Kash Patel, Mkurugenzi wa FBI ameanza kwa kuilisha matango pori seneti ya US kuhusu mauaji ya dikteta Idi Amin!

Kash Patel, Mkurugenzi wa FBI ameanza kwa kuilisha matango pori seneti ya US kuhusu mauaji ya dikteta Idi Amin!

Chaguo ni lako mwana JF. Umuamini Mkurugenzi wa FBI ambaye amefanyiwa Vetting ya uhakiki wa taarifa zake na Usalama Wa Taifa wa Marekani au Umuamini mwanaJF mwenzako Yoda.
Muone huyu na utumwa was vetting ya marekani kwa ajili ya marekani
 
Akiwa katika mahojiano yake ya kuthibitishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa FBI, Kash Patel alipoanza kwa kuelezea historia ya familia yake alisema baba yake alikimbia Uganda ya Idi Amin, dikteta muuaji wa kimbari ambapo Wahindi laki tatu(300,000) waliuwawa kwasababu ya kuwa Wahindi kama yeye tu.

Huu ni uongo mkubwa sana, pamoja na ukweli kwamba dikteta mwendawazimu Idi Amin aliua watu wengi sana katika utawala wake lakini isingeweza kuua Wahindi laki tatu kwa sababu wakati alipopindua nchi kushika madaraka Wahindi wote nchini Uganda walikuwa hawazidi laki moja.

Kash Patel MAGA maarufu wa conspiracies za kila aina amewaingiza chaka na kuwalisha matango pori seneti ya Marekani ambayo ni chombo chenye nguvu na ushawashi mkubwa sana duniani!
Ukitenda uovu, record inabaki, bahati mbaya inaweza kuongezwa au kupunguzwa chunvi. Ila ukweli alitekeleza mauaji. Idd Amin Dada fashist nduli hayo ni mavuno ya ukatili na uovu wake.
 
Chaguo ni lako mwana JF. Umuamini Mkurugenzi wa FBI ambaye amefanyiwa Vetting ya uhakiki wa taarifa zake na Usalama Wa Taifa wa Marekani au Umuamini mwanaJF mwenzako Yoda.
Mimi naenda na Yoda Mchambuzi nguli Kutoka Mbagala Kimbangulilo.
 
Akiwa katika mahojiano yake ya kuthibitishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa FBI, Kash Patel alipoanza kwa kuelezea historia ya familia yake alisema baba yake alikimbia Uganda ya Idi Amin, dikteta muuaji wa kimbari ambapo Wahindi laki tatu(300,000) waliuwawa kwasababu ya kuwa Wahindi kama yeye tu.

Huu ni uongo mkubwa sana, pamoja na ukweli kwamba dikteta mwendawazimu Idi Amin aliua watu wengi sana katika utawala wake lakini isingeweza kuua Wahindi laki tatu kwa sababu wakati alipopindua nchi kushika madaraka Wahindi wote nchini Uganda walikuwa hawazidi laki moja.

Kash Patel MAGA maarufu wa conspiracies za kila aina amewaingiza chaka na kuwalisha matango pori seneti ya Marekani ambayo ni chombo chenye nguvu na ushawashi mkubwa sana duniani!
Hata kama, inafika wakati vichaa kama hao kuja ili kubadili muelekeo wa nchi. Socialism/ leftist imekuwa ikidanganya wananchi wa western huku wachache wakijinufaisha kupitia unafiki huo kwamba ni vyama vya wananchi. Shake the status quo with their islamists
 
Back
Top Bottom