Kassim Majaliwa, elewa Dubai siyo nchi, bali ni Mji

Kassim Majaliwa, elewa Dubai siyo nchi, bali ni Mji

Laba wewe ndiye hujaelewa..

Ni kweli Dubai ni moja ya Emirate (ufalme mdogo au ki - dola kidogo) zinazounda dola kuu ya kifalme inayoitwa United Arabs Emirates [UAE]..

Kama ilivyo ktk muungano wetu wa Tanganyika. & Zanzibar na kuunda kuunda dola kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) bila kujali kasoro zilizo ktk muungano wetu..

Katika JMT, bado ndani yake Kuna nchi mbili; ya Tanzania na Zanzibar na Kila nchi Ina mamlaka yake i.e mamlaka ya JMT na ile ya Zanzibar..

Vivyo hivyo huko UAE, iko mamlaka kuu ya muungano na vivyo hivyo hizi Emirates ndogo ndogo obviously ikiwemo ya Dubai zina mamlaka zao kamili.

Na bila shaka, hizi Emirates ndogo ndogo ikiwemo ya Dubai nazo zina mamlaka yake Kamili ikiwemo ya kuingia mikataba ya kimataifa kama huu dhidi ya Tanzania...

Ni ngumu mkoa usio na sovereignty as a state kuingia mkataba na sovereign State kama Tanzania...

Kama hii imefanyika, obvious itakuwa ni utapeli na uhuni wa kimataifa unaostahili kuchukuliwa hatua Kali za kinidhamu...

Na si hili tu, bali kama kweli ktk mkataba huu nchi yetu itakuwa imetiliana saini ya muhusiano ya kimataifa na nchi isiyo na sovereignty status halafu wanasheria wetu wakawa hawana ufahamu huu, basi si kosa kusema twaweza kusema kwa ujasiri kabisa kuwa, kumbe tuna wanasheria wajinga na wasio na uelewa wa mambo..!!
Binafsi sijakuelewa Mkuu..
Kwa hiyo ni sahihi kuita Intergovernmental Agreement (IGA) kati yetu na Dubai au unamaanisha nini?
 
Ai
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.


Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Aisee..
 
Mkuu

Kuna tatizo kubwa sana ndio maana wa Tanzania wanapigwa vibaya

Dubai sio nchi ni mji wenye serikali ndani ya shirikisho la U.A.E (The Emirates) kama miji mingine yenye hadhi ya kuunda serikali ndani ya shirikisho ila ilikaribisha wawekeaji wengi matajiri kwa misingi ya kibiashara.

The United Arab Emirates, or simply the Emirates, is a country in West Asia, in the Middle East. It is located at the eastern end of the Arabian Peninsula and shares borders with Oman and Saudi Arabia, while having maritime borders in the Persian Gulf with Qatar and Iran

The United Arab Emirates, sometimes simply called the Emirates or UAE, is a federation of seven emirates (states):
1. Abu Dhabi
2. Sharjah,
3. Ras Al Khaimah,
4. Ajman,
5. Umm Al Quwain,
6. Dubai and

7. Fujairah.
Sawasawa
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.


Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Mkuu tafta uzi wa Paschal wa JF. Kachambua vipengele vya vilivyoitambulisha Dubai kama nchi kwenye ule mkataba.

Yaani kiufupi DP World inapoingia nchini, then inaitambulisha Dubai kama nchi (Sovereignty) ambapo kimataifa haitambuliki kama nchi isipokuwa tz pekee.
 
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.

Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Wewe punguani, hata Vatican ni nchi ndani ya nchi.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Hivi tunaokufundisha wote kuwa Dubai ni nchi unatuona wajinga?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.

Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Hatuchaguagi bali tunapiga kura tu. Hao tiss walikuwa zamani sasa hivi wamejazana uvccm na watoto wa vigogo wa CCM
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.

Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Dubai ni City State
 
Wewe punguani, hata Vatican ni nchi ndani ya nchi.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Hivi tunaokufundisha wote kuwa Dubai ni nchi unatuona wajinga?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwa hiyo Dubai ni nchi bibi?
 
Dubai ni nchi kwa mujibu wa kassimu
Saddam Rais wa kuwait hapa magufuli alitamka hivo, ndio utajua hawa watu chenga sana
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.

Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Na hilo nalo mkalitazame....
 
Back
Top Bottom