Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe tofauti na mtu kumiminiwa risasi 38. Unajuwa ni maumivu (agony) kiasi gani aliyapata?Tanzania hatujafikia huko ila tumuombe mungu tusifike ya kina kashogi video ya kashogi wakati anakatwa kichwa wakinamama wasiiangalie watablid bila kutarajia
Hiyo video hata ukienda google haipo hadi uwe mzee wa dark web ndiyo unaweza kuipata kirahisi!Mngeweka hio video hapa inge make sense
Sina roho ndogo haya iko wapi?Usiombe kuiona kama una roho ndogo
Kuanzia leo nakuogopa sitakutania tena!![emoji2089][emoji2089][emoji2089]Sina roho ndogo haya iko wapi?
Ni kweli hata Mimi nimeiangalia kwa makini nimeona vidole alivyofungwa mikono nyuma nikama vinatoa tafsiri kwamba ubongo unatambua kinachoendeleaVideo ile haifai kuwekwa hapa. Imeniharibia siku yangu kabisa. Ila ukweli ni kuwa kashogi alishazimia kabla ya kukatwa ile shingo kwa shoka. Sababu ukiangalia wakati anakatwa utaona vidole vya mikono vinahisi kitu kisichokwaida. Vinafinya[emoji24][emoji24]
Tena zetu ndio mbaya zaidi maana mpaka watoto wanaangalia mtu anachomwa moto na tairiTanzania hatujafikia huko ila tumuombe mungu tusifike ya kina kashogi video ya kashogi wakati anakatwa kichwa wakinamama wasiiangalie watablid bila kutarajia
Yaaan...Wewe si uweke mzee baba ,mbona unaingilia majukumu ya mods ? Wakitoa hiyo haizuii haki yako ya kuiweka
Ha ha ha...hana huyowe nawe visingizio vingi mara mods wataondoa, mara unatumia freebasic.. poa basi
Iweke hapa mchuchuIle video inatisha jamani,
Unayo mkuu?Walimchoma sindano ya sumu kwanza
Ebu fikiria chinja chinja ya Rwanda ya watu milion na usheee, ila waafrika tumekomaa ya kashoghi kisa mwupe.Kabisa, alafu kuna mshkaji hapo juu anasema waarabu ni makatili wakati sisi ndio mara elufu kumi ya waarabu. Hii ngozi yetu bwana aliyetuloga alikuwa shujaa sana
Mi konk konk oil chafuuuuKuanzia leo nakuogopa sitakutania tena!![emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Haaah hilo jina....Iweke hapa mchuchu
Huyu kashogi hakusoma alama za nyakati walahi, Au ndio kifo kilikuwa kinamwita na huku mapenzi yamepamba moto na bibie, pesa alikuwa nayo nyingi sana na mtoto wa mfalme ni mwendawazimu, ya nini kushindana naye walahi
Duh NACHAGUA KUISHI WALAHI
Nipe namba pm,nikutumieIweke hapa mchuchu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ..aseeHaaah hilo jina....
Watanipiga life ban
Halafu nianze na id mpya