Acha makasiliko jamaa kaongea fat sana Rais Samia Suluhu amegusa kila sekta inayomlenga mwananchi direct amepunguza gharama za kilimo, ameboresha sekta ya elimu, miundombinu, maji mpaka vijijini pia anatoa mikopo ya mashart nafuu kwa vijana tutake nini tena watanzania Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi