Kasi ya Rais Samia yawapoteza CHADEMA katika ramani ya siasa, hakina tena ushawishi kwa Watanzania

Kasi ya Rais Samia yawapoteza CHADEMA katika ramani ya siasa, hakina tena ushawishi kwa Watanzania

Ajabu chadema wako kimya wanaendelea na mipango yao bila ruzuku wanajenga maofisi nchi nzima wanasajiri wanachama wakifanya makongamano yao ni kishndo cha kutisha. Halafu machawa ya ccm yako humu kila saa chadema chadema mpk wanawachagulia chadema mgombea urais wanawafundsha namna ya kuongoza chama. Ndo maana jambaz jiwe alikuwa anachukua vjana toka chadema anawapa na uwaziri maana alijua ccm kuna mavilaza sn kama hli fala yaan wewe kila ukiandka ktu n kusfia ccm na samia na kuwaponda chadema. Fala wewe.
Acha uongo wako hapa, kwa ubavu gani walio nao chadema Hadi wajenge ofisi mikoani? Makao makuu yamewashinda kujenga licha ya mamilioni kwa mamilioni waliyokuwa wanapokea Kama ruzuku lakini wakaishia kuzitafuna Kama mchwa, au unasema zile ofisi za nyumba za watu walizokuwa wanapiga Bavicha huku zimeandikwa kwa makapeni?
 
Acha uongo wako hapa, kwa ubavu gani walio nao chadema Hadi wajenge ofisi mikoani? Makao makuu yamewashinda kujenga licha ya mamilioni kwa mamilioni waliyokuwa wanapokea Kama ruzuku lakini wakaishia kuzitafuna Kama mchwa, au unasema zile ofisi za nyumba za watu walizokuwa wanapiga Bavicha huku zimeandikwa kwa makapeni?
Oyaa toa usengee wako hapa kafiran.e huko. CAG MIAKA YOTE ASIONE UBADHIRIFU UJE UONE WEWE MTAFUTA TEUZI KWA MGONGO WA UTUMBO HUU KHS CHADEMA sengee wewe.
 
Unakuwa na watu wa aina hii ambao wanaamini chadema ndo tatizo la watanzania and then unasubiri nchi ikue🤣😂😂
 
Oyaa toa usengee wako hapa kafiran.e huko. CAG MIAKA YOTE ASIONE UBADHIRIFU UJE UONE WEWE MTAFUTA TEUZI KWA MGONGO WA UTUMBO HUU KHS CHADEMA sengee wewe.
Kwani michango mnayokusanyaga mitaani huwa mnapeleka kukaguliwa na CAG? Michango ya akina Sabodo mlipeleka kukaguliwa na CAG? Mkimaliza kuzitafuna kwa starehe zenu mnaanza habari za CAG, Niambie fedha za join The Chain zipo wapi? Zikikusanywa shilingi ngapi? Zimefanya kazi gani? Mchanganuo wake upoje? Zipo kwenye akaunti ya Nani?
 
Endelea kuota, ukiamka 2025 utaona uhalisia wa ndoto yako
 
CHADEMA TUPO SANA NA MTUACHE CHADEMA TUMEIPENDA WENYEWE
 
Bila wapiga kwata Kuna chama kinakufa asubuhi peupee
 
Back
Top Bottom