , ataathiri Afya yangu ya akili na akili yangu ikiathirika nitapoteza ufanisi kazini na ufanisi kazini ukipotea naweza kuatarisha usalama wa kazi yangu, mahausiano and everything.
Endapo nikimsamehe -watoto wataendelea kupata malezi ya baba na mama , familia itaimarika na Mimi sitokuwa na hatia yoyote guilty.
Na endapo nisipo msamehe -itabidi tuachane , watoto hawatolelewa baba na mama n.k
So hapo mwambie aaangalie faida za yeye kusamehe na mwambie aangalie na faida za yeye kuachana then aangalie na hasara pia na huku aangalie na future ya watoto wake.
Ni vizuri ukamchambulia mambo Kama hayo ili yeye mwenyewe afanye maamuzi na sio we we kumfanyia maamuzi.
Yaani unamuondolea mabano katika mambo yanayomsibu then yeye anafanya maamuzi .
"Watu hubadilika na watu hawatabiriki do what can make you happy "
Upendo upo Kwa Mama yako aliyekuzaa Tu. Huu upendo Kwa wanawake zetu ni upendo wa Mali Tu.Sidhani wanawake wa Sasa wanapenda wanaume ambao Ni apeche aloloWanaume huwa hatujui kuwasanehe wanawake wasaliti ndio maana jamaa anataka tu kuforce hisia ila akili inakataa
Peace of mind ni bora kuliko kuishi na msaliti. Huyo mwanamke hawezi kuwa na upendo naye kama zamani. Shida yote ya nini ampige chini
Mwambie akiamua kumsamehe basi asije tena kulalamika akisalitiwa. Kikawaida mwanamke msaliti huwa haachi tabia yake
Atumie akili na sio hisia kwenye maamuzi magumu kama hayo
Jamaa aendelee kuumia kwahiyoUwanaume ni k
uvum
Uwanaume nikuvumilia Makubwa kama hayo na kusimamia na familia na Mkewake.Faida hatopata sasa ni baadae Sana.Kujiskia hali mbaya ni Ya mpito tuu na ndo tabia ya Ubongo.
Huu ndo Muda wa kumpenda mkeo Kwa dhati na kumsamehe.
Habari wakuu.
Iko hivi Kuna mchizi wangu yeye Ni msafiri wa nje ya Nchi kwajili ya hustle zake.Safari yake yeye Ni Italy Tu alianza kusafiri 2009 huyu jamaa.Miaka ikasogea akapa mchumba 2018 Na wakafunga ndoa.
Mwaka huo WA 2018 aliondoka akamuacha mke wake Na ujauzito akarudi 2020 kutoka Italy kaukuta mke wake Na mtoto wao wa Kwanza WA kiume.Jamaa akafanya mambo yake Na mke wake akasepa 2021 huku akimucha mke wake Na mimba nyingine ya pili kidume kingine kikaja.
Sasa Bana jamaa akamvuta mke wake 2023 huko Italy mji wa Roma wakakaa Kwa muda kama mwezi hivi jamaa ikabidi apekuwe simu ya mke wake asee alikuta mke wake amechati Na mwanaume mwingine Na ikaonekana kabisa Ni meseji Za mapenzi.Basi jamaa ikabidi amuulize mke wake Na akakili ni Kweli alikuwa anachati nae Kwa Tamaa ya pesa Tu lakini hajawahi kulala nae.
Hivi wamerudi juzi kusuruhisha hayo matatizo na wamekaa familia Za Pande mbili Za Mume Na mke wayamalize na Kweli wameyamaliza wamesamehana.
Lakini mchizi ameniambia "Ndugu yangu Saad Mimi naumia kila nikikumbuka zile meseji alafu kumuacha huyu mwanamke naona uzito sababu watoto wangu bado ni wadogo na huyu mwanamke nilikuwa namwamini Sana Wala sikuwahi kufikiria kama atakuja kunisaliti yaani kaniharibia Maisha yangu yote kaka"
Mimi nimemwambia atulize Wenge Kwanza asichukuwe maamuzi ya haraka kumuacha mke wake sababu inaonekana jamaa bado anapenda mke wake Sana.
Leteni ushauri ili nizidi kumshauri huyu jamaa naona anaweza akadata mana wanaume tunasumbuliwa na Afya ya akili Sana hasa tukisalitiwa na wanawake tulio wapenda.
Xi Jinping Natafuta Ajira Half american min -me KENZY DR HAYA LAND
Mnachopaswa kujua na sisi ni binadamu vishawishi vipo, mbona nyie mnachepuka sana tu huku mkisingizia nature,hamuwezi kudumu na mtu 1, na sisi ni watu tuna mioyo kuteleza kupo. Siyo vizuri ndiyo ila kusamehemana kupoNakataa!, nyinyi wadada mnataka kutupanda kichwani!