Kasi ya Rais Samia yawapoteza CHADEMA katika ramani ya siasa, hakina tena ushawishi kwa Watanzania

Kasi ya Rais Samia yawapoteza CHADEMA katika ramani ya siasa, hakina tena ushawishi kwa Watanzania

Ndugu zangu Hivyo Ndivyo Hali Ilivyo kwa Sasa, Kasi ya Rais Samia kuwatumikia watanzania wa makundi yote,vyama vyote, Rika zote, jinsia zote, Kanda zote, Dini zote,makabila yote,maeneo yote na watu wa Hali zote bila ubaguzi wa aina yoyote kumeipoteza Chadema Katika Ramani ya siasa hapa nchini na kubakia chama Cha kurukia vimatukio vya kupita kama upepo.
Wapewe kwanza ulingo sawa wa kufanya siasa majukwaani ndio sisi wananchi tuwalinganishe!!
 
Ndugu zangu Hivyo Ndivyo Hali Ilivyo kwa Sasa, Kasi ya Rais Samia kuwatumikia watanzania wa makundi yote,vyama vyote, Rika zote, jinsia zote, Kanda zote, Dini zote,makabila yote,maeneo yote na watu wa Hali zote bila ubaguzi wa aina yoyote kumeipoteza Chadema Katika Ramani ya siasa hapa nchini na kubakia chama Cha kurukia vimatukio vya kupita kama upepo.

Hii inatokana na kazi kubwa ya Rais Samia aliyoifanya ndani ya muda mfupi katika kuwatumikia watanzania, kila kundi na kila mtu kwa Sasa anamuona mama Samia kuwa Ni Rais wake, Ndio sababu ukienda secta binafsi utakuta anapongezwa kwa kuweka mazingira mazuri ya kiuwekezaji, ukienda kwa wafanyabiashara utakuta wanampongeza kwa kufanya mazingira ya biashara kuwa rafiki kwao.

Ukienda kwa wakulima utakuta anapongezwa kwa namna alivyo wasaidia wakulima kupungua kwa Bei ya mbolea na kupongezwa kwa bajeti ya Wizara ya kilimo kuongezeka, ukienda kwa wanafunzi wa vyuo vikuu utakuta wanampongeza kwa namna alivyowasaidia kupata Elimu baada ya kuwa wamepewa mkopo wa elimu ya juu, ukienda kwa wafugaji, wavuvi, wajasiriamali, bodaboda, machinga, watumishi wa umma, vijana, wazee,wakina mama wote utakuta wanampongeza Rais Samia kwa kuwasaidia katika shughuri zao na kuwawekea mazingira wezeshi.

Makundi haya ambayo yanamuunga mkono mama Samia Ndio yalikuwa Tegemeo la Chadema kuendeshea propaganda zake na kupandikiza chuki kwao ili waichukie CCM na serikali yake, Ndio maana ulikuwa ukiona makundi haya muda mwingi yanatupa lawama kwa serikali kuwa inayadidimiza kiuchumi, wafanyabiashara wakawa wanalia Sana kuwa wanakomolewa Sana katika suala Zima la ukadiliwaji wa kodi, hivyo wakawa wanawaunga mkono upinzani na hata kuwachangia fedha.

Lakini kwa Sasa baada ya Rais Samia kukaa na viongozi wa makundi Tofauti Tofauti ikiwemo viongozi wa machinga, kukaa na wachungaji, maaskofu, mashehe, vijana na wengine wengi na kuweza kuwasikiliza na kutatua kero zao na kutoa matumaini, Sasa makundi haya yamejenga Imani kubwa Sana kwa Rais mama Samia, yanamuunga mkono Rais kwa Sasa, yanamsikiliza na kumheshimu mh Rais kwa Sasa na yanajivunia Sana mama Samia kuwa Rais wao.

Hapa ndipo upweke wa chadema ulipoingilia maana kwa Sasa chadema imepuuzwa, haisikilizwi na mtu, haiungwi mkono na mtu, haifuatiliwi na watu Kama zamani, haina ushawishi kwa kundi lolote huku mitaani, Haina ngome ya kundi lolote au mkoa wowote, Haina mizizi yoyote kwa Sasa,imebaki Kama Tawi tu linaloelea na linalosubili kuangushwa na upepo mdogo tu, Chadema imekata Tamaa Sana, imejichokea,imepoteza mvuto kwa watanzania wa Rika zote.

Chadema kwa Sasa haina Sera Wala ajenda za kueleweka na wananchi, lakini kibaya zaidi Ni kuwa imekosa Dira na muelekeo hivyo kubaki inaenda tu Kama gari iliyokosa Taa usiku, Hii ni kutokana na kuwa mama Samia kabeba Sera na ajenda zote muhimu zenye kugusa maisha ya watanzania wa makundi yote na Rika zote na hivyo kuungwa mkono na makundi hayo yote.

Poleni Sana chadema, Ukurasa wenu ulishafungwa na watanzania, mizizi yenu ilishatupwa baharini,Huwezi kusimama Tena, wakati wenu ulishapita, Hamna namna zaidi ya kumuunga mkono Rais Samia kwa Sasa, msione aibu maana Wote Tupo na Samia, wote waliopoteza matumaini Sasa Wana matumaini na Imani na Rais Samia kuwavusha darajani, msishupaze shingo zenu maana mtaishia kuumia tu, watanzania hawana habari nanyi Tena ndio maana hawawasikilizi kwa lolote zaidi ya kuwapuuza tu na kuwaona wababaishaji, Huku Rais Samia akizidi kuchanja mbuga katika MIOYO ya mamillioni ya Watanzania.

Kazi iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Unaaandika ukiwa jirani na LUSIFA huko JEHANAM?
 
Ndugu zangu Hivyo Ndivyo Hali Ilivyo kwa Sasa, Kasi ya Rais Samia kuwatumikia watanzania wa makundi yote,vyama vyote, Rika zote, jinsia zote, Kanda zote, Dini zote,makabila yote,maeneo yote na watu wa Hali zote bila ubaguzi wa aina yoyote kumeipoteza Chadema Katika Ramani ya siasa hapa nchini na kubakia chama Cha kurukia vimatukio vya kupita kama upepo.

Hii inatokana na kazi kubwa ya Rais Samia aliyoifanya ndani ya muda mfupi katika kuwatumikia watanzania, kila kundi na kila mtu kwa Sasa anamuona mama Samia kuwa Ni Rais wake, Ndio sababu ukienda secta binafsi utakuta anapongezwa kwa kuweka mazingira mazuri ya kiuwekezaji, ukienda kwa wafanyabiashara utakuta wanampongeza kwa kufanya mazingira ya biashara kuwa rafiki kwao.

Ukienda kwa wakulima utakuta anapongezwa kwa namna alivyo wasaidia wakulima kupungua kwa Bei ya mbolea na kupongezwa kwa bajeti ya Wizara ya kilimo kuongezeka, ukienda kwa wanafunzi wa vyuo vikuu utakuta wanampongeza kwa namna alivyowasaidia kupata Elimu baada ya kuwa wamepewa mkopo wa elimu ya juu, ukienda kwa wafugaji, wavuvi, wajasiriamali, bodaboda, machinga, watumishi wa umma, vijana, wazee,wakina mama wote utakuta wanampongeza Rais Samia kwa kuwasaidia katika shughuri zao na kuwawekea mazingira wezeshi.

Makundi haya ambayo yanamuunga mkono mama Samia Ndio yalikuwa Tegemeo la Chadema kuendeshea propaganda zake na kupandikiza chuki kwao ili waichukie CCM na serikali yake, Ndio maana ulikuwa ukiona makundi haya muda mwingi yanatupa lawama kwa serikali kuwa inayadidimiza kiuchumi, wafanyabiashara wakawa wanalia Sana kuwa wanakomolewa Sana katika suala Zima la ukadiliwaji wa kodi, hivyo wakawa wanawaunga mkono upinzani na hata kuwachangia fedha.

Lakini kwa Sasa baada ya Rais Samia kukaa na viongozi wa makundi Tofauti Tofauti ikiwemo viongozi wa machinga, kukaa na wachungaji, maaskofu, mashehe, vijana na wengine wengi na kuweza kuwasikiliza na kutatua kero zao na kutoa matumaini, Sasa makundi haya yamejenga Imani kubwa Sana kwa Rais mama Samia, yanamuunga mkono Rais kwa Sasa, yanamsikiliza na kumheshimu mh Rais kwa Sasa na yanajivunia Sana mama Samia kuwa Rais wao.

Hapa ndipo upweke wa chadema ulipoingilia maana kwa Sasa chadema imepuuzwa, haisikilizwi na mtu, haiungwi mkono na mtu, haifuatiliwi na watu Kama zamani, haina ushawishi kwa kundi lolote huku mitaani, Haina ngome ya kundi lolote au mkoa wowote, Haina mizizi yoyote kwa Sasa,imebaki Kama Tawi tu linaloelea na linalosubili kuangushwa na upepo mdogo tu, Chadema imekata Tamaa Sana, imejichokea,imepoteza mvuto kwa watanzania wa Rika zote.

Chadema kwa Sasa haina Sera Wala ajenda za kueleweka na wananchi, lakini kibaya zaidi Ni kuwa imekosa Dira na muelekeo hivyo kubaki inaenda tu Kama gari iliyokosa Taa usiku, Hii ni kutokana na kuwa mama Samia kabeba Sera na ajenda zote muhimu zenye kugusa maisha ya watanzania wa makundi yote na Rika zote na hivyo kuungwa mkono na makundi hayo yote.

Poleni Sana chadema, Ukurasa wenu ulishafungwa na watanzania, mizizi yenu ilishatupwa baharini,Huwezi kusimama Tena, wakati wenu ulishapita, Hamna namna zaidi ya kumuunga mkono Rais Samia kwa Sasa, msione aibu maana Wote Tupo na Samia, wote waliopoteza matumaini Sasa Wana matumaini na Imani na Rais Samia kuwavusha darajani, msishupaze shingo zenu maana mtaishia kuumia tu, watanzania hawana habari nanyi Tena ndio maana hawawasikilizi kwa lolote zaidi ya kuwapuuza tu na kuwaona wababaishaji, Huku Rais Samia akizidi kuchanja mbuga katika MIOYO ya mamillioni ya Watanzania.

Kazi iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
No facts. Just porojo
 
Tindo rafiki yangu lazima ukubali ukweli kuwa CCM kwa Sasa ndio chama pekee katika Bara Hili la Afrika kilichofanikiwa kupata uungwaji mkono kutoka makundi yote kutokana na Sera zake na ajenda zake zinazogusa maisha ya makundi yote, lakini pia Ni chama kinachobadilika kulingana na wakati, Sasa chama Kama Chadema kitabadilikaje kifikira wakati Mwenyekiti Ni yule Yule miaka na miaka? Mwenye mitizamo na fikra zile zile uchaguzi Hadi uchaguzi?

Nini kweli CCM inabadilika kuendana na wakati, ndio maana tunashuhudia ikitegemea vyombo vya dola kuendelea kukaa madarakani. Tofautisha kukubalika na kushurutisha kukubalika. Kwahiyo mabadiliko ni kuwa na sura mpya ya mwenyekiti? Au hujui mabadiliko ni nini boss? Kinachojivunia ccm ni kuwa na wananchi waoga ambao CCM inaweza kukaa madarakani bila ridhaa yao na wakatulia kwa hofu.
 
No facts. Just porojo
Facts Ni nyingi tu ,jaribu kuangalia namna habari za chadema zinavyonyimwa kipaombele kwa vituo vya TVs na hata mitandao ya kijamii Kama ilivyokuwa awali, hata wakiita waandishi wa Habari muitikio kwa Sasa Ni mdogo Sana, maazimio ya vikao vyake hasa ya kamati kuu yamekuwa yakipuuzwa na watanzania,
 
Nini kweli CCM inabadilika kuendana na wakati, ndio maana tunashuhudia ikitegemea vyombo vya dola kuendelea kukaa madarakani. Tofautisha kukubalika na kushurutisha kukubalika. Kwahiyo mabadiliko ni kuwa na sura mpya ya mwenyekiti? Au hujui mabadiliko ni nini boss? Kinachojivunia ccm ni kuwa na wananchi waoga ambao CCM inaweza kukaa madarakani bila ridhaa yao na wakatulia kwa hofu.
Kusema wananchi Ni waoga Ni kuwatukana watanzania, watanzania wanajitambua na wanatambua Ni chama kipi Cha kukuamini na kukupigania, kwa Sasa watanzania Wana Imani na matumaini makubwa Sana na serikali ya CCM chini ya Rais Samia
 
Tozo Ni kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu, lazima tuijenge nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe na tujivunie maendeleo na mafanikio yanayotokana na jasho letu wenyewe,
Wewe huwa unapewa mrejesho kuwa kiasi fulani cha fedha kimekusanywa kutokana na tozo, na kimetumika vipi!?
 
Wewe huwa unapewa mrejesho kuwa kiasi fulani cha fedha kimekusanywa kutokana na tozo, na kimetumika vipi!?
Siyo Mimi tu Bali watanzania wote tunapewa mrejesho, mfano sote tunafahamu kuwa tozo zimesaidia ujenzi wa vituo vya Afya takribani 234 hapa nchini, hapo bado sijazungumzia upande wa secta ya Elimu ambako huko Rais Samia amefanya maajabu makubwa kuwahi tokea tangia nchi hii ipate Uhuru, ambako Sasa wanafunzi wanasoma na kwenda shule kwa wakati tofauti na zamani ambapo Kuna wanafunzi walikuwa wanakwenda muhula wa pili kutokana na upungufu wa madarasa ulio kuwa unaKuwepo
 
Kusema wananchi Ni waoga Ni kuwatukana watanzania, watanzania wanajitambua na wanatambua Ni chama kipi Cha kukuamini na kukupigania, kwa Sasa watanzania Wana Imani na matumaini makubwa Sana na serikali ya CCM chini ya Rais Samia

Wananchi wanawaamini kisha polisi wanabeba mabox ya kura kujazia kura za CCM, kuwaengua wapinzani mpite bila kupingwa, kwa ule uhayawani tunaouna kwenye chaguzi zetu ili CCM watangazwe washindi kwa shuruti, mjinga wa kiwango cha juu sana ndio unaweza kumwambia huu uhuni.
 
Siyo Mimi tu Bali watanzania wote tunapewa mrejesho, mfano sote tunafahamu kuwa tozo zimesaidia ujenzi wa vituo vya Afya takribani 234 hapa nchini, hapo bado sijazungumzia upande wa secta ya Elimu ambako huko Rais Samia amefanya maajabu makubwa kuwahi tokea tangia nchi hii ipate Uhuru, ambako Sasa wanafunzi wanasoma na kwenda shule kwa wakati tofauti na zamani ambapo Kuna wanafunzi walikuwa wanakwenda muhula wa pili kutokana na upungufu wa madarasa ulio kuwa unaKuwepo
Endelea kuandika tu kama umekaririshwa. Kuna siku utakuja kujielewa!
 
Wananchi wanawaamini kisha polisi wanabeba mabox ya kura kujazia kura za CCM, kuwaengua wapinzani mpite bila kupingwa, kwa ule uhayawani tunaouna kwenye chaguzi zetu ili CCM watangazwe washindi kwa shuruti, mjinga wa kiwango cha juu sana ndio unaweza kumwambia huu uhuni.
Kinachowaangusha Ni kuwa nyinyi huwa Hakuna Sera Wala ajenda za kugusa maisha ya watanzania, huwa hamna hata ilani ya kueleweka, angalia mfano 2015 mliwaambia watanzania wakasome ilani yenu mtandaoni, Sasa sijuwi huko mtandaoni wangekuwa wanapewa na majibu ya maswali yao? Kiufupi ni kuwa upinzani hamueleweki mnasimamia Nini, 2020 ndio hata haikueleweka ilani yenu ipo wapi maana Lisu ndio alikuwa ilani yeye Kama yeye ndio maana akawa anajiongelea chochote atakachojisikia
 
Kila la kheri mkuu!
Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani katika kuijenga nchi yetu,lakini pia tutambue kuwa Rais wetu Ni mwanadamu na siyo malaika hivyo Tumpe moyo na kumpa faraja ya Kuendelea kusonga mbele na tumombee ili mwenyezi Mungu amjalie Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania
 
Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe!
ccm ndio imekataza wengine kufanya mikutano!
ccm ndio wanafanya mikutano wenyewe!
ccm ndio haohao wanasema CHADEMA kimepotea!
Shame! Shame!
 
Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe!
ccm ndio imekataza wengine kufanya mikutano!
ccm ndio wanafanya mikutano wenyewe!
ccm ndio haohao wanasema CHADEMA kimepotea!
Shame! Shame!
CCM haifanyi mikutano Bali inafuatilia na kukagua utekelezaji wa ilani yake maana CCM ndio iliyoomba kura kwa watanzania na ndio itakayoulizwa juu ya ahadi zake, hivyo lazima ifuatilie namna ahadi zake zinavyotekelezwa na namna serikali yake inavyowatumikia watanzania kwa utumishi wa kugusa maisha ya watu kwa kutatua kero na kutoa majibu kwa maswali ya wananchi
 
Au JF tuanzishe chama chetu, tukatoe chachu Kwa serikali.
 
Kinachowaangusha Ni kuwa nyinyi huwa Hakuna Sera Wala ajenda za kugusa maisha ya watanzania, huwa hamna hata ilani ya kueleweka, angalia mfano 2015 mliwaambia watanzania wakasome ilani yenu mtandaoni, Sasa sijuwi huko mtandaoni wangekuwa wanapewa na majibu ya maswali yao? Kiufupi ni kuwa upinzani hamueleweki mnasimamia Nini, 2020 ndio hata haikueleweka ilani yenu ipo wapi maana Lisu ndio alikuwa ilani yeye Kama yeye ndio maana akawa anajiongelea chochote atakachojisikia

Kwahiyo watanzania ni wajinga hivyo hawawezi kuingia mitandaoni kusoma mambo? We unashinda huku mitandaoni, unamuandukia nani kama watanzania wako huko mitaani? Ww lazima utakuwa ni mzee, maana wengi ndio huwa na hizi sababu za kipuuzi.

Hizo ilani mnazowapelekea wananchi huwa wanawawahoji wapi huo ubora wake, wakati hata midahalo huwa mnaikimbia, na kuishia kuwahubiria kama makanisani? Watu wamelipuuza box la kura maana mnatumia mabavu kubadilisha matakwa yao. Mmebaki kuleta propaganda mfu zisizo na kichwa wala miguu.
 
Back
Top Bottom