Ubovu Mungu hafuati wishes zetu binadamu, ni binadamu tunaotakiwa kufuata wishes za Mungu.
Huyo Mungu wako wewe.. Mungu wangu mimi hana ubovu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubovu Mungu hafuati wishes zetu binadamu, ni binadamu tunaotakiwa kufuata wishes za Mungu.
Ndiyo yule waliompelekea maombi na mwanakjj? ili JK apate mabalaa. walisema ugonjwa wa homa ya ndege usiondoke ili wananchi waone CCM si lolote na iwe bakora kwa JK. migomo izidi. kweli ilikuwa misa ya kijinga sana. hakukuwa na comments.Huyo Mungu wako wewe.. Mungu wangu mimi hana ubovu..
Mnakumbuka mambo ya Anna Nicole Smith? Amina is a tragedy waiting to happen... mark my words.
Mswahili,
Mwanzoni nilikuwa nashangaa na pengine kutokuelewa maudhui ya michango yako ktk JF. Lakini sasa ndio nimekuelewa ni mtu wa aina gani kutokana na kile unachokiandika.
Unahalalisha kabisa tuhuma za upande mmoja na kuchanganya mambo yasiyohusiana nayo kwa maslahi yako binafsi.
Acha hizo.
kama wanaweza kufanya hivi kwa MP mjue yanayewe kumkuta yeyote. Mkakati wao uko hivi:
a. Hali ya Amina itaendelea kuwa mbaya na hivyo kumfanya ashindwe kutimiza mambo fulani ya kibunge. Hata hivyo mtakuwa mnasikia after the fact, Amina amefanya hivi au amefanya vile.
b. Habari za uhakika zinazopenyezwa kwa wenu mtiifu ni kuwa Amina bado hajabadili msimamo wake wa kutaka kuzungumza kwani anadai kitendo alichofanyiwa "kinamuuma" na ameapa kuwa "atakula nao sahani moja" wale wote waliohusika na kuvunja nyumba yake. Habari hizo za uhakika zinasema Mhe. Amina alikuwa anapanga kutumia Bunge la bajeti kama jukwaa la "kumpaka" kiongozi mmoja wa ngazi za juu.
c. Licha ya ushawishi wa wazazi na baadhi ya "wazee" wa chama waliokwenda kukutana na mheshimiwa huyo, licha ya kuahidi kuwa hatamwaga mtama hadharani, wazee waliondoka wakiwa na hisia kuwa AC alikuwa anawaambia tu.. lakini ameshaamua cha kufanya.
d. Hapa ndipo penye tatizo kwani hawawezi kumwacha awe peke yake au akutanane na waandishi wa habari hata wa jambo lolote lile. Mmoja wa wakubwa hao amesikika akisema AC ni "loose canon".
Njia moja kubwa wanayotaka kutumia ni kumpa kawadhifa kaina fulani ka kumtuliza, kuhakikisha anarudiana na Medi, na mhusika wa njama za kuvunja ndoa kupewa karipio kale la kuacha kuleta mambo ya ndoa za watu serikalini. Mhusika huyo EN hii sasa anatembea kwa kuinamisha kichwa na baadhi ya wabunge wenzake wanamkwepa. Hata alipoingia Bungeni "hakushangiliwa" kwa kitendo chake hicho..
la mwisho ni uwezekano wa Mhe. Amina kujiuzulu au kudaiwa kula njama na wapinzani na hivyo chama kitamtosa!. Ukweli ni kuwa AC amekuwa kwa CCM an Enigma!
Mhusika huyo EN hii sasa anatembea kwa kuinamisha kichwa na baadhi ya wabunge wenzake wanamkwepa
Mkuu Mwanakijiji,
Mimi nimeshindwa kuelewa kwenye hii thread unataka kuongelea nini? Mbona kama haya ni mambo binafsi ya Amina na familia yake?
Kuumwa pia ni mambo binafsi. Sioni tofauti ya hii thread na ile ya kule kwa Zitto.
Labda nifafanulie kwanini unaona hapa kuongelea mambo ya Amina ni ruksa lakini kule kuongelea ya Zitto ni mambo binafsi?
Shusha data "Shigongo"! Shusha! Ila sasa rekebisha ka-discrepancy kadogo hapo: umekuwa ukisema Amina amekuwa "mental" na hali yake ni mbaya sana, halafu sasa unasema she held negotiations na CCM bigwigs over her terms of "release"!
Huyo Mungu wako wewe.. Mungu wangu mimi hana ubovu..