Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

Tanzania hatujafikia huko ila tumuombe mungu tusifike ya kina kashogi video ya kashogi wakati anakatwa kichwa wakinamama wasiiangalie watablid bila kutarajia
Nipe tofauti na mtu kumiminiwa risasi 38. Unajuwa ni maumivu (agony) kiasi gani aliyapata?
 
Ni kweli hata Mimi nimeiangalia kwa makini nimeona vidole alivyofungwa mikono nyuma nikama vinatoa tafsiri kwamba ubongo unatambua kinachoendelea
 
Natamani niione hiyo video
 
Huyu kashogi hakusoma alama za nyakati walahi, Au ndio kifo kilikuwa kinamwita na huku mapenzi yamepamba moto na bibie, pesa alikuwa nayo nyingi sana na mtoto wa mfalme ni mwendawazimu, ya nini kushindana naye walahi
Duh NACHAGUA KUISHI WALAHI

Baba yako aliowapoteza huzani kwamba sio sawa?

Unashinda kutwa kucha kushangilia maovu ya akina mwana mfalme wa tz Dab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…