Kasi ya wanandoa kutoka nje ya ndoa zao inatisha na kutishia uhai wa taasisi ya "NDOA"

Kasi ya wanandoa kutoka nje ya ndoa zao inatisha na kutishia uhai wa taasisi ya "NDOA"

Unataka kusema kwa kadri unavyokuwa ndio hamu ya kuoa na kuishi upweke ndio inaongezeka....??
Mwanaume anayejitambua (ieleweke,mwanaume kuwa na ndevu hakumfanyi aonekane anajitambua that's why mpaka leo kuna wahuni wazee) kuoa huja a’cally hiyo haijalishi umeona upweke au hujaona wala hasubiri aambiwe.

Binafsi nikiwa na umri fulani nilikuwa siwazi kuoa but ilifika wakati nikawaza tu ngoja nioe na nikaoa leo mwaka wa 13 with three kids,humu mna vitoto vidogo vinadhani vinayajua maisha kumbe they know nothing about it.
 
Mwanaume anayejitambua (ieleweke,mwanaume kuwa na ndevu hakumfanyi aonekane anajitambua that's why mpaka leo kuna wahuni wazee) kuoa huja a’cally hiyo haijalishi umeona upweke au hujaona wala hasubiri aambiwe.

Binafsi nikiwa na umri fulani nilikuwa siwazi kuoa but ilifika wakati nikawaza tu ngoja nioe na nikaoa leo mwaka wa 13 with three kids,humu mna vitoto vidogo vinadhani vinayajua maisha kumbe they know nothing about it.
Ni jambo jema ndugu.....Mungu akulindie upendo uliopo kwenye familia yako
 
Watu wanaogopa maisha ya upweke hivyo wanalazimika kuwavumilia wazinzi na mashetani ilmradi waonekane na wao wako ndoani
Nope!!!

Sidhani kama hii ni sahihi,maisha ya upweke vipi kama kupika nitapika mwenyewe kufua nitanunua washing machine nguo zitang’aa?muda nipo idle nitaangalia movie kucheza games etc,ndoa ni zaidi ya kupiga story.
 
Maandishi yako ni ya kitoto sana mimi siwezi kubishana na wewe.

Kwa akili za maandishi haya mtu mzima anaewaza sawasawa kichwani hawezi akakaa akasema ana-battle lolote kuhusu maisha na wewe,unaamkia nyumba wanamoamkia mpaka leo baba na mama yako chumba kimoja then unaandika vitu vya ajabu kabisa,baba yako angemsogeza mama yako akamzalisha wewe leo ungekuwa na maisha uliyo nayo?

Hovyo kabisa!!!
Dingi tulia nikujuze mbaga unazoleta ungekuwa umekuwa sana usingekuwa kwenye JUKWAA LINALOONGELEA NGONO 24/7.

Jifunze jinsi ya kupokea comment za watu bila kutia dharau maana utakutana na watu kama mimi atakuchachafya uone dunia chungu🤗🤗🤗

Sasa wewe kama umeoa ni kimpango wako usitake sisi tusiooa tuwaone nyie ndo mnaakili wakati kuchwa kutwa mnalialia humu hao wanawake zenu wanavyopelekewa moto🔥🔥🔥mbaya mbovu na VIJANA WA HOVYO.

Kama vipi pita kule achana na comment zangu ila kama unakuja na hoja tutajadili hoja kama unakuja na ngebe na kebehi,madharau na kubagaza utapata ×10 maana humu ni HOME OF GREAT THINKERS😁😁😁 na great thinkers huwa wanakupa unachotaka🤝
 
Habari za muda huu waungwana wa hapa jukwaani.

Sijui ni mimi peke yangu tu ama ni macho ya wengi pia yanatazama kama nitazamavo mimi....

Nimekuwa nikishuhudia matukio kadhaa ya kustaajabisha, kushangaa lakini pia yana hudhunisha kuhusu matukio ya wanandoa kutoka nje ya na vile vile namna ambavyo walengwa wanavyochukulia kuwa ni hali ya kawaida kabisa..

Katika mikusanyiko ya watu na vijiwe vya kahawa nasikia baadhi ya watu wakitoa mitazamo yao kuhusu jambo hilo yenye kushangaza kuogofya kwenye masikio ya waungwana..

Jamaa anasema..." siku hizi hakuna mwanamke wa peke yako kaka, kikubwa kuheshimiana tu afanye nisije Tu"

Dada mmoja naye anasema kuwa.."Hakuna mwanaume asiyetoka na mwanamke nje ya mkewe... kikubwa heshima tu akafanyie huko uchafu wake"

Yaani imefikia hatua mpaka wanandoa wanajua kabisa kuwa kwenye muunganiko huu kuna wengine wa ziada na nafsi zao zimeridhika na hilo

Thamani ya muunganiko mtakatifu wa ndoa iko wapi?

Dhumuni hasa la ndoa liko wapi ikiwa mtu anaweza kuyafanya machafu yaliyomsukuma kufunga ndoa ili apate stara?

Ni heshima ipi inayozungumziwa na hawa wanandoa Hali ya kuwa unajua fika kuwa unafanya lile lisilompendeza mwenzi wako?

Muendelezo wa matendo machafu haya yanapelekea vijana kutoona umuhimu wa kuoa ikiwa anawaona wanandoa wanafanya yale wanayoyafanya wao.

Tumefikaje huku..?
Mumeacha Sheria Za Mungu za kuwavurumishia mawe mpaka wakate kamba hao wazinifu walioko kwenye ndoa. Anza kuwadunda mawe uone kama heshima ya ndoa haitaimarika.
 
Dingi tulia nikujuze mbaga unazoleta ungekuwa umekuwa sana usingekuwa kwenye JUKWAA LINALOONGELEA NGONO 24/7.

Jifunze jinsi ya kupokea comment za watu bila kutia dharau maana utakutana na watu kama mimi atakuchachafya uone dunia chungu🤗🤗🤗

Sasa wewe kama umeoa ni kimpango wako usitake sisi tusiooa tuwaone nyie ndo mnaakili wakati kuchwa kutwa mnalialia humu hao wanawake zenu wanaoelekewa moto🔥🔥🔥mbaya mbovu na VIJANA WA HOVYO.

Kama vipi pita kule achana na comment zangu ila kama unakuja na hoja tutajadili hoja kama unakuja na ngebe na kebei utapata ×10 maana humu ni HOME OF GREAT THINKERS😁😁😁 na great thinkers huwa wanakupa unachitaka🤝
🚮🚮🚮
 
Maandishi yako ni ya kitoto sana mimi siwezi kubishana na wewe.

Kwa akili za maandishi haya mtu mzima anaewaza sawasawa kichwani hawezi akakaa akasema ana-battle lolote kuhusu maisha na wewe,unaamkia nyumba wanamoamkia mpaka leo baba na mama yako chumba kimoja then unaandika vitu vya ajabu kabisa,baba yako angemsogeza mama yako akamzalisha wewe leo ungekuwa na maisha uliyo nayo?

Hovyo kabisa!!!
Una miaka mingapi kwenye ndoa mkuu??
 
Mwanaume anayejitambua (ieleweke,mwanaume kuwa na ndevu hakumfanyi aonekane anajitambua that's why mpaka leo kuna wahuni wazee) kuoa huja a’cally hiyo haijalishi umeona upweke au hujaona wala hasubiri aambiwe.

Binafsi nikiwa na umri fulani nilikuwa siwazi kuoa but ilifika wakati nikawaza tu ngoja nioe na nikaoa leo mwaka wa 13 with three kids,humu mna vitoto vidogo vinadhani vinayajua maisha kumbe they know nothing about it.
Mkuu kipimo cha ujuaji wa maisha kinapimwa kwa kuoa?
 
Una miaka mingapi kwenye ndoa mkuu??
13 years,siringi kwamba nimemaliza coz nikiwa bado hai naendelea kujifunza na kusoma namna bora ya kuishi kwenye hii dunia iliyojaa kelele nyingi zisizokuwa na mashiko,maisha ya ndoa hayana tofauti na kutafuta pesa.

Ulipotoka leo nyumbani kutafuta kama mpaka muda huu umepata hiyo ndiyo ulipangiwa kama umekosa ndivyo ilivyopangwa yupo aliyekuwa na kazi leo amekabidhiwa barua kafukuzwa yupo aliyekuwa hana kazi leo kapokea ujumbe jumatatu aripoti kazini same kwenye ndoa wapo wanaooa wanafanikiwa wapo wanaooa wana-fail but ndoa za leo zinaangamia zikiwa changa kwa sababu wanaume hatuoi tena wake wa kuendeleza vizazi vyetu (lengo kuu la ndoa) tunaoa kufurahisha jamii na kutafuta wasaidizi wa kutulisha na kutusomeshea!!!
 
Kuna wazee wa HOVYO HUMU wameoa sijui wameolewa🤗🤗🤗anyway sasa mtu kama kweli UMEOA HUJAOLEWA na huyo mkeo unapata wapi muda wa kuja kujadili mada za hovyo kama hizi za wanaochapiwa😀😀😀, hawa mabwege wanaochapiwa ndo wanatusumbua humu JF nyie wenye ndoa stable mlitakiwa muuende huko MAJUKWAA YA SIASA,MICHEZO MAGARI NA UJENZI sasa cha kushangaza mtu anajinadi anandoa stable na vifaranga vyake kadhaa ila kila comment yupo anasoma tena komenti ya KATAA NDOA ndo inamuumiza zaidi😄😄😄 Hivi hii kama si,,,,,,in napezi tweet ni nini???
 
Acheni kulialia hovyo mnaokoteza malaya na wake za watu( wanachuo) mnaweka ndani baada ya miezi kadhaa mnaanza kulialia.Ujingaujinga tu hizo diploma, degree na masters haziwezi kuwapa akili ya kuchagua mke.Huo usomi wenu wa vyuo vya kata bado sana kuweza kufanya CRITICAL THINKING AND ANALYSIS!!!

Rudini kwa baba na mababu zenu au wajomba,mashangazi wawatafutie wake muoe acheni ujuaji nyie wasomi uchwara.Unapewa cheti bila mtihani wewe huogopi unapokea tu😄😄😄😄 shtuka tafuta mtu( BABA,BABU,MJOMBA,BAMDOGO,MASHANGAZI) akusaidie huo mtihani.

VIJANA OENI MABIKRA UKIKOSA BIKRA KATAA NDOA,USIPOSIKIA HAPA UKAKAZA FUVU, PUMBAVU LAZIMA UTACHAPIWA NA UTALIA NA KUSAGA MENO😂😂😂😂

Bora awe BIKRA darasa la saba B kuliko asiye bikra mwenye trako na rangi nzuri mwenye degree sijui diploma hao wamechapwa mbaya mbovu huko vyuoni washkaji walikuwa wanapasiana kama kapu la sadaka🤗🤗🤗

Achana na hao wanachuo wanajua staili zote wanajua saizi zote,wanajua mbinu zote za kutoa mimba wanaexpirice ya kuishi kinyumba na mwanaume,wameishi na wanaume pika pakua kwa uvhache wanaume 3 kwa miaka mitatu ya degree yake au diploma🙌🙌🙌

ASIKWAMBIE MTU, HAKUNA MAUMIVU MAKUBWA NA MAKALI KWA MWANAUME KAMA KUCHAPIWA📌📌📌📌

📌Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Hisia + Tamaa....Vichunge Sana.
Baada ya kuchongwa kwa kile mnachokiona au kuskia.
Iman, Unavyothamin na mwisho maadili.
 
Yes!

Ni mojawapo wa vipimo vya kwamba mtu unaweza kumudu baadhi ya hali ktk maisha.
Ok kumbe ni moja wapo so means si lazima hiyo, swali langu lingine umetumia kigezo gani kwenda extra kusema kuoa ndiyo kujua maisha? mkuu maisha hayapo kwa aliyeoa au hajaoa.
 
Back
Top Bottom