Kasi ya wanandoa kutoka nje ya ndoa zao inatisha na kutishia uhai wa taasisi ya "NDOA"

Kasi ya wanandoa kutoka nje ya ndoa zao inatisha na kutishia uhai wa taasisi ya "NDOA"

Km mkeo ni mnene ,mweupe kdg na ana mshundu bro tutamla wote kwa gharama yoyote mm mwenyewe mke wng nimesha mweka bond atajua mwenyewe mm nachanja mbuga huku
 
Habari za muda huu waungwana wa hapa jukwaani.

Sijui ni mimi peke yangu tu ama ni macho ya wengi pia yanatazama kama nitazamavo mimi....

Nimekuwa nikishuhudia matukio kadhaa ya kustaajabisha, kushangaa lakini pia yana hudhunisha kuhusu matukio ya wanandoa kutoka nje ya na vile vile namna ambavyo walengwa wanavyochukulia kuwa ni hali ya kawaida kabisa..

Katika mikusanyiko ya watu na vijiwe vya kahawa nasikia baadhi ya watu wakitoa mitazamo yao kuhusu jambo hilo yenye kushangaza kuogofya kwenye masikio ya waungwana..

Jamaa anasema..." siku hizi hakuna mwanamke wa peke yako kaka, kikubwa kuheshimiana tu afanye nisije Tu"

Dada mmoja naye anasema kuwa.."Hakuna mwanaume asiyetoka na mwanamke nje ya mkewe... kikubwa heshima tu akafanyie huko uchafu wake"

Yaani imefikia hatua mpaka wanandoa wanajua kabisa kuwa kwenye muunganiko huu kuna wengine wa ziada na nafsi zao zimeridhika na hilo

Thamani ya muunganiko mtakatifu wa ndoa iko wapi?

Dhumuni hasa la ndoa liko wapi ikiwa mtu anaweza kuyafanya machafu yaliyomsukuma kufunga ndoa ili apate stara?

Ni heshima ipi inayozungumziwa na hawa wanandoa Hali ya kuwa unajua fika kuwa unafanya lile lisilompendeza mwenzi wako?

Muendelezo wa matendo machafu haya yanapelekea vijana kutoona umuhimu wa kuoa ikiwa anawaona wanandoa wanafanya yale wanayoyafanya wao.

Tumefikaje huku..?
😄😃 Kwanza takwimu zinasema asilimia 98 ya wanaume, wameoa wanawake ambao hawakuwapenda. Kwakua tunaangalia tabia tutakayoweza kuimudu kuliko mapendezi yetu, hapa hautakaa uwe romantic na uliemuoa, matokeo utachapa nje nae atachapwa nje.......🔥🔥

Binafsi kuna mtu mzima alinishauli nioe mwanamke wakawaida tuh, akasema hisi pisi kali utaendelea kuzitafuna tu, chamsingi ndoa........

Me nilimwambia nataka niowe mke nnaye mtaka ili nistoke nje ya ndoa...(😆😃 Nimegundua gili swala ni gumu sana, na halina solution zaidi ya kutupa jiwe gizani)
 
Back
Top Bottom