Kash Patel Mkurugenzi Mpya wa FBI aliyeteuliwa na Rais Trump, mama yake ni Mtanzania!

Kash Patel Mkurugenzi Mpya wa FBI aliyeteuliwa na Rais Trump, mama yake ni Mtanzania!

Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda

Tembeeni vifua mbere 😄
Kama Mama Mtanzania tuwena uhakika kuwa pindi tukihitaji msaada wa kupambana na watekaji,wauaji,mafisadi,wachakachua chaguzi msaada chap kwa haraka ama Itabidi bado kibali cha Mzee Trump?
 
Trust me.
Tunajigonga sana kwa wasiotuhusu.

Katiba na taasisi imara za ndani ya nchi ndivyo vitu vya kushobokea.

Haya mengine ni kujiingiza kwenye mamikopo ya ajabu ajabu na mikataba ya hovyo
Sorry, niliandika “ana” badala “hana”. Nilikuwa ninamaanisha HANA tija kwetu.
 
Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda

Tembeeni vifua mbere 😄
Wewe nawe na Bandiko lako halina hata nyama na evidence likoliko tu wazi kama Kopo tupu lete evidence huku ni kwa Ma Great thinker siyo kwenye ma group sogozi ama ya misulupwete ya CCM tuwekee CV yake hapo tupite nayo
 
Trust me.
Tunajigonga sana kwa wasiotuhusu.

Katiba na taasisi imara za ndani ya nchi ndivyo vitu vya kushobokea.

Haya mengine ni kujiingiza kwenye mamikopo ya ajabu ajabu na mikataba ya hovyo
Uzuri mzee hataki ujingq uchungu wa kuibiwa chaguzi anaujua na bahati nzuri karudi kwa kishindo
 
Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda

Tembeeni vifua mbere 😄
Halafu hii inasaidia nini ?
 
Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda

Tembeeni vifua mbere 😄
Ok!
Tutakuwa NCHI TAJIRI KAMA KENYA BAADA YA OBAMA KUCHUKUWA URAISI!
 
Maisha tegemezi ni ujinga tu. Obama aliinufaisha vipi Kenya?
 
Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda

Tembeeni vifua mbere 😄
Mambo ya kujivunia mafanikio ya watu wengine yamepitwa na wakati,
 
Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda

Tembeeni vifua mbere 😄

Yale yale ya Obama na tukaishia kubakia na ujiko tu wa bibi ya Obama kuwahi kuishi sijui Tarime...
 
Back
Top Bottom