Kash Patel, Mkurugenzi wa FBI ameanza kwa kuilisha matango pori seneti ya US kuhusu mauaji ya dikteta Idi Amin!

Kash Patel, Mkurugenzi wa FBI ameanza kwa kuilisha matango pori seneti ya US kuhusu mauaji ya dikteta Idi Amin!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Akiwa katika mahojiano yake ya kuthibitishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa FBI, Kash Patel alipoanza kwa kuelezea historia ya familia yake alisema baba yake alikimbia Uganda ya Idi Amin, dikteta muuaji wa kimbari ambapo Wahindi laki tatu(300,000) waliuwawa kwasababu ya kuwa Wahindi kama yeye tu.

Huu ni uongo mkubwa sana, pamoja na ukweli kwamba dikteta mwendawazimu Idi Amin aliua watu wengi sana katika utawala wake lakini isingeweza kuua Wahindi laki tatu kwa sababu wakati alipopindua nchi kushika madaraka Wahindi wote nchini Uganda walikuwa hawazidi laki moja.

Kash Patel MAGA maarufu wa conspiracies za kila aina amewaingiza chaka na kuwalisha matango pori seneti ya Marekani ambayo ni chombo chenye nguvu na ushawashi mkubwa sana duniani!
 
Waziri wa ulinzi wa US huyu wa Trump aliulizwa kuhusu ataje washirika wa US Asean mamawe alichosema ni vichekeshohttps://youtu.be/4CDXjNU3cpw?si=xn-4oa_ofxraG35U
Uongozi wa Trump umejaa vilaza sana
 
Akiwa katika mahojiano yake ya kuthibitishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa FBI, Kash Patel alipoanza kwa kuelezea historia ya familia yake alisema baba yake alikimbia Uganda ya Idi Amin, dikteta muuaji wa kimbari ambapo Wahindi laki tatu(300,000) waliuwawa kwasababu ya kuwa Wahindi kama yeye tu.

Huu ni uongo mkubwa sana, pamoja na ukweli kwamba dikteta mwendawazimu Idi Amin aliua watu wengi sana katika utawala wake lakini isingeweza kuua Wahindi laki tatu kwa sababu wakati alipopindua nchi kushika madaraka Wahindi wote nchini Uganda walikuwa hawazidi laki moja.

Kash Patel MAGA maarufu wa conspiracies za kila aina amewaingiza chaka na kuwalisha matango pori seneti ya Marekani ambayo ni chombo chenye nguvu na ushawashi mkubwa sana duniani!
Mbona pia kuna wanaodai idadi ya wayahudi ambao wanadaiwa kuawa na nazis ni kubwa kuliko ilivyokuwa population yao wakati huo.
 
Chaguo ni lako mwana JF. Umuamini Mkurugenzi wa FBI ambaye amefanyiwa Vetting ya uhakiki wa taarifa zake na Usalama Wa Taifa wa Marekani au Umuamini mwanaJF mwenzako Yoda.
Hata hao wanakosea, waliwahi kusema Iraq kuna silaha za maangamizi wakati hazikuwepo, walikuwa wanafanya fishing expedition tu.
 
Mbona pia kuna wanaodai idadi ya wayahudi ambao wanadaiwa kuawa na nazis ni kubwa kuliko ilivyokuwa population yao wakati huo.
Wanadai walikuwepo Wayahudi wangapi Ulaya wakati utawala wa NAZI unashika madaraka Ujerumani?
 
Asilimia kubwa sana ya wamarekani hawajui mambo mengi yanayofanyika nje ya nchi yao, walidharau toka zamani kujifunza mambo ya mataifa mengine.

Leo hii ukiwauliza wamarekani wengi kwamba Tanzania ni nini watakwambia hawamfahamu huyo mtu (We don't know the guy)....!!!!!.🤣🤣🤣
 
Akiwa katika mahojiano yake ya kuthibitishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa FBI, Kash Patel alipoanza kwa kuelezea historia ya familia yake alisema baba yake alikimbia Uganda ya Idi Amin, dikteta muuaji wa kimbari ambapo Wahindi laki tatu(300,000) waliuwawa kwasababu ya kuwa Wahindi kama yeye tu.

Huu ni uongo mkubwa sana, pamoja na ukweli kwamba dikteta mwendawazimu Idi Amin aliua watu wengi sana katika utawala wake lakini isingeweza kuua Wahindi laki tatu kwa sababu wakati alipopindua nchi kushika madaraka Wahindi wote nchini Uganda walikuwa hawazidi laki moja.

Kash Patel MAGA maarufu wa conspiracies za kila aina amewaingiza chaka na kuwalisha matango pori seneti ya Marekani ambayo ni chombo chenye nguvu na ushawashi mkubwa sana duniani!
Mmoja wa Wahindi ambaye ndugu yake aliuawawa anasema anachokijua ila wewe ambae siyo muhindi unakataa kwa kusema hudhani, lete sensa ya wahindi ya mwaka unaosema wahindi walikuwa chini ya 100,000.
 
Akiwa katika mahojiano yake ya kuthibitishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa FBI, Kash Patel alipoanza kwa kuelezea historia ya familia yake alisema baba yake alikimbia Uganda ya Idi Amin, dikteta muuaji wa kimbari ambapo Wahindi laki tatu(300,000) waliuwawa kwasababu ya kuwa Wahindi kama yeye tu.

Huu ni uongo mkubwa sana, pamoja na ukweli kwamba dikteta mwendawazimu Idi Amin aliua watu wengi sana katika utawala wake lakini isingeweza kuua Wahindi laki tatu kwa sababu wakati alipopindua nchi kushika madaraka Wahindi wote nchini Uganda walikuwa hawazidi laki moja.

Kash Patel MAGA maarufu wa conspiracies za kila aina amewaingiza chaka na kuwalisha matango pori seneti ya Marekani ambayo ni chombo chenye nguvu na ushawashi mkubwa sana duniani!
Huyu muhindi muongo mno
 
Asilimia kubwa sana ya wamarekani hawajui mambo mengi yanayofanyika nje ya nchi yao, walidharau toka zamani kujifunza mambo ya mataifa mengine.

Leo hii ukiwauliza wamarekani wengi kwamba Tanzania ni nini watakwambia hawamfahamu huyo mtu (We don't know the guy)....!!!!!.🤣🤣🤣
Teh teh teh 😃 😃 ndio maana hata kwenye sera zao za nje huishia kupata fedheha tu mfano huko Afghanistan, Vietnam,Iraq n.k wakidhani wanaweza kuwafanya walimwengu wanavyotaka wao
 
Back
Top Bottom